Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mi na wewe tunapishanaga hapo kwenye kubutuana tu,, hata hivyo sikukatalii kuwa wapo wanawake pasua vichwa ambao wakipendwa na waume zao huvimba na kujaa kiburi,, hapo Sasa ndo uombe Mungu akupe mke atakaekidhi haja za moyo wako, anatujua shida zetu na hakika utampata wa kukupa edeni hapa hapa duniani
Usiogope mi nina akili timamu, ukiona mwanamke amefikia kutiwa kibao ujue amevuka mipaka. Hana adabu kabisa. Mi napenda mtu ambaye tunasikilizana. Ukimweleza hili sio zuri usifanye hivi inanikwaza anaelewa.
Unajua im very cool...ila kama unajua mtu cool akichafukwa inakuaje then hutakuwa na wasiwasi. Mara nyingi wanawake wanaodundwa wantengenezaga mazingira hayo
 
Sikuzote Disputes katika mahusiano huwa zinamalizwa na Negotiations. Ntakwambia kitu flani sikipendi na how i would like you to address it. Ila kuna wanawake wanakuwaga na vichwa banju! Unamuelekeza mtu multiple times haelewi. Anaweza payuka hata mbele za watu ilimradi aku annoy tu. Ujuaji mwingi mwisho wake kibao tu!
[emoji23][emoji23][emoji23] aise hao miili yao huwa inawasha washa kama wanawake wakikurya.
 
Mwanaume akifanyiwa hivi anakabidhi hadi pumbu, limbwata liko mikononi mwetu wanawake hatujui tu, nadhani nimemrithi bi mkubwa wako
Sema kweli!? Sema mwanaume anayejitambua

Mwingine utafanya hayo na bado akuone zuzu fulani hivi
 
kusema ukweli hilo kundi namba mbili ndo walojaa hapa mjini,ukipata hilo kundi namba moja yani fasta weka ndani mazima
Hata huyo namba 1 anaeza kua anakuigizia....ke wa hapa mjini 🙆 uwe makini unaeza igiziwa ukajua namba 1 ukioa unakuta☻2
Alafu mie nakuja kukucheka😁😁😁
 
Usiogope mi nina akili timamu, ukiona mwanamke amefikia kutiwa kibao ujue amevuka mipaka. Hana adabu kabisa. Mi napenda mtu ambaye tunasikilizana. Ukimweleza hili sio zuri usifanye hivi inanikwaza anaelewa.
Unajua im very cool...ila kama unajua mtu cool akichafukwa inakuaje then hutakuwa na wasiwasi. Mara nyingi wanawake wanaodundwa wantengenezaga mazingira hayo
nimepitia vipigo, madhara yake ni makubwa jaribu adhabu mbadala sio kumpiga mke, asipoelewa achana nae tu
 
Sema kweli!? Sema mwanaume anayejitambua

Mwingine utafanya hayo na bado akuone zuzu fulani hivi
Ni kweli na hapo ndo huwa tunaangukia no 2

Ila wapo wanaume wakipewa adabu atakupenda mpaka ushangae
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Hahahah sasa je na ndio michepuko inapopenyea hapo, ila wanawake wengi wajinga hawaelewi hili! Mwanaume anatakiwa apewe treatment special bana. Hata diet yake ni special!

Make a man feel like a man then umemaliza kazi wewe utapendwa hadi siku yako ya mwisho. Sema unachotaka hata dunia utapewa.

Sasa unakuta mke dharau, eti anajibu kwani we hauna mikono ama? That never works on me! Sana sana ntakuzabua nionekane katili.

In Addition ndoa inakaribia ku approach 40 years. Treatment is still the same sasa ambao wanahisi kuwa treated like a man ni kuwafanya utumwa na kunaisha watoto wakizaliwa waangalie walipoteleza.
Mkuu nimesoma hizo taratibu/tamaduni ulizokuzwa nazo, nimekuelewa, wengi tuliokulia mikoani tunakuzwa hivyo

Hasa watoto wa kike/wanawake

Ila trust me Kuna baadhi ya wanaume vichomi, nimesoma pale juu nikakupita kimya kimya

Nimefika hapa Tena.......

Kuna jambooooo......

Kwetu mume/baba vile tunamtreat ni kwa heshima ya Hali ya juu, na hazoeleki (hatuleti mazoea kwamba ifike sehemu umuache ajifanyie, hata Kama una kichanga) tunaambiwa kabisa mtoto wa kwanza mumeo, kichanga amewakuta


Hehehehhehehehe, Kaka Kuna wanaume usiombe , Hadi unajiuliza Nini hii? Nakosea wapi? Nini sifanyi?

Mwisho unahitimisha, au alinioa kwa bahati mbaya!!!????
 
nimepitia vipigo, madhara yake ni makubwa jaribu adhabu mbadala sio kumpiga mke, asipoelewa achana nae tu
Huyo aliokuwa anakupiga na level ya adabu na hekima ulionayo atakua yeye ndo alikuwa na shida. Mi sioni sababu ya kumuadhibu mtu ambaye anajua kusema samahani...hana kauli chafu kinywani mwake. Hatutakaa kufika huko afterall nimejifunza ku control temper yangu sikuhizi. Najizuia sana kufanya hivyo.
 
Mkuu nimesoma hizo taratibu/tamaduni ulizokuzwa nazo, nimekuelewa, wengi tuliokulia mikoani tunakuzwa hivyo

Hasa watoto wa kike/wanawake

Ila trust me Kuna baadhi ya wanaume vichomi, nimesoma pale juu nikakupita kimya kimya

Nimefika hapa Tena.......

Kuna jambooooo......

Kwetu mume/baba vile tunamtreat ni kwa heshima ya Hali ya juu, na hazoeleki (hatuleti mazoea kwamba ifike sehemu umuache ajifanyie, hata Kama una kichanga) tunaambiwa kabisa mtoto wa kwanza mumeo, kichanga amewakuta


Hehehehhehehehe, Kaka Kuna wanaume usiombe , Hadi unajiuliza Nini hii? Nakosea wapi? Nini sifanyi?

Mwisho unahitimisha, au alinioa kwa bahati mbaya!!!????
That means marrying a wrong guy, kuna wanaume hawana shukurani by nature tu! Ni perfectionists wao hawakosei ila mwanamke ndio anakosea. Hamna zuri utafanya akusifie its like upo upo tu katika maisha yake. I have an ex anateseka na mtu wa namna hio ni vilio tu akirudi kwao mzee anamtimua arudi kwa mumewe 🤣🤣🤣! Hatukuachana kwa ubaya anakumbuka how good i was to her ila ndio hivyo wakati ni ukuta na kuna decisions in life ziko complex ila unatakiwa u deal na consequences za maamuzi yako.

Ukiwa na mtu wa hivyo unaweza juta kuolewa hata kama unakaa kwenye hekalu hapo masaki, uwani zimepaki range rover, porsche na G wagon!

Mi pia nakuelewa sana...ila wanaume loyal tunapataga shida sana kupata wanawake wa calibre zetu.
 
Huyo aliokuwa anakupiga na level ya adabu na hekima ulionayo atakua yeye ndo alikuwa na shida. Mi sioni sababu ya kumuadhibu mtu ambaye anajua kusema samahani...hana kauli chafu kinywani mwake. Hatutakaa kufika huko afterall nimejifunza ku control temper yangu sikuhizi. Najizuia sana kufanya hivyo.
Endelea kupunguza kabisa hadi iwe zero
 
We jamaa unaonekana umetokea Pwani. Me nimeishi na Mshua na Maza toka nakua naona maza lazma aamke abandike maji ya kuoga alfajiri...

Ataandaa chai asubuhi mzee akitoka kuoga anavaa nguo zishapigwa pasi siku nyingi kisha anaenda mezani for breakfast. Mie nnje nishafagia na kuosha gari na ilikuwa kama utamaduni wetu. Mshua akirudi akapaki namshushia bag lake la ofisini napeleka chumbani kwake.

Kufua maza anafua nguo sox ananiachia mimi namsaidia. Akiwepo beki 3 anawasha jiko anabandika maji ila ni agizo la bi mkubwa. Kupika cha mshua bi mkubwa anapika mwenyewe. Mshua akiwa kazini madhe anasafisha room kwao. Sometimes ananiomba namsaidia kusafisha akiwa anaumwa au amechoka.

Sasa nikija kuoa mke asiwe kama ambavyo nimekuwa nikiona mazingira ya home au akashindwa ku cope na chores zake lazma tutashindwana tu. Japo mke sio mtumwa ila nimekuzwa kuwa Dominant! Ndio utamaduni wetu ulivyo na hakuna kitu mzee alikuwa anamaindi kama kunikuta jikoni nasaidia kazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nope!!!

Me wa mikoani ila naishi Dar,hii town kuoga maji hayachemshwi may be ingekuwa hivyo angefanya wife maana kitu kinachoitwa jiko sijawahi kuwasha nikiwa naye,kufua nguo sijawahi kufua akiwepo labda amesafiri na namshukuru Mungu wife anaijua mipaka yake.

Mkuu umri wako siujui ila kwa vyovyote vile mama yako ni aina ya wale wamama wa 60s so kimalezi huwezi kumfananisha kwa namna yoyote na hawa kina Esther na Mwajuma mnaokutana nao huko mavyuoni wakiwa na smartphone mikononi leo utegemee kuishi naye kama mama yako alivyokuwa anaishi na baba yako,never na ikiwa akilini mwako umejijengea picha hii kwa hawa wanawake wa siku hizi i swear jiandae kuzeeka ukiwa bachelor au ukiwa na familia isiyoelewa kama inaenda mbele au inarudi nyuma.sometimes hata wanaume huwa hatuelewi tunataka nini hasa,maana kizazi hiki wengi wenu mnataka na wake zenu watoke wakatafute kula ya familia sasa najiuliza huyu mke anatakiwa naye awahi kazini,so aamke aandae nguo zake,nguo zako (sitaiweka hii ya kuandaa chai alioakiifanya mama maana vijana siku hizi tume-advance chai tunanywea makazini) kisha mbio akaoge kisha tena akupelekee wewe maji bafuni wakati huo wewe umekaa tu...kweli mkuu hii inakuingia akilini?!!

Na itabidi aamke saa 9 ili hayo yote ayafanye kumbuka jana alirudi usiku amechoka akakuandalia kila kitu maji ya kuoga yakiwepo na unyumba usiku ulimuomba akakupa au hakukupa mimi sijui yaani kiufupi hapa inakuwa ni vurugu tu unaishi na mateka,haya uniambie ktk zunguka yako yoote umewahi ona ktk kizazi hiki wa kufanya hayo?usijilishe upepo ndoa ni reality tegemea lolote likiwa baya tafuta namna yakufanya liwe zuri likiwa zuri shukuru maisha yaende.u know,hata wakati sijaowa nilikuwa na mitazamo hii hii ila nilipoingia haraka sana nature ikani-select nikakuta kumbe sivyo nilivyokuwa nawaza,utashangaa nimeowa na miaka 27 tu kijana bado ila ubongo ukakaza ukaelewa mabadiliko yote hatua kwa hatua na sasa nimetulia maisha yanaenda.

Na siku hizi kuna kitu kinaitwa feminist sijui feni nini kimeingia hiki kwa mawazo yenu haya tegeemeni kuteseka sana na hawa wanawake,zama hizi hayupo mwanamke atakubali kuanzia mwaka wa kwanza wa ndoa yenu mpaka wa kumi,yeye aweke mtoto chini akupelekee maji bafuni kisa ni mumewe huku umekaa tu,yaani umejinyooshea miguu usubiri maji yaende bafuni nakwambia hayupo na usitegemee kukutana naye hata ukienda kumuokota huko kijijini ndani ndani ipo siku tu atakutaka ujihudumie mwenyewe na utajihudumia!
 
That means marrying a wrong guy, kuna wanaume hawana shukurani by nature tu! Ni perfectionists wao hawakosei ila mwanamke ndio anakosea. Hamna zuri utafanya akusifie its like upo upo tu katika maisha yake. I have an ex anateseka na mtu wa namna hio ni vilio tu akirudi kwao mzee anamtimua arudi kwa mumewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Hatukuachana kwa ubaya anakumbuka how good i was to her ila ndio hivyo wakati ni ukuta na kuna decisions in life ziko complex ila unatakiwa u deal na consequences za maamuzi yako.

Ukiwa na mtu wa hivyo unaweza juta kuolewa hata kama unakaa kwenye hekalu hapo masaki, uwani zimepaki range rover, porsche na G wagon!

Mi pia nakuelewa sana...ila wanaume loyal tunapataga shida sana kupata wanawake wa calibre zetu.
We jamaa unanisema wallah tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahah uko sahihi sana we trully appreciate...

Na uzuri na mzee alikuwa blessed! Maza amekuwa akibadilisha mipira tu throughout the years. Ni housewife ila ameishi maisha kama ya mtumishi tu. Kila jumapili anachagua aendeshe lipi kwenda Church.

Kwa hilo mzee amemtendea haki! And she truly deserved it. Heshima na adabu imemlipa vizuri.
Na hii ndio sababu kubwa mama aliweza kumfanyia baba hayo mambo na zaidi. Kama angekua anapurukushana na foleni za kuamka saa kumi na kurudi saa tatu usiku nina uhakika baadhi ya mambo hapo asingeweza kuyafanya sababu ya uchovu wa kazi, watoto na mambo kama hayo.

Kwahiyo kama upo Dar unataka mwanamke mwenye kipato na bado akufanyie hayo ambayo mama alifanya kwa baba kwa kizazi hiki sio rahisi.
 
Dictator kama dictator[emoji119]
Kwetu sie wanaume ni very loyal but Dominant! Mwanamke mwenye kiburi na ujujaji hataweza maana kwetu mwanamke lazima aishi katika mipaka yake hata awe mkurugenzi BOT! We are raised to treat women as women. Alitumia babu, mzee mpaka mjukuu sahivi ndio mwendo huo.

Mwanamke anatakiwa awe msikivu na mwenye heshima. Ni amri sio ombi!!! Anaeona hawezi aage mapema tu maana huko mbele tutatiana lawama tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
q
Nope!!!

Me wa mikoani ila naishi Dar,hii town kuoga maji hayachemshwi may be ingekuwa hivyo angefanya wife maana kitu kinachoitwa jiko sijawahi kuwasha nikiwa naye,kufua nguo sijawahi kufua akiwepo labda amesafiri na namshukuru Mungu wife anaijua mipaka yake.

Mkuu umri wako siujui ila kwa vyovyote vile mama yako ni aina ya wale wamama wa 60s so kimalezi huwezi kumfananisha kwa namna yoyote na hawa kina Esther na Mwajuma mnaokutana nao huko mavyuoni wakiwa na smartphone mikononi leo utegemee kuishi naye kama mama yako alivyokuwa anaishi na baba yako,never na ikiwa akilini mwako umejijengea picha hii kwa hawa wanawake wa siku hizi i swear jiandae kuzeeka ukiwa bachelor au ukiwa na familia isiyoelewa kama inaenda mbele au inarudi nyuma.sometimes hata wanaume huwa hatuelewi tunataka nini hasa,maana kizazi hiki wengi wenu mnataka na wake zenu watoke wakatafute kula ya familia sasa najiuliza huyu mke anatakiwa naye awahi kazini,so aamke aandae nguo zake,nguo zako (sitaiweka hii ya kuandaa chai alioakiifanya mama maana vijana siku hizi tume-advance chai tunanywea makazini) kisha mbio akaoge kisha tena akupekee wewe maji bafuni wakati huo wewe umekaa tu...kweli mkuu hii inakuingia akilini?!!

Na itabidi aamke saa 9 ili hayo yote ayafanye kumbuka jana alirudi usiku amechoka akakuandalia kila kitu maji ya kuoga yakiwepo na unyumba usiku ulimuomba akakupa au hakukupa mimi sijui yaani kiufupi hapa inakuwa ni vurugu tu unaishi na mateka,haya uniambie ktk zunguka yako yoote umewahi ona ktk kizazi hiki wa kufanya hayo?usijilishe upepo ndoa ni reality tegemea lolote likiwa baya tafuta namna yakufanya liwe zuri likiwa zuri shukuru maisha yaende.u know,hata wakati sijaowa nilikuwa na mitazamo hii hii ila nilipoingia haraka sana nature ikani-select nikakuta kumbe sivyo nilivyokuwa nawaza,utashangaa nimeowa na miaka 27 tu kijana bado ila ubongo ukakaza ukaelewa mabadiliko yote hatua kwa hatua na sasa nimetulia maisha yanaenda.

Na siku hizi kuna kitu kinaitwa feminist sijui feni nini kimeingia hiki kwa mawazo yenu haya tegeemeni kuteseka sana na hawa wanawake,zama hizi hayupo mwanamke atakubali kuanzia mwaka wa kwanza wa ndoa yenu mpaka wa kumi,yeye aweke mtoto chini akupelekee maji bafuni kisa ni mumewe huku umekaa tu,yaani umejinyooshea miguu usubiri maji yaende bafuni nakwambia hayupo na usitegemee kukutana naye hata ukienda kumuokota huko kijijini ndani ndani ipo siku tu atakutaka ujihudumie mwenyewe na utajihudumia!
Kuna kitu kinaitwa Empathy, if you mean that then hakuna tatizo maana kwa kila binadamu aliyekamilika na mwenye afya nzuri ya akili lazima atakuwa nacho.

Unasaidia tu kwa kuguswa, ila sio kwamba usipofanya zitaanza kelele. Maana wanawake wa kibongo wapo vizuri sana, kuna jamaa jana alikuwa analalamika kuwa anamsaidia mkewe kazi mwishowe mke kamgeuzia kibao. Hii haikubaliki!
 
Na hii ndio sababu kubwa mama aliweza kumfanyia baba hayo mambo na zaidi. Kama angekua anapurukushana na foleni za kuamka saa kumi na kurudi saa tatu usiku nina uhakika baadhi ya mambo hapo asingeweza kuyafanya sababu ya uchovu wa kazi, watoto na mambo kama hayo.

Kwahiyo kama upo Dar unataka mwanamke mwenye kipato na bado akufanyie hayo ambayo mama alifanya kwa baba kwa kizazi hiki sio rahisi.
Kwahio ushauri nichukue mwanamke ambaye hana kipato sio? Ndio nitakula mema ya nchi 🤣🤣🤣,?

Tatizo wanawake wa mjini hawataki kukaa ndani sikuhizi hata kama utampa kila kitu. Anataka nae atoke akajishughulishe 😁
 
Hata kama akiwa anajishughulisha asiwe yule strong woman anayetaka kupanda vyeo kila mwaka yani mtu aliyeko goal oriented kihivyo. Wanawake wengi wa hivyo wapo very competitive hadi majumbani utaishia kumpiga atakushtaki utafungwa
Kwahio ushauri nichukue mwanamke ambaye hana kipato sio? Ndio nitakula mema ya nchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787],?

Tatizo wanawake wa mjini hawataki kukaa ndani sikuhizi hata kama utampa kila kitu. Anataka nae atoke akajishughulishe [emoji16]
 
Back
Top Bottom