Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mkubwa mkubwa tuu mkuuUkute dodo anabeba ma vyuma pande la jibaba alafu kaka mfupi mwembamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkubwa mkubwa tuu mkuuUkute dodo anabeba ma vyuma pande la jibaba alafu kaka mfupi mwembamba
Tafuta Hela wewe.Morning wapendwa,
Hivi kwa mfano haujaanza maisha kutokana labda na kusoma upo nyumbani unasubiri matokeo yako ili uendelee kuangalia mikakati mingine ya kimaisha hapo nyumbani unaishi na ndugu na wadogo zako baada ya muda wadogo zako wanaanza kukudharau, mfano kuna dogo hapa home kaninunua mwezi wa tatu sasa bila sababu yeyote ile kuna mda anaimba nyimbo za mafumbo na kuziimbisha akijisikia.
Dogo anasoma chuo veta yupo likizo, iko chuo nilimtafutia mwenyewe, na kila akirudi likizo namchambulia nguo ambazo sizivai,yani ananinunia huku kakobeka nguo nilizompaga uko nyuma,na muangalia simmalizi dogo,nawaza nikipata kazi nimgawie zote zilizobaki Mimi nianze upya,bado anasoma najua anaweza akabanwa na ratiba za kununua nguo,kama mnavyojua wazazi Mara nyingi wanakupa ada na ela ya kula, lakini Leo ananidharau, na ana kazi ya kuficha vitu Mara afiche sabuni Mara sukari Mara mboga, chakula kikibaki anakubali kumpa mtu wa baki lakini anajua Mimi bado sijala, ananiharibu kisaikolojia siku nikipata kazi nikimuoneshea roho ngumu atasema kaka hanisaidii au atasemaje kutokana na izi tabia anazonioneshea saizi.
Na mda najishusha namchukulia kama dogo kama kumpa nilichonacho, lakini bado anaendelea na ratiba zake zile zile za kujinunisha, nakaaga nawaza siku Mungu akinisaidia kupata ajira au kuwa na kipato chochote kitakacho niingizia ela nije nimsaidie ata mahitaji ya shule lakini naona ananitengenezea mazingira ya kumchukia na kutotaka kumsaidia huko mbeleni kutokana na kiburi na jeuri zake.
Kuna mda napata hasira nasema akijaribu kunijibu chochote namkata vibao ,nimeamini usipokuwa na ela ata ndugu yako wa damu anakuchukia tu bila sababu,ungekuwa wewe ungefanyaje.
Akil za kipumbav sanaHama hapo kwenu, halafu kama huyo dogo wako ni wakike mpelekee moto mtie mimba ataacha dharau.
Amtafutie bwana au yeye, si ndugu yake huyo?Hama hapo kwenu, halafu kama huyo dogo wako ni wakike mpelekee moto mtie mimba ataacha dharau.
Kwenye avatar ni wewe, kama nakufahamu mkuuUnalazimisha undugu 😂😂
Akijaribu mdogo atamtandika makofi na kumfukuzwa nyumbani..Ukute dodo anabeba ma vyuma pande la jibaba alafu kaka mfupi mwembamba
Tunalipana hapahapa wengine hawawezi watajifunza kupitia yeyeHayo mbona ni ya kawaida sana kwenye Jamii.
Kikubwa ni kumuomba Mungu akupe subra, na pale utakapofanikiwa kamwe wala usiwaze kulipiza kisasi bali ndio iwe nafasi ya kumuonesha inavyopaswa kuwa...Mungu hutoa thawabu kwa yaliyo mema tu na sio visasi au uhasama.
Ushaniona wapi.Kwenye avatar ni wewe, kama nakufahamu mkuu
Mkuu don't take it personal, wewe ishi maisha yako bila kujali matendo na maoni ya watu wengine, soma kitabu kimoja kinaitwa the four (4) agreements cha Don Miguel kitakusaidia pia jitahidi vitu vidogo kama sabuni uweze kujikidhi, chakula ukipata shukuru ukikosa pia shukuru ninachujua uwezi kukosa kula siku zote. Kuna stage kwenye maisha lazima upitie ili kukujenga. Pia kumbuka hakuna Hali ya kudumu kwenye maisha.Morning wapendwa,
Hivi kwa mfano haujaanza maisha kutokana labda na kusoma upo nyumbani unasubiri matokeo yako ili uendelee kuangalia mikakati mingine ya kimaisha hapo nyumbani unaishi na ndugu na wadogo zako baada ya muda wadogo zako wanaanza kukudharau, mfano kuna dogo hapa home kaninunua mwezi wa tatu sasa bila sababu yeyote ile kuna mda anaimba nyimbo za mafumbo na kuziimbisha akijisikia.
Dogo anasoma chuo veta yupo likizo, iko chuo nilimtafutia mwenyewe, na kila akirudi likizo namchambulia nguo ambazo sizivai,yani ananinunia huku kakobeka nguo nilizompaga uko nyuma,na muangalia simmalizi dogo,nawaza nikipata kazi nimgawie zote zilizobaki Mimi nianze upya,bado anasoma najua anaweza akabanwa na ratiba za kununua nguo,kama mnavyojua wazazi Mara nyingi wanakupa ada na ela ya kula, lakini Leo ananidharau, na ana kazi ya kuficha vitu Mara afiche sabuni Mara sukari Mara mboga, chakula kikibaki anakubali kumpa mtu wa baki lakini anajua Mimi bado sijala, ananiharibu kisaikolojia siku nikipata kazi nikimuoneshea roho ngumu atasema kaka hanisaidii au atasemaje kutokana na izi tabia anazonioneshea saizi.
Na mda najishusha namchukulia kama dogo kama kumpa nilichonacho, lakini bado anaendelea na ratiba zake zile zile za kujinunisha, nakaaga nawaza siku Mungu akinisaidia kupata ajira au kuwa na kipato chochote kitakacho niingizia ela nije nimsaidie ata mahitaji ya shule lakini naona ananitengenezea mazingira ya kumchukia na kutotaka kumsaidia huko mbeleni kutokana na kiburi na jeuri zake.
Kuna mda napata hasira nasema akijaribu kunijibu chochote namkata vibao ,nimeamini usipokuwa na ela ata ndugu yako wa damu anakuchukia tu bila sababu,ungekuwa wewe ungefanyaje.
Ushawahi kuishi dar?Ushaniona wapi.
Isije kua ww ni jirani angu🙆
Aaah basi hadi hapo umenifananishaUs
Ushawahi kuishi dar?
Kweli nimekufananisha mkuuAaah basi hadi hapo umenifananisha
Ndio umenifananisha mkuu Dar sijawai ishiKweli nimekufananisha mkuu
Kasema anamuachiaga hadi nguo zake sasa unashindwa kupambanua hata jinsia ya dogo kweli?Amtafutie bwana au yeye, si ndugu yake huyo?