Ukiwashwa washwa dawa ipo! Mie mwanamke mwenye hekima anaejua aseme nini na saangapi ndio tutaenda sawa ila mjuaji na kidomo domo atantia lawama siku moja.[emoji23][emoji23][emoji23] aise hao miili yao huwa inawasha washa kama wanawake wakikurya.
Yani siku ikatokea kwenye huu ulimwengu wa nyama nikakutana na wewe halafu nikajua wewe ndio Extrovert ntakimbia eneo hilo nisirudi kabisa na hiyo barabara sipiti tenaaaa....nisije nikakuongelesha ukanikata mtama mtoto wa watuWe lazma nije nikutolee posa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtoto mzuri!
Au unataka tukune wote nazi jikoni? Mambo ya kishwaini
Huyo mbona mapema tu anakula red card😆 mwanamke lazma awe na kiasi bana. Sasa anataka vyeo kama brigedia sindio mwanzo wa kuleteana ubabe mjengoni.Hata kama akiwa anajishughulisha asiwe yule strong woman anayetaka kupanda vyeo kila mwaka yani mtu aliyeko goal oriented kihivyo. Wanawake wengi wa hivyo wapo very competitive hadi majumbani utaishia kumpiga atakushtaki utafungwa
Lolol niache[emoji23][emoji23]Hahah halafu we ndio mzuri maana unaogopa makwenzi...nikikohoa tu unarudi kwenye key mambo yanaenda sawa! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo nakudekeza tu kama mtoto...hadi utapenda mwenyewe. Ukija kustuka una vitoto vitatu [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahah halafu we ndio mzuri maana unaogopa makwenzi...nikikohoa tu unarudi kwenye key mambo yanaenda sawa! 🤣🤣🤣🤣🤣Yani siku ikatokea kwenye huu ulimwengu wa nyama nikakutana na wewe halafu nikajua wewe ndio Extrovert ntakimbia eneo hilo nisirudi kabisa na hiyo barabara sipiti tenaaaa....nisije nikakuongelesha ukanikata mtama mtoto wa watu
Hahahaha haya bhana kila la heriZero itategemea niko na namba 2 ndogo au kubwa🤣🤣🤣
La pili mkuuHakuna mwanamke wa kawaida bali kuna wanawake aina mbili:
1. Understanding
2. Non-Understanding
Kundi la kwanza (Understanding) sifa zao:
- Open minded, huwa wako real to themselves and their patners
- Hawapendi makelele/malumbano.
- Husikiliza zaidi kuliko kuongea
- Wepesi wa kujishusha inapobidi ili kusawazisha mambo.
- Wako positive and very supportive in different situations..humbleness!
- Hawana calibre ya ujuaji.
- Mara nyingi hupenda kupata suluhu ya matatizo upesi kabla mambo hayajawa mengi.
Kundi la pili hawa (Non-Understanding):
- Closed minded, hawawezi kuelezea hisia zao ila wanataka wewe ujue anachotaka as if we ni malaika.
- Argument oriented, jambo dogo litakuzwa ilimradi muanze kuparuana tu...ukikasirika basi hapo moyo wake unakuwa baridi kwamba kakukomesha.
- Wajuaji, huwezi mshauri kitu maana yeye anajua zaidi...kumbe kasikia kwa shoga yake flani huko anakomalia anachotaka yeye ndio kiwe. Ukimkatalia ukafanya lako ujue nyumba haitakalika.
- Attention seeking, kususa ni silaha yao kubwa hawa viumbe wa kundi hili. Atakunyima unyumba, ataacha kukufungulia geti, atakuchunia ili tu akukomeshe na raha yake aone mwisho wewe ndio umejipendekeza.
- Ulalamishi mwingi na masimango, KE hawa hupenda kuongea sana, atalalamika kuhusu hiki, mara kile mara mbona hauko kama fulani.
- Hawapendi kuwa responsible katika situations, Usiombe kufanya plan na mwenza wa kundi hili halafu ishu ikabuma. Lazma atatafuta namna ya kuonesha kwamba wewe ndio umesababisha ishu ifeli ilimradi tu akusimange na kukuangushia jumba bovu. Hata kama wazo alitoa yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Je, mkeo anatokea katika kundi gani hapo? Let's share!
Hivi ile Bagamoyo road pale katikati kutoka Morocco wanataka kuweka njia ya Bus Rapid transit ?Hapana nimefika nilipopataka
Amani niliyoihitaji nimeipata, hiyo ya kwako sio kwa ajili yangu
🙄Hivi ile Bagamoyo road pale katikati kutoka Morocco wanataka kuweka njia ya Bus Rapid transit ?
Nakupenda sana
Mkuu unaniambia hongera?. Nimejaribu maisha yote,kijeshi,upole,kwake vyote ni bure mkuu. Ni kazi kubwa kuishi na aina hii. Tatizo unakuja kumjua tayari uko uwanjani nae. Anaweza kukuandikia sms 100,wewe umeandika moja tu.Shida sasa nikichukua action ya kumpiga chinidah hongera sana
Hahaha drama Queen huyo! Jau sana babaake sema kama wife ni ngumu. Fanya kumu ignore tu 🤣🤣🤣 ila kama GF unabwaga tu.Mkuu unaniambia hongera?. Nimejaribu maisha yote,kijeshi,upole,kwake vyote ni bure mkuu. Ni kazi kubwa kuishi na aina hii. Tatizo unakuja kumjua tayari uko uwanjani nae. Anaweza kukuandikia sms 100,wewe umeandika moja tu.Shida sasa nikichukua action ya kumpiga chini
They take shit too seriouslyKwahiyo hizo familia wenyewe hawaolewi/kuoa?
Wife kabisa mkuu,tuna miaka zaidi ya 10. Kawaida yangu mimi ni mpole,ila kuna ikizidi nakuwa mbogo,japo napoa haraka. Mwisho wa siku nikapata suruhisho,ambalo nusula limtoe roho. Nionee huruma tu mkuu,H
Hahaha drama Queen huyo! Jau sana babaake sema kama wife ni ngumu. Fanya kumu ignore tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila kama GF unabwaga tu.
Suluhisho lazma ni kipoozeo tu 🤣🤣🤣 maana amna namna ingineWife kabisa mkuu,tuna miaka zaidi ya 10. Kawaida yangu mimi ni mpole,ila kuna ikizidi nakuwa mbogo,japo napoa haraka. Mwisho wa siku nikapata suruhisho,ambalo nusula limtoe roho. Nionee huruma tu mkuu,