Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

Acha kutudanganya mkuu.

Kuna viwanda vingapi vya maji vya wakinga.

Na tupe takwimu za utajiri kwa mkoa wa Iringa?? Ni ya ngapi kitaifa??

Kwenye orodha ya matajiri hapa Tanzania , wakinga ni wangapi?? Hakuna.

Stori za kuvuta muda tu hizi.
Nenda Kariakoo ukawajue vizuri sio unakaa tu Sitimbi huko, hujui kinachoendelea duniani.. Mkinga ni habari nyingine
 
[emoji16][emoji16][emoji16]acheni ukabila.
 
Ukikaa na Matajiri wenye viwanda Kama waarabu na wahindi mfano Shabiby ukimwambia Wakinga haelewi unazungumzia nini.
Yeye anajua Wachaga na Wapemba.

Wajinga bado safari Yao ni ndefu Sana.

Wapo level ya Waha wa kigoma Ila Kwa Wachagga bado Sana. Tena Sana.
Nimekaa na waaarabu sana kitu nakuambia wachaga sio matajiri wanaomiliki biashara kubwa ni wachuuzi aslimia 90 na hakuna top agent kama walivyo waarabu ndo maana top Ten alikuwa mengi tu ambaye ni marehemu

Tofautisha biashara kubwa na uchuuzi Sasa njoo wanamiliki biashara hapo kati nenda kariakoo sema wakinga kwa idadi ni wachache ila vijana wakikinga wanashika peda ndefu mapema hawana kelele labda vunjabei tu ila wengi wanapesa chafu
 
Nimekaa na waaarabu sana kitu nakuambia wachaga sio matajiri wanaomiliki biashara kubwa ni wachuuzi aslimia 90 na hakuna top agent kama walivyo waarabu ndo maana top Ten alikuwa mengi tu ambaye ni marehemu

Tofautisha biashara kubwa na uchuuzi Sasa njoo wanamiliki biashara hapo kati nenda kariakoo sema wakinga kwa idadi ni wachache ila vijana wakikinga wanashika peda ndefu mapema hawana kelele labda vunjabei tu ila wengi wanapesa chafu

Nimekuambia masikini Kama wewe ndio utaona hivyo lakini kama wewe ni mfanyabiashara na umezunguka hii Tanzania, Zanzibar, NAIROBI na Nchi jirani huwezi ongea hiyo kitu.

Sikatai wakinga wanakuja vizuri lakini kuwalinganisha na Wachaga ni ishara tosha kuwa huwajui Wachaga, pia huijui pesa.

Ni kweli Watanzania wengi ni wachuuzi lakini haimaanishi hawapo matajiri wachache wenye pesa kwenye sekta za Utoaji Huduma Kama Benki, magari, Ndege, na makampuni Makubwa ya utalii.

Achana na hizo biashara za nguo na bidhaa.
 
Nenda kafungue biashara karibu na Muha, Mkinga au Mpemba awe mshindani wako utakuja kuona jinsi hizo kanuni zenu uchwara zinavyofeli.
Mimi nimewahi kufungua duka niliuza vitu kwa bei pungufu ya ile ya jirani yangu (Muha) lakini watu walizikacha bidhaa zangu licha ya kuwa na lugha nzuri na kuwanyenyekea.
Kuna mambo ulikuwa unakosea huku ukidhani uko sahihi. Na mbaya zaidi ulishajiaminisha kuwa uko karibu na muha hivyo atakushinda! Nakushauri siyo lazima ufanye biashara kwani unaonekana hujiamini na unaamini kwenye nguvu za giza!
 
Nimekaa na waaarabu sana kitu nakuambia wachaga sio matajiri wanaomiliki biashara kubwa ni wachuuzi aslimia 90 na hakuna top agent kama walivyo waarabu ndo maana top Ten alikuwa mengi tu ambaye ni marehemu

Tofautisha biashara kubwa na uchuuzi Sasa njoo wanamiliki biashara hapo kati nenda kariakoo sema wakinga kwa idadi ni wachache ila vijana wakikinga wanashika peda ndefu mapema hawana kelele labda vunjabei tu ila wengi wanapesa chafu

Unafikiri kufanya biashara tuu Kariakoo ndio kuwa na pesa😀😀

Nchi hii ni kubwa na biashara zipo nyingi Sana,

Kitu pekee ambacho wakinga wanacho ambacho ni kizuri ni uchapakazi, hawana majivuno, ubahili, lakini kuwafikia wachagga bado Sana.

Wachaga ni kabila kubwa saizi yake ni Wasukuma au Wahaya.

Wachaga wapo makundi kadhaa
1. Wapo masikini Sana
2. Wapo Daraja la Kati
3. Wapo Daraja la juu.

Kwenye shughuli za uzalishaji wamegawanyika pia;
1. Wapo wachuuzi
2. Wapo wamiliki wa makampuni Makubwa
3. Wapo wamiliki wa Huduma za kijamii Kama Vyombo vya usafiri Kama mabasi, Ndege, shule, vyuo, Hospitali kubwa, vyombo vya habari, redio na magazetu
4. Wapo Wakulima mpaka huko njombe wanamiliki mashamba makubwa ya maparachichi, 5. Wamiliki wa migodi huko Arusha, shinyanga.

6. Wapo Majambazi na wezi
 
Nimekuambia masikini Kama wewe ndio utaona hivyo lakini kama wewe ni mfanyabiashara na umezunguka hii Tanzania, Zanzibar, NAIROBI na Nchi jirani huwezi ongea hiyo kitu.

Sikatai wakinga wanakuja vizuri lakini kuwalinganisha na Wachaga ni ishara tosha kuwa huwajui Wachaga, pia huijui pesa.

Ni kweli Watanzania wengi ni wachuuzi lakini haimaanishi hawapo matajiri wachache wenye pesa kwenye sekta za Utoaji Huduma Kama Benki, magari, Ndege, na makampuni Makubwa ya utalii.

Achana na hizo biashara za nguo na bidhaa.
Bro hao wachaga hawana inspirational yeyote Ile Kwa vile wewe bado akili changa sana kuujua ulimwengu hujui biashara unapenda uuchuuzi wa viduka njaa na kuuza kitimoto

Kwa akili yako tumia akili Wacha kelele wachaga ni wachuuzi asilimia kubwa na ni kabila kubwa Kwa idadi ya watu unasema sijui nairobi nimefika kote nadhani hunijui 🤣🤣mi mtu wa wapi wa nn kule zaidi ya kuuza mirungi na kupitisha magendo holili na tarakea

Ukimtoa mengi kweny Ile list Tena alibahatisha niambie ni koo gani inaingia top 20 ya mtajiri bongo inatokea huko uchagani na wingi wao wengi .na Ile list hayupo Tena maana alibahatisha kuwa pale mali zishaaanza kuliwa kaone wakina mo wanaendeleza biashara za mababu zao wanamaintain

Tanzania nyote wachuuzi hamna biashara kumilimi maassets mwisho yankuwa liability katika uendeshaji Kwa vile mising yetu sio imara ya ubunifu SEMA tunaendesha Kwa nguvu za mtu

Sasa njoo tuhesabu kwa umri mdogo mpaka miak 40 angalia top Ten ya matajiri bongo wafanyabiashara hao wachaga wako wangapi
 
Nimekuambia masikini Kama wewe ndio utaona hivyo lakini kama wewe ni mfanyabiashara na umezunguka hii Tanzania, Zanzibar, NAIROBI na Nchi jirani huwezi ongea hiyo kitu.

Sikatai wakinga wanakuja vizuri lakini kuwalinganisha na Wachaga ni ishara tosha kuwa huwajui Wachaga, pia huijui pesa.

Ni kweli Watanzania wengi ni wachuuzi lakini haimaanishi hawapo matajiri wachache wenye pesa kwenye sekta za Utoaji Huduma Kama Benki, magari, Ndege, na makampuni Makubwa ya utalii.

Achana na hizo biashara za nguo na bidhaa.
Jamaa yeye yuko kwenye maduka ya nguo na bidhaa Kariakoo. Kama yeye ni mteja huko ana haki ya kusema wakinga au waha ni kiboko. Ila kama ulivyosema, mtu kama hafanyi hizi biashara kubwa si rahisi kujua wamiliki wake.
 
Unafikiri kufanya biashara tuu Kariakoo ndio kuwa na pesa😀😀

Nchi hii ni kubwa na biashara zipo nyingi Sana,

Kitu pekee ambacho wakinga wanacho ambacho ni kizuri ni uchapakazi, hawana majivuno, ubahili, lakini kuwafikia wachagga bado Sana.

Wachaga ni kabila kubwa saizi yake ni Wasukuma au Wahaya.

Wachaga wapo makundi kadhaa
1. Wapo masikini Sana
2. Wapo Daraja la Kati
3. Wapo Daraja la juu.

Kwenye shughuli za uzalishaji wamegawanyika pia;
1. Wapo wachuuzi
2. Wapo wamiliki wa makampuni Makubwa
3. Wapo wamiliki wa Huduma za kijamii Kama Vyombo vya usafiri Kama mabasi, Ndege, shule, vyuo, Hospitali kubwa, vyombo vya habari, redio na magazetu
4. Wapo Wakulima mpaka huko njombe wanamiliki mashamba makubwa ya maparachichi, 5. Wamiliki wa migodi huko Arusha, shinyanga.

6. Wapo Majambazi na wezi
Bro 🤣nitajie ukoo unaingia pale top 20 Wacha kukariri maisha biashara za uchuuzi ngumu kuendeleza kama ukoo zaidi mtaingizana katika Ajira Kwa vyeti feki na upendeleo muwe middle class income earners ila sio mtajiri kama waarabu na typically ya wakinga
 
Bro hao wachaga hawana inspirational yeyote Ile Kwa vile wewe bado akili changa sana kuujua ulimwengu hujui biashara unapenda uuchuuzi wa viduka njaa na kuuza kitimoto

Kwa akili yako tumia akili Wacha kelele wachaga ni wachuuzi asilimia kubwa na ni kabila kubwa Kwa idadi ya watu unasema sijui nairobi nimefika kote nadhani hunijui 🤣🤣mi mtu wa wapi wa nn kule zaidi ya kuuza mirungi na kupitisha magendo holili na tarakea

Ukimtoa mengi kweny Ile list Tena alibahatisha niambie ni koo gani inaingia top 20 ya mtajiri bongo inatokea huko uchagani na wingi wao wengi .na Ile list hayupo Tena maana alibahatisha kuwa pale mali zishaaanza kuliwa kaone wakina mo wanaendeleza biashara za mababu zao wanamaintain

Tanzania nyote wachuuzi hamna biashara kumilimi maassets mwisho yankuwa liability katika uendeshaji Kwa vile mising yetu sio imara ya ubunifu SEMA tunaendesha Kwa nguvu za mtu

Sasa njoo tuhesabu kwa umri mdogo mpaka miak 40 angalia top Ten ya matajiri bongo wafanyabiashara hao wachaga wako wangapi
Ukiongozwa na chuki hata macho yanapofuka, ndiyo tatizo.
 
Wabongo tunajua kupigana kamba sana.

Mbona kwenye orodha ya matajiri duniani hakuna mchaga wala mkinga.

Yaani wanatutambia maduka tu ya kuuza bidhaa toka china, sujui maji, pipi , nguo, viberiti.

Hakuna mwenye kiwanda hata cha sindano halafu unajiita tajiri.

Bure kabisa.
Wewe unazungumzia ''duniani'' wakati wenzako wako kwenye ligi za mchangani!
 
Biashara za wakinga kama machinga wapo wengi ila Pesa ya ngama .

Kupanda kwao kuwa mido klasi wanatusumbua sana
 
Hebu kuwa muelewa.
Mimi sijashusha bei bali niliuza kwa bei pungufu compared to him.
Nilipiga hesabu niliona nikiuza kwa sh. kadhaa napata faida.
Cha ajabu wateja kwangu waliendelea kuwa wachache.
Mimi ni mtu ambaye naijua costomer care kwa kiwango ambacho hata darasa naweza kufungua kuwafundisha watu mbalimbali how to deal with costomer.
Sasa ikifikia biashara haina wateja na aina ya biashara yako si ya kutembeza au kuuzika mtandaoni tayari ni tatizo.
Ndiyo alichokuambia. Hujaelewa tu? Amekumbia kuwa kuuza bei pungufu kulinganisha na na washindani wako siyo lazima uvutie wateja na ufanikiwe. Hata mimi naliona hili: wewe biashara huiwezi.
 
Ukiongozwa na chuki hata macho yanapofuka, ndiyo tatizo.
Pale ukiishiwa na point 🤣🤣wachaga ni kabila Lina idadi kubwa ya watu bongo na ni kubwa je mna matajiri wangapi 0ale top 20 Kwa bongo tu sio africa

Kwa hyo wale walitoka nje hao waarabu koko wao ndo wamaonea fursa nying kushinda sisi wazawa kaeni tu kujaza mabidhaa Kwa store wenzenu no top agent Sasa huoni kama ni uchuuzi mwenzio anauza macontoiners top agent Kwa africa au Tz nyie mngoje faidi ya elfu 10 Kwa catton kakaq mbali mengi ndo alifanya mabiashara ya level za juu na waliobaki hamna kitu mara kugombana tu yule alikuwa smart kivyake

Tuone na wingi mwingine ni Nan hata kwetu ni wachuuzi viduka njaa

Ndo ukweli useme wale ft waarabu hata miaka buku utawakuta pale ile trend yao bongo mtasubiri mpenyezane kweny ajira ila sio kuwa top
 
Nenda Kariakoo ukawajue vizuri sio unakaa tu Sitimbi huko, hujui kinachoendelea duniani.. Mkinga ni habari nyingine
Sasa na wewe vipi? Kariakoo kuna matajiri kwa maana ya utajiri?
 
Wewe unazungumzia ''duniani'' wakati wenzako wako kwenye ligi za mchangani!
Kijana usitetee biashara zetu ni middle usidanganywe top 20 ya hapa bongo kwetu inawashinda kuwa na utajiri ni wingi wore huo mko kibao bongo
 
Back
Top Bottom