Ok let us be so serious,Hatakama asiposema hivyo,,,basi aseme nafsi yake imemsukuma tu kunipenda
Hata Mungu hana unconditional love, usimdanganye huyo bintiπππNdo naingia mm kwenye mapenz lakin mm nimempenda tu bila sababu
View attachment 2667496
Ulivyoanza vizuri sikutegemea nikutane na hiyo sentence ya mwisho πππππI just love my wife, she's very smart...
Unakuwa na mke smart anayejua kupangilia mambo ya nyumba yake 100%. Halafu bwana, kanizalia watoto wazuri....that's more than anything kwangu!
Tatizo nyama moja inakinahi wakuu.πππ
Nimeongea tu ukweli mkuu!! Papa moja unachoka sana, kuna haja ya kutafuna nje kwa kuviziaπUlivyoanza vizuri sikutegemea nikutane na hiyo sentence ya mwisho πππππ
Aisee ππ,, ila bora umekua muwazi na umempa sifa anazostaili ππ€πNimeongea tu ukweli mkuu!! Papa moja unachoka sana, kuna haja ya kutafuna nje kwa kuviziaπ
ππNimempendea show bigi bigi. Hilo tyuuh amenimalizaaaa.
Yeah mkuu, credit given where credit is due!! Hayo mengine ni ubiadamu tu.Aisee ππ,, ila bora umekua muwazi na umempa sifa anazostaili ππ€π
SawasawaYeah mkuu, credit given where credit is due!! Hayo mengine ni ubiadamu tu.
Vipii nawee uduguu shem umempendea nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
π€£π€£πMe si unajua sinaga unafki nimenyooka π°π°π°nlikua natafta comment yakoπ
sex is overrated, money first....
Huyo si dume au vipi tena id 1 wanatumia watu 2 sioVipii nawee uduguu shem umempendea nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu tulizana kwan nawee khaaah.Huyo si dume au vipi tena id 1 wanatumia watu 2 sio
Nini.Kwangu mimi hakuna zaidi ya kelele zake akiwa mbali basi namis yale makelel lakin natafuta sababu nimuache
Sawa dogo acha nitulie πππ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu tulizana kwan nawee khaaah.