Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
- Thread starter
- #21
Unachekesha sana pia unasikitisha sana pole.Jwtz au jkt wanasimamia uchaguzi?, Umewahi kuwakuta vituo vya kupigia kura?...... Hawa tuwawalaum kwa ukimya wao huku wakiwa na jukumu la kulinda na kusimamia rasilimal zetu.. wamemuachia Bibi tozo auze Nchi yetu kijinga!!. Ila la uchaguzi hawahusikii.
Hii nchi kweli wananchi wake bado vipofu kabisa.