Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,063
Wakinga wa zamani ndio walikua mabahiri kujenga ama kununua magari mazuri ilikua mwiko kwao..sahii wamekuja vijana wanajua kutumia hela... Wa sasa hawa wana enjoy maisha vizuri tuu...
Na ukweli ndio huo wengi ni washirikina sanaa...
Pia wakinga hawana tabia ya kulithisha mali ndio maana akifa baba na utajiri umekufa yaani hawanaga muendelezo na utajiri wao unasiri nzito...
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Na ukweli ndio huo wengi ni washirikina sanaa...
Pia wakinga hawana tabia ya kulithisha mali ndio maana akifa baba na utajiri umekufa yaani hawanaga muendelezo na utajiri wao unasiri nzito...
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app