Luv
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 2,739
- 6,099
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao namba 2 ubaya wao wengi ni impostors at first sight.
Ukianzana nae anakuwa kama namba 1 ila mkishafika mbali sana anakuchenjia gia angani anaanza kuishi katika tabia zake halisi ambazo ni za namba 2!
Hapo ndio utajua hujui kudadadeki[emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Huyo unayemuongelea ni Mimi kabisa