Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Dah jamani hizi Mambo ....

Mtu unaanza kujiuliza kwa hiyo kwenye hii ndoa ndio sitafurahia mahaba!?

Hivi unajua Kuna wanaume baadhi mpo hivyo, na kabla mnakuwa romantic kabisa Ila baadae mnaanza Mambo hadi unajiuliza ni yeye au pacha wake?????


Inaboaa aiseeee natamani kuongeza sauti
 
Mm nimetamani kulike mara2 wanajikuta madingiii hadi kwa wake zao
 
Hahaaa jamani! Hao wanawake starehe yao itakuwa nini sasa?
 

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahah unapoona wanaume wapo hivyo jua kuna wanawake ni worst!

Kwangu mwanamke akiwa sio Romantic ni kipengele tayari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hamna stress mbaya kama uwe na namba 1 halafu awe mama huruma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!

Mwanamke akiwa promiscous hata akiwa namba 1 ni mateso bila chuki!

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Daaah watu wa mpira wanaziita lose ball
 
Hahahah unapoona wanaume wapo hivyo jua kuna wanawake ni worst!

Kwangu mwanamke akiwa sio Romantic ni kipengele tayari [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unajua Kuna wanaume mwanamke akiwa romantic anamkashifu na kumtukana!?

Inaboa jamani, yaani mtu unazeeka na uromantic wako moyoni
 
Hao namba 2 ni kuchezanao na kerebu tu!
Ati kitu kidogo anipigie kelele namuuliza nilioa kipaza sauti au..? Akiendelea namwambia tu bwana awe nawe..πŸ˜… asiposikia na hilo hilo sasa zoezi linahamia kutoka kwenye fasihi simulizi na kuwa fasihi vipigizi!! Hapo ni kibano tu..

Akilalama niwe Kama fulani na hana mantiki natafuta shuka najifunika gubigubi nalala hata Kama ni mchana wa saa nane.. Sasa aje aniamshe hapo ndo atajua kwanini yule aliekuwa na majini kwenye ile movie ya yesu aliitwa jeshi..πŸ˜…

Hawa namba mbili wataniweza kwenye kususa..πŸ˜‚ kususiwa unyumba si inauma wajameni kumbe ndo mateso ya ndoa yapo hivyo..?!
Kususiwa si mchezo ukute kitu Cha Osama bin laden kimesimama Dede then anakususia duh! Kwa sisi vibaka hapo ndo kipaji chetu huwa kinajidhihirisha..πŸ˜…

Namba mbili mi naomba nikaenao mbali watanitafutia kesi za kutoa mtu meno bila kupenda..πŸ˜…
 
Wanaboa mno, Kuna muda unawaza ningekuwa na Mimi ni Me......Ningetafuta mchepuko awe anatuliza nafsi
Hizo ndio shughuli zetu,,,kwanini upate shida mama!?🀣🀣🀣
 
Hahahah mara paaap ndio mkeo sasa huyo 🀣🀣🀣
 
Kwa kujidai unanijua sana sasa.πŸ˜ƒhunijui hata robo Chief.zaidi ya miandiko huku ya kuruka makida makida hakuna kitu kingine unajua kunihusu
πŸ˜‚πŸ˜‚ Sawasawa naona Kuna ngariba unataka kumrowa..πŸ˜… joke..

Sawa namba moja wa watu..😜
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Sawasawa naona Kuna ngariba unataka kumrowa..πŸ˜… joke..

Sawa namba moja wa watu..😜
Punguza majani πŸ˜†πŸ˜†muone kwanza

Dawa yako n kukuzingua tu hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…