Mkikutana na mpenzi wako mkafanya ngono bila kupeana chochote na wote mkatoka mmefurahi hilo ni penzi, kama mmoja akikasirika hapo hamna penzi

Mkikutana na mpenzi wako mkafanya ngono bila kupeana chochote na wote mkatoka mmefurahi hilo ni penzi, kama mmoja akikasirika hapo hamna penzi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
KAHABA ni mtu ambaye anafanya ukahaba.
UKAHABA ni kitendo cha mtu kufanya ngono ili apate malipo.
Wapenzi watapendana tu bila sababu yoyote , wapenzi watapeana pesa na vitu vingine.
Wapenzi hawapo kama kiatu na rami, maana kiatu mara zote ndio kinaliwa. Wapenzi watakutana mahali popote, wakiamua kungonoka watangonoka bila kupeana malipo.
Kama kila mkikutana na mpenzi wako lazima utoe pesa hapo nakuchana ukweli huyo si mpenzi wako. Ni kahaba anayejiuza, atakuuzia wewe atamuuzia fulani n.k, n.k
Akikuita mpenzi mpige ngumi ya sikio au ya puani.
Mkikutana usipompa pesa hamuelewani lugha , huyo ni kahaba. Kahaba malaya anayejiuza
 
Sasa mchukue mpeleke Lodge then mkimaliza mwambje babe asante nilienjoy sana, halafu muagane.....
 
Sasa mchukue mpeleke Lodge then mkimaliza mwambje babe asante nilienjoy sana, halafu muagane.....
Ni kahaba usipindishe maneno.
Hiyo lodge elfu 30 ulipie wewe halafu anataka umpe 20 ya Asante.
Nani alipaswa kupewa pesa ya asante kati ya aliyelipa pesa ya lodge na aliyelipiwa mpaka pesa ya boda?
 
Hiyo ni hadi ubahatike
Wengine bado uko kifuani ni unapewa invoice hadi unatamani umwage sema ndio unaendelea kufua umeme kwa hasira zaidi
 
Back
Top Bottom