Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Hahahah mara paaap ndio mkeo sasa huyo 🀣🀣🀣
Dah! Sijui tu itakuwaje mkuu.. ila nafahamu Kuna Aina fulani ya wanawake ndio huwa ni kiboko yangu.. hao sitawaruhusu waingie maishani mwangu maana nawajua wataniendesha..πŸ˜‚
Kidogo ka ufahamu ka saikolojia katanisaidia ila kwa hao namba mbili kudumu nae lzm awe na kitu Cha ziada..πŸ˜…
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Daaah watu wa mpira wanaziita lose ball
Kaka acha tu, iliwahi nikuta hio niliachia jimbo kabla ya miaka 5 ya uongozi kuisha.

Kila ukipekua unakuta kuna Venance, Magnus, David....wako kwenye queue washatupia mistari wanataftiwa engo wapige mzigo. Hamna hamna siku nikashuhudia baharia anaingizwa ghetto night kali anajiandaa kupiga papuchi usiku kucha. Demu alinipanga ni dada yake amekuja so nikawaachia geto walale na ndugu yake kumbe mchimba chumvi.

Aisee nashukuru Mobile Tracker ilinifungulia sana ukweli wa mwenza niliekuwa nae alivyokuwa mnafiki na kumbe malaya bubu! Niliaga mashindano kimya kimya licha ya kuumia sana. Siamini mwanamke tena maisha haya.
 
Hivi unajua Kuna wanaume mwanamke akiwa romantic anamkashifu na kumtukana!?

Inaboa jamani, yaani mtu unazeeka na uromantic wako moyoni
Anakuona unazingua yani wakati watu tunatafuta ma patner romantic jamani. Tuwaze maisha ila kuwe na mda wa kuhave fun!
 
Mkuu, mke hakutengei maji ya kuoga na hakupakulii chakula/ hakutengei chakuka mezani na kukukaribisha halafu unasema UMEOA??
Au sijakuelewa mkuu??
 
Aise pole sana.ndo maisha lkni.
 
Sitakuomba Tena ushauri kaa nao tu hao mashosti zako!.. bwana wamajeshi ataniletea mke wakunifaa..πŸ˜…
Sio ushauri tu...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Bwana wa Majeshi(Mungu) au bwana wa majeshi(ya ulinzi na usalama blaza)πŸ˜…πŸ˜…
 
Dah huyu jamaa utafikiri amemuhoji mke wng haya bana wangu yupo non-understand kabs ujakosea kitu chochote kwenye maelezo yako umenikuna dah
 
Sio ushauri tu...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Bwana wa Majeshi(Mungu) au bwana wa majeshi(ya ulinzi na usalama blaza)πŸ˜…πŸ˜…
Yule alikanwa na Petro Mara tatu..
Tena nauhakika ataniletea kitu brand new kipyaa na maganda yake yani bikira si bikra ni bikira..😜 na mwenye wifu sio wivu ni wifu na ajinyongelee mbali ila mi nasubiri kitu toka kwa bwana..πŸ˜…
 
Sometimes number 1 na 2.......kutegemeana na mweziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Kumbuka kila binadamu anakichaa
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜³πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…uuuuwiiiih
 
Wangu yupo kundi la pili,noma sana,
Ukweli mtupu,thank God naishi mbali na familia,ningekuwa nimeishakuwa mkaazi wa segerea kwa mauaji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yule alikanwa na Petro Mara tatu..
Tena nauhakika ataniletea kitu brand new kipyaa na maganda yake yani bikira si bikra ni bikira..😜 na mwenye wifu sio wivu ni wifu na ajinyongelee mbali ila mi nasubiri kitu toka kwa bwana..πŸ˜…
Usharogwa tayari blazaπŸ˜…
 
Usharogwa tayari blazaπŸ˜…
Nawe si ndo unataka unimalizie Sasa ati unanipa kina mwajuma ndala ndefu huyo si msaidizi wa izrael mtoa roho!!. Kama huko ndo kurogwa basi mrogaji na aongeze virogezo ili nikolee kuliko kwenda huko unapotaka niende..πŸ˜…
 
Sometimes number 1 na 2.......kutegemeana na mwezi[emoji23][emoji23][emoji23]


Kumbuka kila binadamu anakichaa

Ujue kuna muda huwa najitafakari tabia zangu nimekuja kujua kweli inawezekana nina kichaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna tarehe naweza kuwa mpole sana mpaka ukafurahi kuna tarehe ni hatarii hakuna jema atakalo fanya,sifanyi kusudi hii hali huwa inatokea tu baada ya kufanya utopolo ndio nashtuka kwanini nilikuwa mkali hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…