Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

mwaka 2018, kuna rafiki angu mchaga alikuwa anaamka sa 11 kila siku, anawahi kwene kazi za ofisi, anafanya kazi mpaka sa 2 usiku... alileta mafanikio makubwa sana kwene kampuni analofanya kazi kitu kilichofanya awe na ushawishi wa kuomba bajeti hata mara 5, ya ile inayotakiwa... at the same time akawa anatengeneza connection kubwa kwene field anayofanya kazi, mwaka jana kafungua ofisi yake na kuacha kazi na utaratibu wake ni ule ule... kahama na wateja wengi wa kampuni, saizi ni tajiri.
nlichojifunza kwake, ni kujituma kwene kila unachofanya na kuishi kwa bajeti inayoendana na mipango yako.
 
Nguvu za giza ni za wakinga tu?
Je wazungu wakina Benzos, Billgate na wengine?

#YNWA
Wabongo tunajua kupigana kamba sana.

Mbona kwenye orodha ya matajiri duniani hakuna mchaga wala mkinga.

Yaani wanatutambia maduka tu ya kuuza bidhaa toka china, sujui maji, pipi , nguo, viberiti.

Hakuna mwenye kiwanda hata cha sindano halafu unajiita tajiri.

Bure kabisa.
 
Acha kutudanganya mkuu.

Kuna viwanda vingapi vya maji vya wakinga.

Na tupe takwimu za utajiri kwa mkoa wa Iringa?? Ni ya ngapi kitaifa??

Kwenye orodha ya matajiri hapa Tanzania , wakinga ni wangapi?? Hakuna.

Stori za kuvuta muda tu hizi.

Kaka matajili wa ki kinga ni wengi shida ni huwa hawapendi kujulikana
 
mkinga anaweza kuanza biashara ya kuuza maji ya kandoro tu, mtaji elfu 15.

Baada ya Mwaka unakuta anamiliki kiwanda Cha Maji Huko Boko mtaji milioni 50😂😂😅😅😅

usiniulize kafikaje huko, hawa watu wana miujiza sana kwenye biashara na kamwe hawatoi siri
Mkinga yeyote tajiri muulize kama anamjua “MWAKIPANDE”?
 
Kabxaaa mkuuu..waha si wa mchezo mchezo...yaan hata kama kafunga duka unakuta wateja wameweka folen wanamsubiri...jichanganye ufungue duka jiran yake....atasafir kwenda kigoma...ndan ya wk moja....kirud na ww muda huo utakuwa unatafuta gar ya kuja kuhamisha vitu
Aisee inawezekana kuna Dada mmoja aliolewa na Muha, huyo Dada alikua vizuri sana kimaisha na Muha alikua choka mbaya ila cha kushangaza baada ya kumuoa tu maisha yakabadilika na Muha akawa super star na utajiri ukawa umekubali! Kilichotokea huyu Dada alikimbia nyumba ya ghorofa na magari alikua anaona mauzauza kwenye nyumba kila kukicha, mara damu kwenye chupa kwenye suruali ya mumewe (Muha), wakati wakimaliza tendo la ndoa Muha alifuta mbegu anaweka kwenye begi! Cha kushangaza Muha huyu alipata msiba wa Mama yake Mzazi akiwa safarini hakuhudhuria msiba kabisa (Mama yake alifariki ghafla na kila mtu alishangaa kifo cha Mama huyu). Shortly baadhi ya Waha wako tayari kufanya lolote ili tu apate utajiri.
 
He Mkinga tena.....Kafanyaje.?

Mbona Biashara Zina Principle Zake..! Ukikiuka Principle Lazima Ufeli?
Ndo maana Wanafanikiwa ...
Wapare..
Wachaga...
Waha...
Wapemba...
N.k.
Fata Misingi tu ya Biashara Utafanikiwa,
Sio Wewe Ukiuza Kreti Moja La Soda Unajipongeza Kwa Kunywa Soda 2 ushaingilia Mtaji...! 😅😅
Wakinga wamezidi wewe hao ulitaja ni kik maana wachga aslimia 90 viduka vidogo kaangalie wakinga no wachache sana ila moto wao ni balaa asilimia kubwa wanamiliki biashara kubwa

Wachaga ni mazoea kwamba Wana damu ila inafahamika biashara zao wale madon wengi ni madini tunajua faida ya madini trip moja pesa ndefu

Njoo wakinga anaanza kama machinga kuweka akiba ya elfu 5 Kwa siku ila miakam mitatu unaambiwa ana mtaji wa million 100
 
Kama huna Discipline kamwe hautafanikiwa kwenye biashara.

Wakinga wengi ni watu wa kujinyima sana na wanaheshimu sana kazi.
Hujanielewa ndugu.
Hivi ukiwa na discipline then wateja kwako hawaji wanakwenda kununua kwa jirani aliyewavuta kwa misukule itakusaidiaje?
Unauza kitu 30 huku mwenzako anauza 32 na lugha za mkato juu anawapa lakini wanakwenda kununua kwake
 
Wakinga wamezidi wewe hao ulitaja ni kik maana wachga aslimia 90 viduka vidogo kaangalie wakinga no wachache sana ila moto wao ni balaa asilimia kubwa wanamiliki biashara kubwa

Wachaga ni mazoea kwamba Wana damu ila inafahamika biashara zao wale madon wengi ni madini tunajua faida ya madini trip moja pesa ndefu

Njoo wakinga anaanza kama machinga kuweka akiba ya elfu 5 Kwa siku ila miakam mitatu unaambiwa ana mtaji wa million 100
Milioni mia ni sawa na dola elfu 50 sasa mtu unakusanya dola elfu 50 kwa miaka mitatu??

Mbona mnatutania aisee.
 
Hivi huu ushetani ni Africa tu au mpaka kwa kina Bill gate.
Kwamba Benzos kamtoa kafara baba ake au mama ake?

#YNWA
Matendo ya kishetani kwa dhumuni la kupata utajirim sio tu kwenye kumtoa kafara mama yako bali kitendo tu Cha nafsi yako kuwa radhi kufanya jambo lolote litakalokuwezesha kupata pesa tayari automatic kinakutoa katika ubinadamu na kuingia katika ushetani............
 
Wakinga wamezidi wewe hao ulitaja ni kik maana wachga aslimia 90 viduka vidogo kaangalie wakinga no wachache sana ila moto wao ni balaa asilimia kubwa wanamiliki biashara kubwa

Wachaga ni mazoea kwamba Wana damu ila inafahamika biashara zao wale madon wengi ni madini tunajua faida ya madini trip moja pesa ndefu

Njoo wakinga anaanza kama machinga kuweka akiba ya elfu 5 Kwa siku ila miakam mitatu unaambiwa ana mtaji wa million 100
Acha nicheke kwanza Usiongee tu kwa kuropoka wewe nan aliekwanbia Moshi kuna machimbo ya dhahabu kama ilivyo kwa kahama,arusha na geita? Kikubwa kinachowasaidia pia wachaga wanarithishana utajiri kama ilivyo kwa wahindi na waarabu na pia discipline ya pesa,ndo mana mchaga yuko radhi akupe gari,nyumba au chakula kizuri ila anaogopa sana kukupa hela nyingi.Lakini pia umoja waliotengeneza kila mikoa ya kusaidiana na kuwekeza hyo inakua inatengeneza kama passion na spirit ya ukiona ww hujatoboa unaona umechelewa kabisa Hyo tu ndo inayofanya kunakuwa na matycoon wadogo na wakubwa na wala sio bla bla
 
Nenda kafungue biashara karibu na Muha, Mkinga au Mpemba awe mshindani wako utakuja kuona jinsi hizo kanuni zenu uchwara zinavyofeli.
Mimi nimewahi kufungua duka niliuza vitu kwa bei pungufu ya ile ya jirani yangu (Muha) lakini watu walizikacha bidhaa zangu licha ya kuwa na lugha nzuri na kuwanyenyekea.
Sasa waha mbona choka mbaya tu
 
Wabongo tunajua kupigana kamba sana.

Mbona kwenye orodha ya matajiri duniani hakuna mchaga wala mkinga.

Yaani wanatutambia maduka tu ya kuuza bidhaa toka china, sujui maji, pipi , nguo, viberiti.

Hakuna mwenye kiwanda hata cha sindano halafu unajiita tajiri.

Bure kabisa.
Achana na orodha ya matajiri duniani nipe top ten ya matajiri wa bongo kama kuna mkinga au mchaga
 
Matendo ya kishetani kwa dhumuni la kupata utajirim sio tu kwenye kumtoa kafara mama yako bali kitendo tu Cha nafsi yako kuwa radhi kufanya jambo lolote litakalokuwezesha kupata pesa tayari automatic kinakutoa katika ubinadamu na kuingia katika ushetani............
Punguza fikra mbovu.
Kwa elimu sahihi, kwa fursa sahihi, kwakuwa sehemu wakati sahihi na kuangalia fursa za upenyo (Tax Aviation) kwenye sheria LAZIMA UTOBOE.

#YNWA
 
Wakinga wamezidi wewe hao ulitaja ni kik maana wachga aslimia 90 viduka vidogo kaangalie wakinga no wachache sana ila moto wao ni balaa asilimia kubwa wanamiliki biashara kubwa

Wachaga ni mazoea kwamba Wana damu ila inafahamika biashara zao wale madon wengi ni madini tunajua faida ya madini trip moja pesa ndefu

Njoo wakinga anaanza kama machinga kuweka akiba ya elfu 5 Kwa siku ila miakam mitatu unaambiwa ana mtaji wa million 100
Elfu 5 kwa siku mara miaka 3 milioni 100 okey ndugu mchangiaji
 
Back
Top Bottom