Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Nyie ndio mnao watafuna watoto TIA hapo
 
Dodoma n kwel kbisa ukame tu
HAKUNA ukame Dodoma njooni huku mbuga ya sogeambele hapa Katikati ya jiji muone uzuri wa Dom isiyo kame bhana! Acheni story za kusikia njooni mjioneee Kama mtatamani kurudi huko Daa kwenu
 
We jamaa acha kashfa zako mbona sisis tunaishi na hatuja pauka? Ninyi kupauka kwenu kunaletwa na KUTAKA KUGONGEA KILA KITU MAISHA HAYO YA KUGONGEA DODOMA UTAIKIMBIA FANYA KAZI DOM UTAIONA ULAYA!!!!
 
Dsm

Arusha

Kilimanjaro

Mwanza
 
sumbawanga, katabi na lindi. sihitaji hata kuisikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…