Mkeo au mpenzi wako unampendea nini?

Mara moja moja sio mbaya kukukasirisha ukorome, ila ndio unakuwa tayari kwa matokeo kama kujikojolea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sio kila siku mnakuwa na peace tuu akuuu
Uzuri nikikoroma hasira ikiisha nakuomba msamaha na kukubembeleza tena.

Halafu nimejifunza mkitofautiana, mkaombana msamaha...mkimalizia na mechi za kirafiki ni tamu haina mfano😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…