Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Jamaa kama anasubiria ajira za serikali aisee anapoteza muda.Mambo ya familia ni magumu sana...
We jikatae itajulikana mbele kwa mbele maana ajira zenyewe siku hizi hakuna tafuta plan b
Mimi kama mimiWewe kaka wewe
Ha ha haa,kuwa serious kidogo basHama hapo kwenu, halafu kama huyo dogo wako ni wakike mpelekee moto mtie mimba ataacha dharau.
Afu mnasema bangi haina madharaMimi kama mimi
Wewe madhara yake uliyaona wapi?Afu mnasema bangi haina madhara
umeona eeh me nimesema hiyo familia inaonekana haina upendo me mdg angu hawez fanya huo upuuzi hata siku moja nashangaa sijui wanaishije hawaHaya ni maisha ya kiswazi mkuu, very primitive.
Si kama haya umeyaainishaWewe madhara yake uliyaona wapi?
Tatizo ni wazaziumeona eeh me nimesema hiyo familia inaonekana haina upendo me mdg angu hawez fanya huo upuuzi hata siku moja nashangaa sijui wanaishije hawa
Cjasoma uzi wako nimeangalia headline tu nika pata wazo .... naomba wew n wengine someni hapa ... kwanza na wasalimuni nyote na amani ya MUNGU iwe pamoja nanyi ....katika maisha jitahidi kufanya kazi yako kwa bidii sali sana .... kama kuna watu aanao rudisha maendeleo ya wenzao nyuma basi ndugu ni namba moja jitahidi kuwa bize na maisha yako huku ukimtanguliza MUNGU kwanza mara nyingi ndugu ni watu wa lawama hawa bebeki...kama wamekutenga wala usifadhaike na we jitenge fanya mambo yako tena tumia hiyo fursa kama changamoto ya kukupa ari zaidi ...mfano mimi kwenye simu yangu kuna namba za MAMA yangu mzazi basiMorning wapendwa,
Hivi kwa mfano haujaanza maisha kutokana labda na kusoma upo nyumbani unasubiri matokeo yako ili uendelee kuangalia mikakati mingine ya kimaisha hapo nyumbani unaishi na ndugu na wadogo zako baada ya muda wadogo zako wanaanza kukudharau, mfano kuna dogo hapa home kaninunua mwezi wa tatu sasa bila sababu yeyote ile kuna mda anaimba nyimbo za mafumbo na kuziimbisha akijisikia.
Dogo anasoma chuo veta yupo likizo, iko chuo nilimtafutia mwenyewe, na kila akirudi likizo namchambulia nguo ambazo sizivai,yani ananinunia huku kakobeka nguo nilizompaga uko nyuma, na muangalia simmalizi dogo,nawaza nikipata kazi nimgawie zote zilizobaki Mimi nianze upya
Bado anasoma najua anaweza akabanwa na ratiba za kununua nguo,kama mnavyojua wazazi Mara nyingi wanakupa ada na ela ya kula, lakini Leo ananidharau, na ana kazi ya kuficha vitu Mara afiche sabuni Mara sukari Mara mboga, chakula kikibaki anakubali kumpa mtu wa baki lakini anajua Mimi bado sijala, ananiharibu kisaikolojia siku nikipata kazi nikimuoneshea roho ngumu atasema kaka hanisaidii au atasemaje kutokana na izi tabia anazonioneshea saizi.
Na mda najishusha namchukulia kama dogo kama kumpa nilichonacho, lakini bado anaendelea na ratiba zake zile zile za kujinunisha, nakaaga nawaza siku Mungu akinisaidia kupata ajira au kuwa na kipato chochote kitakacho niingizia ela nije nimsaidie ata mahitaji ya shule lakini naona ananitengenezea mazingira ya kumchukia na kutotaka kumsaidia huko mbeleni kutokana na kiburi na jeuri zake.
Kuna mda napata hasira nasema akijaribu kunijibu chochote namkata vibao, nimeamini usipokuwa na ela ata ndugu yako wa damu anakuchukia tu bila sababu, ungekuwa wewe ungefanyaje?
Mimi huwa sichukui hatua yeyote!Morning wapendwa,
Hivi kwa mfano haujaanza maisha kutokana labda na kusoma upo nyumbani unasubiri matokeo yako ili uendelee kuangalia mikakati mingine ya kimaisha hapo nyumbani unaishi na ndugu na wadogo zako baada ya muda wadogo zako wanaanza kukudharau, mfano kuna dogo hapa home kaninunua mwezi wa tatu sasa bila sababu yeyote ile kuna mda anaimba nyimbo za mafumbo na kuziimbisha akijisikia.
Dogo anasoma chuo veta yupo likizo, iko chuo nilimtafutia mwenyewe, na kila akirudi likizo namchambulia nguo ambazo sizivai,yani ananinunia huku kakobeka nguo nilizompaga uko nyuma, na muangalia simmalizi dogo,nawaza nikipata kazi nimgawie zote zilizobaki Mimi nianze upya
Bado anasoma najua anaweza akabanwa na ratiba za kununua nguo,kama mnavyojua wazazi Mara nyingi wanakupa ada na ela ya kula, lakini Leo ananidharau, na ana kazi ya kuficha vitu Mara afiche sabuni Mara sukari Mara mboga, chakula kikibaki anakubali kumpa mtu wa baki lakini anajua Mimi bado sijala, ananiharibu kisaikolojia siku nikipata kazi nikimuoneshea roho ngumu atasema kaka hanisaidii au atasemaje kutokana na izi tabia anazonioneshea saizi.
Na mda najishusha namchukulia kama dogo kama kumpa nilichonacho, lakini bado anaendelea na ratiba zake zile zile za kujinunisha, nakaaga nawaza siku Mungu akinisaidia kupata ajira au kuwa na kipato chochote kitakacho niingizia ela nije nimsaidie ata mahitaji ya shule lakini naona ananitengenezea mazingira ya kumchukia na kutotaka kumsaidia huko mbeleni kutokana na kiburi na jeuri zake.
Kuna mda napata hasira nasema akijaribu kunijibu chochote namkata vibao, nimeamini usipokuwa na ela ata ndugu yako wa damu anakuchukia tu bila sababu, ungekuwa wewe ungefanyaje?
Nimeongea nae bado anaendelea kununa nikanwambia sijakufanyia chochote unaninunia bila sababu basi endelea tuone faida zake.Kwa maana iyo ww umeshindwa kuongea nae haya uliotuandikia hapa?