Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Hahahah mara paaap ndio mkeo sasa huyo 🤣🤣🤣
Dah! Sijui tu itakuwaje mkuu.. ila nafahamu Kuna Aina fulani ya wanawake ndio huwa ni kiboko yangu.. hao sitawaruhusu waingie maishani mwangu maana nawajua wataniendesha..😂
Kidogo ka ufahamu ka saikolojia katanisaidia ila kwa hao namba mbili kudumu nae lzm awe na kitu Cha ziada..😅
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Daaah watu wa mpira wanaziita lose ball
Kaka acha tu, iliwahi nikuta hio niliachia jimbo kabla ya miaka 5 ya uongozi kuisha.

Kila ukipekua unakuta kuna Venance, Magnus, David....wako kwenye queue washatupia mistari wanataftiwa engo wapige mzigo. Hamna hamna siku nikashuhudia baharia anaingizwa ghetto night kali anajiandaa kupiga papuchi usiku kucha. Demu alinipanga ni dada yake amekuja so nikawaachia geto walale na ndugu yake kumbe mchimba chumvi.

Aisee nashukuru Mobile Tracker ilinifungulia sana ukweli wa mwenza niliekuwa nae alivyokuwa mnafiki na kumbe malaya bubu! Niliaga mashindano kimya kimya licha ya kuumia sana. Siamini mwanamke tena maisha haya.
 
Hivi unajua Kuna wanaume mwanamke akiwa romantic anamkashifu na kumtukana!?

Inaboa jamani, yaani mtu unazeeka na uromantic wako moyoni
Anakuona unazingua yani wakati watu tunatafuta ma patner romantic jamani. Tuwaze maisha ila kuwe na mda wa kuhave fun!
 
.....................Sikuwahi kuchunguza sana kuhusu mabadiliko niliyokuja kuyaona miaka michache baada ya ndoa but nachokumbuka mwanzo ama akini-ectia ama ni mabadiliko tu yalitokea ila alikuwa smart sana kwenye maamuzi na uelewa (sisemi kwamba sasa hivi hayupo smart) ila amenifanya nizidi kuishi nae kwa akili sana.

Nachoweza kusema na kwa experience yangu ndani ya ndoa miaka 8 sasa ni kwamba kadiri mnavyoongeza familia ndivyo na tabia za mkeo zinavyoanza kubadilika,(haijalishi ni understanding au non-understanding)hakuna siku atakutukana ila baadhi ya huduma ulizokuwa ukipewa zamani bila kuuliza itakubidi wewe mwenyewe uanze kujifanyia na wala usithubutu kuuliza omba uwe na hekima ya kujua mapema maana ya mabadiliko hayo lah hukujua utaitumbukiza ndoa kwenye vurugu,personally miaka ya mwanzo akinitengea maji ya kuoga,kuninyooshea nguo,kunipakulia chakula nikirudi home anapokea kama mkononi nina kimfuko au bag atakuja kupokea ila baada ya kupata mtoto wa kwanza hiyo ya kuwekewa maji ya kuoga na kuandaliwa nguo zilikufa nikabaki na favor mbili,kupokewa mzigo mwenyewe nilikataa nikaona kama utumwa sasa tuna watoto wawili hii ya kupakuliwa chakula muda wowote naona itakufa.

Obviously malalamiko mengi ya wanaume kwenye ndoa hutokana na huduma fulani kukatwa ghafla na majibu yasiyotegemewa kutoka kwa wake zao pale wanapouliza sababu,nilichogundua;anakuwa busy zaidi na watoto so hawezi kuacha kumlisha mtoto akakuandalie wewe maji ya kuoga,hawezi kuacha kumnyonyesha mtoto au kumuandaa mtoto awahi school bus akakunyooshee nguo also hawezi kuacha kumuogesha mtoto akakupakulie chakula mezani sasa ukiwa macho juu juu utataka kuhoji “inakuwaje zamani ukifanya hiki na hiki mbona sasa hivi hunifanyii” jibu utakalopewa hapo ndo litakaloamua hatma ya ndoa yenu,binafsi nachoshukuru niliweza ku-match na mabadiliko haya mapema na nachowashauri mnaotaka kuingia kwenye ndoa jueni mke siyo kwa ajili ya kukuhudumia wewe kwa kila kitu wanaopaswa kuhudumiwa kwa kila kitu na yeye wewe pia ukishiriki ni watoto wenu mtakaowazaa.

Well.....vurugu zipo na ieleweke tukubali au tukatae wanawake % kubwa wanafanana akili awe amesoma au hakusoma hakuna mwanamke anayekataa au anayekubali kosa kizembe,ni “kuishi nao kwa akili tu” ukiijua sentence hii na ukakubali ikuongoze kwenye arguments na mkeo ndoa utaiona tamu tofauti na hapo ni pigo.
Mkuu, mke hakutengei maji ya kuoga na hakupakulii chakula/ hakutengei chakuka mezani na kukukaribisha halafu unasema UMEOA??
Au sijakuelewa mkuu??
 
Kaka acha tu, iliwahi nikuta hio niliachia jimbo kabla ya miaka 5 ya uongozi kuisha.

Kila ukipekua unakuta kuna Venance, Magnus, David....wako kwenye queue washatupia mistari wanataftiwa engo wapige mzigo. Hamna hamna siku nikashuhudia baharia anaingizwa ghetto night kali anajiandaa kupiga papuchi usiku kucha. Demu alinipanga ni dada yake amekuja so nikawaachia geto walale na ndugu yake kumbe mchimba chumvi.

Aisee nashukuru Mobile Tracker ilinifungulia sana ukweli wa mwenza niliekuwa nae alivyokuwa mnafiki na kumbe malaya bubu! Niliaga mashindano kimya kimya licha ya kuumia sana. Siamini mwanamke tena maisha haya.
Aise pole sana.ndo maisha lkni.
 
Dah huyu jamaa utafikiri amemuhoji mke wng haya bana wangu yupo non-understand kabs ujakosea kitu chochote kwenye maelezo yako umenikuna dah
 
Sio ushauri tu...😅😅😅

Bwana wa Majeshi(Mungu) au bwana wa majeshi(ya ulinzi na usalama blaza)😅😅
Yule alikanwa na Petro Mara tatu..
Tena nauhakika ataniletea kitu brand new kipyaa na maganda yake yani bikira si bikra ni bikira..😜 na mwenye wifu sio wivu ni wifu na ajinyongelee mbali ila mi nasubiri kitu toka kwa bwana..😅
 
Sometimes number 1 na 2.......kutegemeana na mwezi😂😂😂


Kumbuka kila binadamu anakichaa
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😳😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅uuuuwiiiih
 
Wangu yupo kundi la pili,noma sana,
Ukweli mtupu,thank God naishi mbali na familia,ningekuwa nimeishakuwa mkaazi wa segerea kwa mauaji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yule alikanwa na Petro Mara tatu..
Tena nauhakika ataniletea kitu brand new kipyaa na maganda yake yani bikira si bikra ni bikira..😜 na mwenye wifu sio wivu ni wifu na ajinyongelee mbali ila mi nasubiri kitu toka kwa bwana..😅
Usharogwa tayari blaza😅
 
Usharogwa tayari blaza😅
Nawe si ndo unataka unimalizie Sasa ati unanipa kina mwajuma ndala ndefu huyo si msaidizi wa izrael mtoa roho!!. Kama huko ndo kurogwa basi mrogaji na aongeze virogezo ili nikolee kuliko kwenda huko unapotaka niende..😅
 
Sometimes number 1 na 2.......kutegemeana na mwezi[emoji23][emoji23][emoji23]


Kumbuka kila binadamu anakichaa

Ujue kuna muda huwa najitafakari tabia zangu nimekuja kujua kweli inawezekana nina kichaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna tarehe naweza kuwa mpole sana mpaka ukafurahi kuna tarehe ni hatarii hakuna jema atakalo fanya,sifanyi kusudi hii hali huwa inatokea tu baada ya kufanya utopolo ndio nashtuka kwanini nilikuwa mkali hivyo
 
Back
Top Bottom