Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Acha kabisa yani, its really boring aisee!

We all need that adrenaline rush at times ila cheerful moments ndio zinaleta more excitement katika mahusiano. Una patner sometimes akiwa katulia unamkonyeza tu na kusmile, unataka umshike kiuno umnong'oneze kitu mara mnapiga selfie. Unataka umtekenye astuke umvute umkiss alimradi fujo tu. Mnakuwa fully free with eachother.

ila hamna kitu kinaboa kama mtu kufanya kitu ukapata response ya povu. Yani patner wako unaogopa ku act crazy infront of him/her sababu unahisi anaweza kukutolea povu tu.

"Lione mtu unakuwa kama litoto lidogo argh!"....."Si ukae kwa kutulia aisee".….. "We nini lakini, si utulie bana"

Aina hii ya majibu sucks my motherfucking balls!!! Intention ilikuwa kutengeneza amazing moment ila ukiwa na patner kama mzazi wako ndio madhara yake. Lazima
Dah jamani hizi Mambo ....

Mtu unaanza kujiuliza kwa hiyo kwenye hii ndoa ndio sitafurahia mahaba!?

Hivi unajua Kuna wanaume baadhi mpo hivyo, na kabla mnakuwa romantic kabisa Ila baadae mnaanza Mambo hadi unajiuliza ni yeye au pacha wake?????


Inaboaa aiseeee natamani kuongeza sauti
 
Dah jamani hizi Mambo ....

Mtu unaanza kujiuliza kwa hiyo kwenye hii ndoa ndio sitafurahia mahaba!?

Hivi unajua Kuna wanaume baadhi mpo hivyo, na kabla mnakuwa romantic kabisa Ila baadae mnaanza Mambo hadi unajiuliza ni yeye au pacha wake?????


Inaboaa aiseeee natamani kuongeza sauti
Mm nimetamani kulike mara2 wanajikuta madingiii hadi kwa wake zao
 
Acha kabisa yani, its really boring aisee!

We all need that adrenaline rush at times ila cheerful moments ndio zinaleta more excitement katika mahusiano. Una patner sometimes akiwa katulia unamkonyeza tu na kusmile, unataka umshike kiuno umnong'oneze kitu mara mnapiga selfie. Unataka umtekenye astuke umvute umkiss alimradi fujo tu. Mnakuwa fully free with eachother.

ila hamna kitu kinaboa kama mtu kufanya kitu ukapata response ya povu. Yani patner wako unaogopa ku act crazy infront of him/her sababu unahisi anaweza kukutolea povu tu.

"Lione mtu unakuwa kama litoto lidogo argh!"....."Si ukae kwa kutulia aisee".….. "We nini lakini, si utulie bana"

Aina hii ya majibu sucks my motherfucking balls!!! Intention ilikuwa kutengeneza amazing moment ila ukiwa na patner kama mzazi wako ndio madhara yake. Lazima
Hahaaa jamani! Hao wanawake starehe yao itakuwa nini sasa?
 
Hahahahah you have yourself a patner and a friend for life! Mwanamke ambaye yuko flexible namna hio ni lulu...Hamuwezi kuchokana haraka maana yuko responsive sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wish you best of luck mzee hasa kama hatobadilika akipata watoto.

Kuna wanawake wako serious kama wazazi. Yani anakuwa sio patner anakuwa kama mzazi kwako. Hao ndo huua ile excitement maana hamna session za utani na kufurahishana. Mda wote muongelee mipango tu yani hapendi utani kabisa...so boring!

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dah jamani hizi Mambo ....

Mtu unaanza kujiuliza kwa hiyo kwenye hii ndoa ndio sitafurahia mahaba!?

Hivi unajua Kuna wanaume baadhi mpo hivyo, na kabla mnakuwa romantic kabisa Ila baadae mnaanza Mambo hadi unajiuliza ni yeye au pacha wake?????


Inaboaa aiseeee natamani kuongeza sauti
Hahahah unapoona wanaume wapo hivyo jua kuna wanawake ni worst!

Kwangu mwanamke akiwa sio Romantic ni kipengele tayari 😂😂😂
 
Hamna stress mbaya kama uwe na namba 1 halafu awe mama huruma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!

Mwanamke akiwa promiscous hata akiwa namba 1 ni mateso bila chuki!

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Daaah watu wa mpira wanaziita lose ball
 
Hahahah unapoona wanaume wapo hivyo jua kuna wanawake ni worst!

Kwangu mwanamke akiwa sio Romantic ni kipengele tayari [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unajua Kuna wanaume mwanamke akiwa romantic anamkashifu na kumtukana!?

Inaboa jamani, yaani mtu unazeeka na uromantic wako moyoni
 
Hao namba 2 ni kuchezanao na kerebu tu!
Ati kitu kidogo anipigie kelele namuuliza nilioa kipaza sauti au..? Akiendelea namwambia tu bwana awe nawe..😅 asiposikia na hilo hilo sasa zoezi linahamia kutoka kwenye fasihi simulizi na kuwa fasihi vipigizi!! Hapo ni kibano tu..

Akilalama niwe Kama fulani na hana mantiki natafuta shuka najifunika gubigubi nalala hata Kama ni mchana wa saa nane.. Sasa aje aniamshe hapo ndo atajua kwanini yule aliekuwa na majini kwenye ile movie ya yesu aliitwa jeshi..😅

Hawa namba mbili wataniweza kwenye kususa..😂 kususiwa unyumba si inauma wajameni kumbe ndo mateso ya ndoa yapo hivyo..?!
Kususiwa si mchezo ukute kitu Cha Osama bin laden kimesimama Dede then anakususia duh! Kwa sisi vibaka hapo ndo kipaji chetu huwa kinajidhihirisha..😅

Namba mbili mi naomba nikaenao mbali watanitafutia kesi za kutoa mtu meno bila kupenda..😅
 
Wanaboa mno, Kuna muda unawaza ningekuwa na Mimi ni Me......Ningetafuta mchepuko awe anatuliza nafsi
Hizo ndio shughuli zetu,,,kwanini upate shida mama!?🤣🤣🤣
 
Hao namba 2 ni kuchezanao na kerebu tu!
Ati kitu kidogo anipigie kelele namuuliza nilioa kipaza sauti au..? Akiendelea namwambia tu bwana awe nawe..😅 asiposikia na hilo hilo sasa zoezi linahamia kutoka kwenye fasihi simulizi na kuwa fasihi vipigizi!! Hapo ni kibano tu..

Akilalama niwe Kama fulani na hana mantiki natafuta shuka najifunika gubigubi nalala hata Kama ni mchana wa saa nane.. Sasa aje aniamshe hapo ndo atajua kwanini yule aliekuwa na majini kwenye ile movie ya yesu aliitwa jeshi..😅

Hawa namba mbili wataniweza kwenye kususa..😂 kususiwa unyumba si inauma wajameni kumbe ndo mateso ya ndoa yapo hivyo..?!
Kususiwa si mchezo ukute kitu Cha Osama bin laden kimesimama Dede then anakususia duh! Kwa sisi vibaka hapo ndo kipaji chetu huwa kinajidhihirisha..😅

Namba mbili mi naomba nikaenao mbali watanitafutia kesi za kutoa mtu meno bila kupenda..😅
Hahahah mara paaap ndio mkeo sasa huyo 🤣🤣🤣
 
Kwa kujidai unanijua sana sasa.😃hunijui hata robo Chief.zaidi ya miandiko huku ya kuruka makida makida hakuna kitu kingine unajua kunihusu
😂😂 Sawasawa naona Kuna ngariba unataka kumrowa..😅 joke..

Sawa namba moja wa watu..😜
 
Back
Top Bottom