Mkidharauliwa na ndugu huwa mnachukua hatua gani?

Mkidharauliwa na ndugu huwa mnachukua hatua gani?

Morning wapendwa,

Hivi kwa mfano haujaanza maisha kutokana labda na kusoma upo nyumbani unasubiri matokeo yako ili uendelee kuangalia mikakati mingine ya kimaisha hapo nyumbani unaishi na ndugu na wadogo zako baada ya muda wadogo zako wanaanza kukudharau, mfano kuna dogo hapa home kaninunua mwezi wa tatu sasa bila sababu yeyote ile kuna mda anaimba nyimbo za mafumbo na kuziimbisha akijisikia.

Dogo anasoma chuo veta yupo likizo, iko chuo nilimtafutia mwenyewe, na kila akirudi likizo namchambulia nguo ambazo sizivai,yani ananinunia huku kakobeka nguo nilizompaga uko nyuma,na muangalia simmalizi dogo,nawaza nikipata kazi nimgawie zote zilizobaki Mimi nianze upya,bado anasoma najua anaweza akabanwa na ratiba za kununua nguo,kama mnavyojua wazazi Mara nyingi wanakupa ada na ela ya kula, lakini Leo ananidharau, na ana kazi ya kuficha vitu Mara afiche sabuni Mara sukari Mara mboga, chakula kikibaki anakubali kumpa mtu wa baki lakini anajua Mimi bado sijala, ananiharibu kisaikolojia siku nikipata kazi nikimuoneshea roho ngumu atasema kaka hanisaidii au atasemaje kutokana na izi tabia anazonioneshea saizi.

Na mda najishusha namchukulia kama dogo kama kumpa nilichonacho, lakini bado anaendelea na ratiba zake zile zile za kujinunisha, nakaaga nawaza siku Mungu akinisaidia kupata ajira au kuwa na kipato chochote kitakacho niingizia ela nije nimsaidie ata mahitaji ya shule lakini naona ananitengenezea mazingira ya kumchukia na kutotaka kumsaidia huko mbeleni kutokana na kiburi na jeuri zake.

Kuna mda napata hasira nasema akijaribu kunijibu chochote namkata vibao ,nimeamini usipokuwa na ela ata ndugu yako wa damu anakuchukia tu bila sababu,ungekuwa wewe ungefanyaje.
Ni kweli ila kama ulikuwa unawapa akaleta dharau maana huna hatoachwa kapa mie siwezi kumdharau ndugu yangu aliyenisaidia hata kama hana ndugu yangu wa damu au wakufikia siwezagi au rafiki siwezi namuheshimi.
Now kaka yangu anapitia hali hiyo ila sijawahi kumdharau kwa maana pindi sijielewi napigwa madongo humu alijitolea wewe nyamaza pia na Mungu wako
 
Pole sana, japo maisha siyo kutesa kila siku, ila pesa ndiyo kila kitu...
 
Ondoka hapo haraka Sana .. kapange ..kasake life nje ya hapo ...

Nliondoka home Kama utani na nguo nilizovaa pekee , simu yangu na akili zangu.. niliacha kila kitu since 2017 mpaka leo naendaga kusalimia tuu ..
 
Morning wapendwa,

Hivi kwa mfano haujaanza maisha kutokana labda na kusoma upo nyumbani unasubiri matokeo yako ili uendelee kuangalia mikakati mingine ya kimaisha hapo nyumbani unaishi na ndugu na wadogo zako baada ya muda wadogo zako wanaanza kukudharau, mfano kuna dogo hapa home kaninunua mwezi wa tatu sasa bila sababu yeyote ile kuna mda anaimba nyimbo za mafumbo na kuziimbisha akijisikia.

Dogo anasoma chuo veta yupo likizo, iko chuo nilimtafutia mwenyewe, na kila akirudi likizo namchambulia nguo ambazo sizivai,yani ananinunia huku kakobeka nguo nilizompaga uko nyuma, na muangalia simmalizi dogo,nawaza nikipata kazi nimgawie zote zilizobaki Mimi nianze upya

Bado anasoma najua anaweza akabanwa na ratiba za kununua nguo,kama mnavyojua wazazi Mara nyingi wanakupa ada na ela ya kula, lakini Leo ananidharau, na ana kazi ya kuficha vitu Mara afiche sabuni Mara sukari Mara mboga, chakula kikibaki anakubali kumpa mtu wa baki lakini anajua Mimi bado sijala, ananiharibu kisaikolojia siku nikipata kazi nikimuoneshea roho ngumu atasema kaka hanisaidii au atasemaje kutokana na izi tabia anazonioneshea saizi.

Na mda najishusha namchukulia kama dogo kama kumpa nilichonacho, lakini bado anaendelea na ratiba zake zile zile za kujinunisha, nakaaga nawaza siku Mungu akinisaidia kupata ajira au kuwa na kipato chochote kitakacho niingizia ela nije nimsaidie ata mahitaji ya shule lakini naona ananitengenezea mazingira ya kumchukia na kutotaka kumsaidia huko mbeleni kutokana na kiburi na jeuri zake.

Kuna mda napata hasira nasema akijaribu kunijibu chochote namkata vibao, nimeamini usipokuwa na ela ata ndugu yako wa damu anakuchukia tu bila sababu, ungekuwa wewe ungefanyaje?
Mkuu elekeza vizuri Je unaishi na wazazi wote wawili? Na je huyo mdogo mpaka kufikia kuficha chakula inamaana yeye ni mpishi hapo nyumbani kama kijana inamaana yeye muda wote yupo Nyumba tu hatoki kwenda kushinda kwa washikaji zake kupiga stori, kama mama yako yupo basi yeye ndiyo mpanga mipango yote huyo mdogo wako ni mtekelezaji , kwasababu kama mtoto wakiume haiwezekani akaingia jikoni kuficha chakula wakati Mama yako yupo.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Namfukuzaje mdogo angu wakati wote tupo kwa wazazi tu hapa
Mkuu kwani mahitaji ya hapo nyumbani ana gharamaia yeye? Au wameshoka na tabia zako hufanyi kazi zozote unaishi kama wewe ndiyo Baba mwenye mji? Kila kitu unataka ufanyiwe wewe kazi ni kula na kuondoka kwenda kupiga stori vijiweni ikifika muda wa kula unaenda kula na kusepa, cha muhimu jitahidi kupunguza kutegemea mahitaji ya nyumbani kwenu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta mishe ya kuingiza hata 5000 kwa siku
Ni kweli mkuu akipata mishe ya 5000 kwa siku itakuwa poa na tena siku ya jpili anunue mbuzi choma na ndizi akale nyumbani tena akitaka kula ale na mdogo wake anae mpenda ambaye hamfichii vitu, na yule anaye mfichia vitu na chakula hasimpe tena wake mbele yake, na siku nyingine anunue chips na kuku na mayai tena na juice kubwa tena ale mbele ya huyo dogo.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mkuu hapo si ni nyumbani kwenu wote?
Inakuaje sasa dogo anaficha sabuni na sukari halafu usijue mahali alipoficha?

Na ukimuuliza kwanini anaficha hivyo vitu anakujibuje?
Mkuu hiyo familia itakuwa haina kichwa cha familia na Mama hayupo naamini Mama hawezi kumfichia mtoto wake chakula.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ondoka hapo haraka Sana .. kapange ..kasake life nje ya hapo ...

Nliondoka home Kama utani na nguo nilizovaa pekee , simu yangu na akili zangu.. niliacha kila kitu since 2017 mpaka leo naendaga kusalimia tuu ..
Nini kilikukimbiza hadi uindoke na nguo moja tu
 
Nini kilikukimbiza hadi uindoke na nguo moja tu
Wala sikukimbizwa .. maneno yalizidi By mda huo nlikuwa ndo nimemaliza shule .. Asubuhi natoka naingia kwenye mihangaiko kupanga paving slabs nakutana na KAZI nje ya mji ya kukaa for months alafu nipo site naambiwa huna haha ya kwenda home ikawa ntolee ... Nlivyorudi sikuwa na interest na home .. Nikaanza kuishi magetoni ..

For a year alafu nikapanga mimi kama mimi .. Leo nipo border Fulani hivi naweka mambo fresh huku niende ng'ambo ...

I remember I told my mum and my grandma I'll never Look back .. walinipa baraka zote Ni kuchanja tuuu Mbuga
 
Kuna watu wana roho za hivo tu huwezi kumbadilisha.
 
Wala sikukimbizwa .. maneno yalizidi By mda huo nlikuwa ndo nimemaliza shule .. Asubuhi natoka naingia kwenye mihangaiko kupanga paving slabs nakutana na KAZI nje ya mji ya kukaa for months alafu nipo site naambiwa huna haha ya kwenda home ikawa ntolee ... Nlivyorudi sikuwa na interest na home .. Nikaanza kuishi magetoni ..

For a year alafu nikapanga mimi kama mimi .. Leo nipo border Fulani hivi naweka mambo fresh huku niende ng'ambo ...

I remember I told my mum and my grandma I'll never Look back .. walinipa baraka zote Ni kuchanja tuuu Mbuga
Hongera sana Mkuu,Wengine toka kidato cha nne hatupajui home.😀😀😀
Dada/Kaka zetu kuna muda ni mizozo sana,kuna mmoja aliniambia kavu kavu kuwa si unajifanya unafundisha wengine lazima form 4 ufel wewe kenge.

Hakuna makasiriko kama unajua unachofanya.Nilipata marafiki na ndivyo nilihama home.Japo mwanzo ilikuwa mateso lakini kupambana na kusimama imara.Baadhi walioleta roho za kwanini.
Hivi navyoandika wako na nyumba ya Urithi na wanachotegemea ni Kodi tu sasa.
 
Dogo usisubiri ajira ikufuate wengine tulipitia hio hali lakini tulivyoamua kutoka nyumbani sikuwahi kulala nyumbani kwetu mwaka wa sita sasa..Dharau zipo na ukiendelea kukaa hapo kuna mengi utayapitia . Ila usiwachukie madogo...Kujiajiri ni nji salama kwako
 
Hauna mazoea na wasichana ambao mdogo wako yupo karibu nao?
Pengine mlifukuzia msichana mmoja dogo akagundua.
 
Back
Top Bottom