GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ninaomba kujua ni Vivutio gani vikubwa na vizuri naweza kuvikuta Rufiji kwani GENTAMYCINE nataka kwenda Kutalii huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Mwalimu Nyerere N.P.Ninaomba kujua ni Vivutio gani vikubwa na vizuri naweza kuvikuta Rufiji kwani GENTAMYCINE nataka kwenda Kutalii huko.
Kwani mkwe kashakula mbata?Ninaomba kujua ni Vivutio gani vikubwa na vizuri naweza kuvikuta Rufiji kwani GENTAMYCINE nataka kwenda Kutalii huko.
Very soon just stay tuned.Kwani mkwe kashakula mbata?
🤣🤣🤣Very soon just stay tuned.
Kuna wizara ya Tamisemi.Ninaomba kujua ni Vivutio gani vikubwa na vizuri naweza kuvikuta Rufiji kwani GENTAMYCINE nataka kwenda Kutalii huko.
RUBADANinaomba kujua ni Vivutio gani vikubwa na vizuri naweza kuvikuta Rufiji kwani GENTAMYCINE nataka kwenda Kutalii huko.
NYERERE NATIONAL PARKNinaomba kujua ni Vivutio gani vikubwa na vizuri naweza kuvikuta Rufiji kwani GENTAMYCINE nataka kwenda Kutalii huko.
Naskia mkwe kaongeza jiko bimkubwa akamaindi...🤣Yule kijana alikengeuka wapi mbona mtoto wa mazeli ni mzuri sana.
Au sio yy labda
Na kawekewa Mtu wa Kumng'oa Oktoba 2025 ili akome. Yaani ninakubeba kwa ajili ya Mwanangu kisha unamuolea tena?Naskia mkwe kaongeza jiko bimkubwa akamaindi...🤣
bwawa la ticha na mashamba ya mihogo na minazi pamoja na mboga ya samaki mwenye sharubu.Ninaomba kujua ni Vivutio gani vikubwa na vizuri naweza kuvikuta Rufiji kwani GENTAMYCINE nataka kwenda Kutalii huko.
Wamrudishe ummy hiyo wizarabwawa la ticha na mashamba ya mihogo na minazi pamoja na mboga ya samaki mwenye sharubu.
BRazilian waxNinaomba kujua ni Vivutio gani vikubwa na vizuri naweza kuvikuta Rufiji kwani GENTAMYCINE nataka kwenda Kutalii huko.
hohoho hohoho ho ho hoooooNa kawekewa Mtu wa Kumng'oa Oktoba 2025 ili akome. Yaani ninakubeba kwa ajili ya Mwanangu kisha unamuolea tena?
Ndio umeanza kupiga jeramba nini ?Sema tu ujiandae kwenda gym usiwe na kifua chembamba.Vinginevyo wale wadudu wa sharumbu wanaweza kujipatia mboga kirahisi sana pale ziwa jipya.Na kawekewa Mtu wa Kumng'oa Oktoba 2025 ili akome. Yaani ninakubeba kwa ajili ya Mwanangu kisha unamuolea tena?
Noma sana!Ndio umeanza kupiga jeramba nini ?Sema tu ujiandae kwenda gym usiwe na kifua chembamba.Vinginevyo wale wadudu wa sharumbu wanaweza kujipatia mboga kirahisi sana pale ziwa jipya.