Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Bwana Yesu asifiwe?

Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.

Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.

=========

Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea

======

23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI

View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
Tapeli Mwamposa kazini, na watu wanakubali kutapeliwa kiurahisi kabisa.
 
Kama watu wanatoa pesa na wanapokea matamanio ya mioyo yao, yaani wanafanikishwa, acha watoe, ukidhani nivirahisi, itisha kongamano na wewe uone kama utawapata hao watu. Tusiwe na mawazo yenye mlengo hasi tu, tujifunze pia kwanini Boniphace Mwamposa kafanikiwa hivi na iwe chachu kwenye maisha yetu.
Yaani "unatoa pesa,Ili upate,baraka"!!
Hii Kali kweli kweli,HIV,Daimond,Eron musk,Dangote,walitoa wapi pesa mpaka na wao wakapata pesa?
Hizi akili hizi,yaani unaamini,Ili biashara yqko ikue,upate ajira,upate mume,mke,watoto wafaulu mitiani,upone magonjwa sugu,lazima utoe pesa kwanza kwa "nabii"?!!!!
Huu ujinga huu,utaua watu,wewe unapeleka watoto wako waombewe kwa Mwamposa,tajiri watoto wake,wapo wanachezea tablets,computer,wanaenda Nairobi kijifunza kurusha Ndege, wanaenda tours mbugani,unafikiri nani atakuwa Bora kwenye masomo?
 
Watanzania wana matatizo sana, na wanadhani matatizo yao yataondolewa kwa wese na chumvi.
Basi nenda kawaondolee weww hayo matatizo..mana hata serikali yako ya ccm 60 years bado wanalia njaa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Yaani "unatoa pesa,Ili upate,baraka"!!
Hii Kali kweli kweli,HIV,Daimond,Eron musk,Dangote,walitoa wapi pesa mpaka na wao wakapata pesa?
Hizi akili hizi,yaani unaamini,Ili biashara yqko ikue,upate ajira,upate mume,mke,watoto wafaulu mitiani,upone magonjwa sugu,lazima utoe pesa kwanza kwa "nabii"?!!!!
Huu ujinga huu,utaua watu,wewe unapeleka watoto wako waombewe kwa Mwamposa,tajiri watoto wake,wapo wanachezea tablets,computer,wanaenda Nairobi kijifunza kurusha Ndege, wanaenda tours mbugani,unafikiri nani atakuwa Bora kwenye masomo?
Kawasaidie basi wewe ambaye unaona hawako sawa...wivu wa kike huo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Yaani "unatoa pesa,Ili upate,baraka"!!
Hii Kali kweli kweli,HIV,Daimond,Eron musk,Dangote,walitoa wapi pesa mpaka na wao wakapata pesa?
Hizi akili hizi,yaani unaamini,Ili biashara yqko ikue,upate ajira,upate mume,mke,watoto wafaulu mitiani,upone magonjwa sugu,lazima utoe pesa kwanza kwa "nabii"?!!!!
Huu ujinga huu,utaua watu,wewe unapeleka watoto wako waombewe kwa Mwamposa,tajiri watoto wake,wapo wanachezea tablets,computer,wanaenda Nairobi kijifunza kurusha Ndege, wanaenda tours mbugani,unafikiri nani atakuwa Bora kwenye masomo?
Kuna watu mabwege hatari.
 
Kama watu wanatoa pesa na wanapokea matamanio ya mioyo yao, yaani wanafanikishwa, acha watoe, ukidhani nivirahisi, itisha kongamano na wewe uone kama utawapata hao watu. Tusiwe na mawazo yenye mlengo hasi tu, tujifunze pia kwanini Boniphace Mwamposa kafanikiwa hivi na iwe chachu kwenye maisha yetu.
Wajinga ndio mliwao
 
Ningekuwa sina tofauti nao ningekuwepo kuungana na mafala wenzangu....
Mimi ni mwerevu ndugu yangu.
Utapeli wa namna hii ni ngumu kunipata....Mungu kanipa akili na katika hili namshukuru sana.
Ungekua mwerevu hata kwenye hii post ya mafala usinge changia..huna tofauti na na wewe kuna mahali ni fala kama mafala wengine.

Huna werevu wowote.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sasa slogan ni VUKA NA CHAKO ule muda wa Sadaka ya KUJIMALIZA HADI NAULI waumini watabaki na nini
 
Ungekua mwerevu hata kwenye hii post ya mafala usinge changia..huna tofauti na na wewe kuna mahali ni fala kama mafala wengine.

Huna werevu wowote.

#MaendeleoHayanaChama
Kwa heri endelea kuteseka.
Wacha tuendelee kulijenga Taifa la Mungu wa kweli, Mungu wa Isaka na Yakobo.
 
Poleni na uchovu

Ivi kuna mtu mwingine anae weza jaza uwanja wa taifa ukitoa simba na yanga wanaweza kujaza uwanja

Hila huyu mtu kajua kuwateka wa tanzania hila sikuizi watu wanapenda miujiza haya

Na hapo bado njee kuna watu wanasubili kuingia tutegemee nini?

View attachment 2449376
Wapo.Kongamano la Roman Catholic mkoa wa Dar uujaza huo uwanja.
Mkesha wa maombi wa makanisa ya kipentekoste uujaza huo uwanja
 
Back
Top Bottom