unajua hizi formalities ZINATUMALIZA!kwa namna ulivyouliza swali,wewe bado upo kwenye zile zama za NO SEX BEFORE MARRIAGE!life has changed mamaGeoff kabla ya ndoa yako hamkupima?kupima ni muhimu ili kujua afya zenu,mimi huwa nasema hata walio SeroPositive kwa sasa na wao kuna siku hapo nyuma walikuwa seroNegative.Ni muhimu kujua immunity.Ila kusema ukweli unatakiwa uwe tayari kupokea majibu.
Hahahaha ndo hivyo unaishi kwa matumaini kwa kudra za mwenyezi Mungu baada ya kupima.
Yaani ukipita barabarani unayaona masanduku unajisemea moyoni any time nitawekwa mle.
Alafu baba_Enock vp Billionare clup siku hizi hupiti piti? Juzi kati nilikuwepo pale kula beer za 2000 samahani kwa offtopic.
halafu kibaya zaidi....!
1-WATAKUZIKA UCHI
2-WATAKUKANYAGIA MKEO
3-MALI ZAKO NDUGU ZAKO NA WANAO WATAZITUMIA KUFANYA UASHERATI
nikiwaza hilo,ANGAZA NAPAONA KAMA KUZIMU!lol
ok kabla ya kujuana kimwili na wife wako hukupima?unajua hizi formalities ZINATUMALIZA!kwa namna ulivyouliza swali,wewe bado upo kwenye zile zama za NO SEX BEFORE MARRIAGE!life has changed mama
hebu liset vizuri hilo swali nilijibuππ
halafu kibaya zaidi....!
1-WATAKUZIKA UCHI
2-WATAKUKANYAGIA MKEO
3-MALI ZAKO NDUGU ZAKO NA WANAO WATAZITUMIA KUFANYA UASHERATI
nikiwaza hilo,ANGAZA NAPAONA KAMA KUZIMU!lol
hapo umeset swali bara bara!ok kabla ya kujuana kimwili na wife wako hukupima?
Sababu ya kupima ni kwa sababu tunataka kuongeza mtoto mwingine.Hivyo lazima tujue status ya afya zetu.Mama 5J,
Hiyo red, Kama mnaishi kwa uaminifu kwenye ndoa yenu una wasi wasi gani? Kama huna mashaka umeguswa na damu chafu au umepita nje ya bedroom mliyohalalishiwa kwa nini kupimapima???
halafu kibaya zaidi....!
1-WATAKUZIKA UCHI
2-WATAKUKANYAGIA MKEO
3-MALI ZAKO NDUGU ZAKO NA WANAO WATAZITUMIA KUFANYA UASHERATI
nikiwaza hilo,ANGAZA NAPAONA KAMA KUZIMU!lol
CHEKA UNENEPE kiongozi!maisha ni mafupi sana kujitengenezea stressMkuu, hapo penye red imebidi nitoke nje kidogo ya Cafe nicheke!π
ok kabla ya kujuana kimwili na wife wako hukupima?
ni kweli mkuu!Wewe G leo umenimaliza!
Hivyo ni vitu ambavyo mwanamume hatamani viingie kichwani mwake. Sasa eti mtu anataka uanze kuamka na navyo na kulala navyo siku zako 2-3 zilizobaki. Afadhali aniache tu nijifie bila kuwa na hayo mawazo ambayo ni hata kuliko VVU vyenyewe!
Geoff kabla ya ndoa yako hamkupima?.
Hilo linasikitisha sana na kufanya watu wapoteze hata hamu ya kuishi. Ila nimejikuta nacheka hadi machozi yananitoka. Nisameheni jamani, hili suala ni zito!
juzi nimepima damu hahaha nimepewa majibu kesho yake ile napewa majibu kitu cha kwanza ilikuwa ni kuangalia kwenye HIV .
Siku hizi napata mitaa ya Kapongo - Tegeta
!
halafu kibaya zaidi....!
1-WATAKUZIKA UCHI
2-WATAKUKANYAGIA MKEO
3-MALI ZAKO NDUGU ZAKO NA WANAO WATAZITUMIA KUFANYA UASHERATI
nikiwaza hilo,ANGAZA NAPAONA KAMA KUZIMU!lol
Hahahah wewe umepinda kabisa......... hawapatikani hawa siku hizi unless mnapima kwanza!!Hahahaha Baba_Enock huko ipo siku lazima nije vp akina Eliza wapo lakini maana mm najali huduma zaidi.
Sababu ya kupima ni kwa sababu tunataka kuongeza mtoto mwingine.Hivyo lazima tujue status ya afya zetu.
ok kabla ya kujuana kimwili na wife wako hukupima?
yaani bubu hapo ni pachungu KULIKO VVU yenyewe!Hahahahaha njemba huumia sana zinapowaza kwamba zikirudisha namba basi kutakuwa na njemba nyingine zinafaidi na Warembo wao...LOL!
Hahahah wewe umepinda kabisa......... hawapatikani hawa siku hizi unless mnapima kwanza!!