Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mke hakupakulii chakula,hakuwekei maji ya kuoga,hakupasii nguo na umeamua kuchukulia simple tu.

Unafeli bro kweli kuna kipindi wake zetu wanabanwa na kazi sikatai lakini kwa hili hapana aisee..

Mimi nipo tiari nimsaidie kudek au kufua lakini sio kujipakulia chakula au kujipelekea maji bafuni et kisa watoto...ata hao watoto ipo siku watakushangaa haki! Labda ungesema siku moja moja unajisikiaga kufanya ivyo lakini Kama ni kila siku basi wewe bado ni single uliechangamka.

Ukinisoma between the lines post zangu mbili hapo juu utaelewa hata hii uliyonikot nimetoa sababu zinazosababisha haya,nikuulize mkuu....

Kwa asili ya kazi yangu inanitaka nitoke home saa 12 kasoro asubuhi usually ni muda ambao watoto ktk familia nyingi huandaliwa wawahi shule so unataka kuniambia bahati mbaya ratiba zimegongana nikae nisubiri wife amuandae mtoto kisha ndiyo aniandalie mimi nguo?hahah dude...you must be kidding,huyo mke unamlipa kiasi gani kwa mwezi mkuu?maana hapo siyo mke tena bali umeajiri na kama ndoa yako bado changa huwezi kunielewa na mimi home sina house girl na hata angekuwepo mimi kama mwanaume sioni sababu kujilegeza eti mke aniandalie nguo wakati naziona na zimefuliwa tayari (kama hakuzifua ndo nitakuwa na chakusema).

Sijui una muda gani kwenye ndoa yako ila mimi miaka 8 imenitosha kuona mengi na kujifunza mengi that's why hapo chini nikasema “kuishi na mwanamke kunakutaka utumie akili nyingi”,muhimu mke anayajua majukumu yake ndani ya nyumba na anajua ni nini cha muhimu zaidi afanye ili nyumba iwe na amani (hapa nazungumzia masuala ya unyumba) siuoni bado ulazima wa mwanaume kulalamikia vitu vidogo vidogo kama ulivyoorodhesha hapo juu.so upo tayari asubuhi kabla ya kuondoka home wewe ukamate dekio ili wife akunyooshee tu shati lako?labda kama itakuwa masharti ya mganga sawa but hivi hivi mimi hiko kitu siezi fanya!
 
Mwanaume akifanyiwa hivi anakabidhi hadi pumbu, limbwata liko mikononi mwetu wanawake hatujui tu, nadhani nimemrithi bi mkubwa wako
Kwetu sie wanaume ni very loyal but Dominant! Mwanamke mwenye kiburi na ujujaji hataweza maana kwetu mwanamke lazima aishi katika mipaka yake hata awe mkurugenzi BOT! We are raised to treat women as women. Alitumia babu, mzee mpaka mjukuu sahivi ndio mwendo huo.

Mwanamke anatakiwa awe msikivu na mwenye heshima. Ni amri sio ombi!!! Anaeona hawezi aage mapema tu maana huko mbele tutatiana lawama tu. 🤣🤣🤣
 
Hahahah sasa je na ndio michepuko inapopenyea hapo, ila wanawake wengi wajinga hawaelewi hili! Mwanaume anatakiwa apewe treatment special bana. Hata diet yake ni special!

Make a man feel like a man then umemaliza kazi wewe utapendwa hadi siku yako ya mwisho. Sema unachotaka hata dunia utapewa.

Sasa unakuta mke dharau, eti anajibu kwani we hauna mikono ama? That never works on me! Sana sana ntakuzabua nionekane katili.

In Addition ndoa inakaribia ku approach 40 years. Treatment is still the same sasa ambao wanahisi kuwa treated like a man ni kuwafanya utumwa na kunaisha watoto wakizaliwa waangalie walipoteleza.
Msalimie Sana bi mkubwa nafuata nyayo zake
 
Kwetu sie wanaume ni very loyal but Dominant! Mwanamke mwenye kiburi na ujujaji hataweza maana kwetu mwanamke lazima aishi katika mipaka yake hata awe mkurugenzi BOT! We are raised to treat women as women. Alitumia babu, mzee mpaka mjukuu sahivi ndio mwendo huo.

Mwanamke anatakiwa awe msikivu na mwenye heshima. Ni amri sio ombi!!! Anaeona hawezi aage mapema tu maana huko mbele tutatiana lawama tu. 🤣🤣🤣
Uzuri wa wanaume Kama nyie mkipewa adabu mnajua kurudisha shukrani Sana kwa wake zenu sio adabu zote hizo halafu bado unapigwa matukio konki,, hapo hata uwe bikira maria no 2 haikwepeki
 
Msalimie Sana bi mkubwa nafuata nyayo zake
Umenifurahisha sana, you trully a wife material! Katika kipindi kama hiki kupata mwanamke anayejua purpose na mipaka yake ni ishu sana.

Wengi naona ni written-off!!!
 
Uzuri wa wanaume Kama nyie mkipewa adabu mnajua kurudisha shukrani Sana kwa wake zenu sio adabu zote hizo halafu bado unapigwa matukio konki,, hapo hata uwe bikira maria no 2 haikwepeki
Hahahah uko sahihi sana we trully appreciate...

Na uzuri na mzee alikuwa blessed! Maza amekuwa akibadilisha mipira tu throughout the years. Ni housewife ila ameishi maisha kama ya mtumishi tu. Kila jumapili anachagua aendeshe lipi kwenda Church.

Kwa hilo mzee amemtendea haki! And she truly deserved it. Heshima na adabu imemlipa vizuri.
 
Umenifurahisha sana, you trully a wife material! Katika kipindi kama hiki kupata mwanamke anayejua purpose na mipaka yake ni ishu sana.

Wengi naona ni written-off!!!
Kufurahia hivyo ni kila upande usimamie wajibu wake ipasavyo, mwanamke mpe heshima na thamani yake Basi nae atakurudishia heshima na utii wa hali ya juu
 
Hahahah uko sahihi sana we trully appreciate...

Na uzuri na mzee alikuwa blessed! Maza amekuwa akibadilisha mipira tu throughout the years. Ni housewife ila ameishi maisha kama ya mtumishi tu. Kila jumapili anachagua aendeshe lipi kwenda Church.

Kwa hilo mzee amemtendea haki! And she truly deserved it. Heshima na adabu imemlipa vizuri.
Hadi raha Sana jamani, kwa aina hiyo ya maisha lazima familia ibarikiwe
 
Kufurahia hivyo ni kila upande usimamie wajibu wake ipasavyo, mwanamke mpe heshima na thamani yake Basi nae atakurudishia heshima na utii wa hali ya juu
Mwanaume anaweza ku provide kila kitu ila still mke akawa aidha jeuri au sio mwaminifu! Tuko kipindi kigumu sana. Mi si naona hata hali ya maisha ilivyo kwa wanandoa wa kisasa.

Mi mwanamke mjuaji ntamdunda tu maana sipendagi utoto. Sina mda wa kukimbia nyumba yangu kwa ajili ya kumkwepa mshenzi mmoja anaenikosesha peace of mind. Au ile kujifanya unanipazia sauti aisee nachukia. Aheri utoe dukuduku lako kwa staha ntakusikiliza. Sijawahi kuona hata siku moja bi.mkubwa ana argue na mzee.

Watu hunitafsiri kama katili at times ila mie mtu poa sana ukienda nami sawa.
 
Mwanaume anaweza ku provide kila kitu ila still mke akawa aidha jeuri au sio mwaminifu! Tuko kipindi kigumu sana. Mi si naona hata hali ya maisha ilivyo kwa wanandoa wa kisasa.

Mi mwanamke mjuaji ntamdunda tu maana sipendagi utoto. Sina mda wa kukimbia nyumba yangu kwa ajili ya kumkwepa mshenzi mmoja anaenikosesha peace of mind. Au ile kujifanya unanipazia sauti aisee nachukia. Aheri utoe dukuduku lako kwa staha ntakusikiliza. Sijawahi kuona hata siku moja bi.mkubwa ana argue na mzee.

Watu hunitafsiri kama katili at times ila mie mtu poa sana ukienda nami sawa.
Kwahiyo wewe hasira zako zinaisha kwa kutoa kipigo tu?? Duu kipigo tena mmm hapana haikubaliki kabisa
 
Mwanaume anaweza ku provide kila kitu ila still mke akawa aidha jeuri au sio mwaminifu! Tuko kipindi kigumu sana. Mi si naona hata hali ya maisha ilivyo kwa wanandoa wa kisasa.

Mi mwanamke mjuaji ntamdunda tu maana sipendagi utoto. Sina mda wa kukimbia nyumba yangu kwa ajili ya kumkwepa mshenzi mmoja anaenikosesha peace of mind. Au ile kujifanya unanipazia sauti aisee nachukia. Aheri utoe dukuduku lako kwa staha ntakusikiliza. Sijawahi kuona hata siku moja bi.mkubwa ana argue na mzee.

Watu hunitafsiri kama katili at times ila mie mtu poa sana ukienda nami sawa.
Mi na wewe tunapishanaga hapo kwenye kubutuana tu,, hata hivyo sikukatalii kuwa wapo wanawake pasua vichwa ambao wakipendwa na waume zao huvimba na kujaa kiburi,, hapo Sasa ndo uombe Mungu akupe mke atakaekidhi haja za moyo wako, anatujua shida zetu na hakika utampata wa kukupa edeni hapa hapa duniani
 
Kwahiyo wewe hasira zako zinaisha kwa kutoa kipigo tu?? Duu kipigo tena mmm hapana haikubaliki kabisa
Sikuzote Disputes katika mahusiano huwa zinamalizwa na Negotiations. Ntakwambia kitu flani sikipendi na how i would like you to address it. Ila kuna wanawake wanakuwaga na vichwa banju! Unamuelekeza mtu multiple times haelewi. Anaweza payuka hata mbele za watu ilimradi aku annoy tu. Ujuaji mwingi mwisho wake kibao tu!
 
Back
Top Bottom