Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Somo refu Sana... Nakushauri fuatilia masomo ya mtumishi mmoja anaitwa Katekela, yuko U tube alikuwa huko walioko hao.... A najua mambo mengi Sana ya ulimwengu wa roho na tricky wanazotumia kuteka watu wengi wa mungu


Sawa naona ni refunkweli ni part 14 hapo. Naona pia inahitajika 4500$ mtumish afanikishe safari ya Nairobi [emoji16]
 
Mawazo yangu binafsi

Watu wanakejeli eti waliohudhulia huo mkesha ni wajinga na wanamtajirisha Mwamposa, lakini najaribu kuwaza, tatizo nikutoa kwa Mwamposa au nikwasababu wanatoa wengi? Maana hata wewe ambaye hujahudhulia, huko unakoabudu bado unatoa pesa, hata Kama uitafutie majina mazuri namna gani lakini bado unatoa pesa. Mwamposa amebarikiwa kuwa na Mvuto au kibali Cha watu, huenda wakati wake ukapita, lakini atabaki kwenye kumbukumbu za waamini Mungu kuwa, Mwamposa alikuwa na kibali. Mafundisho yake yapo OPEN Sana, anakuambia ukweli kabisa, kwamba, kuendesha kipindi Cha Tv LIVE kwenye station, ni gharama, anakuomba, Kama unaweza, changia elf 50, 20 au 10, lakini hakulazimishi Wala hakusimangi kwanini hujatoa. Wote wanaotoa, wanatoa kwa hiari yao. Na kusema ukweli tu, watu wanaotoa sadaka,popote, iwe msikitini, kanisani au kwa waganga ndiyo wanaofanikishwa zaidi, maskini ndiye mwenye tabia zakuona anaibiwa na bado hata hafanikiwi pamoja na ubahili wake.
Hayo ni maoni yangu binafsi
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Niliweka nadhiri ya kusoma kitabu cha ZABURI
zaburi ina masomo 150 nilisoma na kutafakari asubh na usiku mpk kumaliza nilitumia miezi mitatu.....sikupata majibu ya maombi yangu..

Jinsi ilivyo kua ngumu kwa mtu kama mimi kwenda kusali makanisa kilokole na wokovu.....

Dada angu mmoja rafik wa brother angu alikuaga ananambia mara kwa mara Am 4 real twende kwa mwamposa....

In short nilikaa na kujitafakari sana siku moja miaka mingi sana iliyo pita nikaenda kwa mwamposa

For sure kama una mtu kwenu mwenye tatizo au jambo lolote jaribu kwenda pale hata kama hauna imani...

Ninashuhudia nimeshuhudia matendo makuu ya MUNGU kupitia arise & shine...

Utakuja hapa nakuahid utakuja kutupa ushuhuda......
 
Niliweka nadhiri ya kusoma kitabu cha ZABURI
zaburi ina masomo 150 nilisoma na kutafakari asubh na usiku mpk kumaliza nilitumia miezi mitatu.....sikupata majibu ya maombi yangu..

Jinsi ilivyo kua ngumu kwa mtu kama mimi kwenda kusali makanisa kilokole na wokovu.....

Dada angu mmoja rafik wa brother angu alikuaga ananambia mara kwa mara Am 4 real twende kwa mwamposa....

In short nilikaa na kujitafakari sana siku moja miaka mingi sana iliyo pita nikaenda kwa mwamposa

For sure kama una mtu kwenu mwenye tatizo au jambo lolote jaribu kwenda pale hata kama hauna imani...

Ninashuhudia nimeshuhudia matendo makuu ya MUNGU kupitia arise & shine...

Utakuja hapa nakuahid utakuja kutupa ushuhuda......
Ila dhambi hamtaki kuacha.
Muujiza mkuu mbele za Mungu ni binadamu kuacha dhambi.
Haya mambo mengine hata wabudha, waislamu, Wakristo na waganga huvifanya
 
Bwana Yesu asifiwe?

Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.

Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.

=========

Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea

======

23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI

View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
Acha watu wafunguliwe,nchi inahitaji sana maombi hii
 
Twendeni kwa mwamposia jamani sadaka sio lazima mi nilienda mara moja in my lifetime hope nitaenda tena nilienjoy sana upako wa pale nilijihisi mwili una vibrate, kuna jambo niliomba naona limetick, wazazi waligombana sana kiasi kwamba kutishiana kuudhuriana, wakapelekana polisi, ila niake da mahsusi kuwaombea nami maana mi ndo mkubwa na ndo middle man ktk ugomvi wao maana baba atanilalamikia na mama nae atanilalamikia kuhusu mwenzie,

Saiv wameelewana hadi wanakaa pamoja kama hakuna. Kilichotokea, bado kimoja mzee kuwa na stable economy,
 
Bwana Yesu asifiwe?

Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.

Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.

=========

Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea

======

23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI

View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
Watu walikanyaga mafuta usiku je ni kweli? Na wengine eti wameanguka na kuumia au kufa je ni kweli?
 
Acha uzishi wewe, uliuliza dini zao kwa kila aliyeingia pale? Kumbuka hatuzungumzii dini za walioingia Bali kujaa uwanja
Sio udini Kishki ni nani? Mimi mkristo sijui,tuanzie hapo
 
Ila dhambi hamtaki kuacha.
Muujiza mkuu mbele za Mungu ni binadamu kuacha dhambi.
Haya mambo mengine hata wabudha, waislamu, Wakristo na waganga huvifanya
Habar yako bwana sandali Ali....
"ila dhambi hamtaki kuacha"
Napata ukakasi na hii kauli yako.....

Hakuna Alie mtakatifu ila ni mwenyezi MUNGU pekee....

Kuanza kunyooshea watu vidole kua wanadhambi nazani sio sahihi....

Hata yesu kristo aliwai kuwa ambia kama unajiona hauna dhambi hata Moja uwe wa kwanza kurusha jiwe....Kwa yule mwanamke....wote walinywea

So tusijifanye kuingilia utukufu wa MUNGU Kwa kujifanya wakamilifu....
 
Back
Top Bottom