Unachekesha sana pia unasikitisha sana pole.Jwtz au jkt wanasimamia uchaguzi?, Umewahi kuwakuta vituo vya kupigia kura?...... Hawa tuwawalaum kwa ukimya wao huku wakiwa na jukumu la kulinda na kusimamia rasilimal zetu.. wamemuachia Bibi tozo auze Nchi yetu kijinga!!. Ila la uchaguzi hawahusikii.
Wengi hawafahamu halisi huwa ipo vipi.I second you mtoa madam, hao wote wanahusika nawashangaa wanaosema watoe jwtz na jkt, they are part of it as mtoa madam explained
Huko ni uongo,walimu wanasimamia tu wakishatoa matokeo wanakabidhi wanaondoka,mengine mnawasingizia tu.Walimu wanalazimishwa kujaza form na kubadili matokeo ukikataa unabadilishwa kituo cha kazi
Kwa heshima ya JWTZ na JKT. Hao watu waweke pembeni, mara nyingi hawahusiki
Ila hawa wa polisi wanahusika na mengi, including indirect association with politics kama sio chama tawala
Wasubiri Kikokotoo! Watajuta kufanya dhuruma malipo ni hapahapaMkitaka kujua kuhusu uchaguzi unaendaje ulizeni watu hawa:-
i, Polisi
iii, JWTZ
iii, JKT
Nyongeza waalimu
Nyie wananchi wa kawaida sidhani kama mchakato mzima wa uchaguzi huwa hata mnaufahamu.
Huwa nacheka pale vyama vya upinzani vinavyopo aminishana kuwa uchaguzi huu mara huu CCM hatoki hii nchi wengi ni kama mambo mengi wana hadithiwa tuu.
Nyerere ndo alileta siasa Majeshini aliferi sana kwenye iliJwtz au jkt wanasimamia uchaguzi?, Umewahi kuwakuta vituo vya kupigia kura?...... Hawa tuwawalaum kwa ukimya wao huku wakiwa na jukumu la kulinda na kusimamia rasilimal zetu.. wamemuachia Bibi tozo auze Nchi yetu kijinga!!. Ila la uchaguzi hawahusikii.