Hii mada dada mh ngoja waje wenyewe.
Mimi ningependa kujua mbinu za kuwashawishi kwenda kucheck afya zao.
3. Baba akimwambia maam twende ukapime mama atadai "huniamini?" even to some % kwa wanaume pia.
Mi naamini wewe Nguli hujawahi dumisha mila out lakini wife akikwambia twende tukapime utamwelewaje?
bht,
Sifichi kichwa, tatizo langu ni majibu ya kumwambia mtu ataishi kwa matumaini! Frankly speaking sielewi maana ya neno "kuishi kwa matumaini" - To me that sounds like "a death row"!
yaani bubu hapo ni pachungu KULIKO VVU yenyewe!
mimi huwa nikiwaza kwamba nikirudisha namba kuna lijitu litamkanyaga mshiki wa x-pin LOL!NACHANGANYIKIWA!najikuta naagiza valuu ya nne ghafla
😀😀😀
BAK nimewaelewa na niliposoma post yako liknijia jambo hivi iwapo ikatokea wanawake tumepewa semina na ujuzi wa kucheck afya utakuwa tayari ucheckiwe na mkeo nyumbani? Au suala ni kujijua kama unao au la na si sehemu ya kupimia?MJ1, Hili Wanaume wengi linatusumbua sana si uongo. Mambo ya kwenda kuchokonolewa chokonolewa lete hiki lete kile ahhhhhh! yanatukera sana wengi wetu...mpaka pale tunapokuwa hoi bin taabani ndiyo tunaona umuhimu wa kufanya hivyo. Na hii tabia ni kwa Wanaume wote hata wa majuu.
Sisubiri aniambie kila miezi 3 nafanyaga full body check up. Kwa vile na uzee nao unakaribia nacheki cholestral level, ini-bilirubin total na level, figo, moyo etc.
Kwa hiyo HIV test tu ndo huifanyi mkuu?
Mhhhh! Hii inaonyesha kwamba Wanaume tuna wivu sana kuliko Wanawake.
HIV nacheki pia ila mara 2 kwa mwaka. wewe mara ngapi kwa mwaka unapima?
HIV nacheki pia ila mara 2 kwa mwaka. wewe mara ngapi kwa mwaka unapima?
BAK nimewaelewa na niliposoma post yako liknijia jambo hivi iwapo ikatokea wanawake tumepewa semina na ujuzi wa kucheck afya utakuwa tayari ucheckiwe na mkeo nyumbani? Au suala ni kujijua kama unao au la na si sehemu ya kupimia?
Unacheck unamaana mkeo humwamini?
Mi ukweli na uwazi sicheck kabisa najiamini.
Hivi ukimwi unapatikana kwenye ngono tu? dispensari tunazopima pima malaria unaziamini sio? ni mfano tu iko mingi sana.
Suala la HIV na UKIMWI na kupima na kupokea majibu ni gumu sana kwa kweli,na ugumu unakuja pale mtu unapoambiawa kuwa wewe ni seropositive inamaanisha kuwa ni kifo tu,ingawa kila nafsi itaonja mauti lakini HIV ni suala zito sana.1. Kwanini wanaume wengi hawataki kupima na kujua afya zao ( majority wanajua kabisa kuwa wanaishi maisha hatarishi ( risky life styles)
2.Mbinu gani zitumike kuwashawishi wanaume wasiotaka kujua afya zao kupima kwa hiari?
Umekamata SENKSI hapo. Nawaomba kinadada wausome huo mstari kwa makini. Narudia tena KWA MAKINI1. Mtu akiitwa polisi akaogopa ana tatizo(labda ni mhalifu wa aina fulani)
2. Hakuna kitu kama kuishi kwa matumaini ila kuna neno "courage" pia inategemea na aina ya maambukizi kwa mfano kwenye ajali au kuhudumia mgonjwa wa ukimwi. Pia kuna watu wamezaliwa na baraka za kuwa na furaha muda wote ataapate msiba anacheka, ni watu wachache sana haa duniani tuko hivyo,hata akikuta ana UKIMWI atatabasanu na huyu mtu ataishi muda mrefu sawa na ambaye hana ukimwi,tu kuna jina la kitaalamu la aina hii ya watu ila nimesau kidogo hapo, mfano hai hapa JF ni Chrispin.
3. Baba akimwambia maam twende ukapime mama atadai "huniamini?" even to some % kwa wanaume pia.
wanawake wamedhurika zaidi!ACTUALLY NI WANAWAKE NA WATOTOHalafu kati ya wanaume na wanawake, ni kundi lipi ambalo limedhurika zaidi na ukimwi? Kuna mwenye takwimu?