Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Ni kimoja kati ya hivi kinakusumbua Kiburi cha pesa ama kipato cha uhakika kwa sasa, ujana na kutopevuka kiakili naivety, kutokuwa na majukumu ya kifamilia ama wategemezi. Siku factor mojawapo kati hizo zikibadirika utajikuta unaenda kukaa sehemu ama eneo ambalo hata hujawahi hata kuwaza utakuja kukaa.
Nakubaliana na wewe ndugu. Nilikuwa sina ndoto za kuishi mikoa fulani hapa Tanzania lakini sasa hivi ndyo napata ridhiki yangu mkoa mmojawapo.
 
Mtwara nimeishi ni pazuri sana,hata Lindi nimeishi.Kiuhalisia Lindi kuna ulozi hata siyo siri kabisa.Mwendazake nadhan testimony ya ulozi lindi aliipata [emoji1787] [emoji1787]
Ukiachana na ulozi vp Hali ya maisha..inafaa Kwa mtu asiye mwenyeji kuanza maisha hapo Lindi ?
 
Kweli kabisa mkuu

Kama ni kweli usingeanzisha hii thread ya kipumbavu .
Maisha kokote we dogo
Mimi falsafa yangu ya maisha ,Kama sehemu kuna watu wanaishi na Mimi siwezishindwa kuishi mradi kuwe na sababu za msingi za Mimi kuishi hapo hususani kazi halali ya kujiingizia kipato au just kutalii na kujifunza
 
Uzi wako una maudhui mabaya.mbona unabagua nyumbani kwenu.
Pote no Tanzania mbona unataka kuonyesha kuwa Tanzania nyingine ni mbaya afu nyingine ni nzuri.

Haya ngoja niendane na akili yako.

Nitaishi wilayani kwenu pako poa Sana na pameendelea mno ingawa mie Hali yangu itakuwa the same.

Kwenu kuko poa Sana mpaka wazungu wanawaza kupateka pawe kwao mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fresh ila tatizo mzunguko wa pesa bado mdogo Ingawa Wachaga na Warangi wamekamata soko kuu hapo Jamatini wenyeji wamekamata kilimo cha alizeti na mifugo
Nikisikia mtu anasema mizunguko wa pesa Ni mdogo hua nacheka Sana,Kwani hao waliotoboa hapo mzunguo huo hawauoni?

Ukisikia njoo huku dar mzunguko wa pesa Ni mkubwa unaweza kudhani dar kila mtu ni tajiri kumbe 20% tu ndio Wana angalau 80% Ni choka mbovu makazi,misosi hata ukiwaambia Niko Dar tuchekiane wanakimbia.
 
Ukiachana na ulozi vp Hali ya maisha..inafaa Kwa mtu asiye mwenyeji kuanza maisha hapo Lindi ?
Lindi bado kuna umwinyi mwingi,Maisha ni very expensive sababu watu bado hawajitumi-na wana msemo wao mmoja "Lindi kitu cha bei rahisi ni chumvi na mwananke",na ni mkoa ambao bado haujafunguka kama Mtwara ingawa kijumla unaanza kufunguka taratibu.Unafuu kwa mgeni inategemea na wilaya-sehemu wanazolima sana korosho biashara kiukweli zipo na wageni huwa wanafaidika.Ingawa kuna baadhi ya wilaya mgeni ukifungua biashara kupata wateja ni changamoto mno kwa sababu wana ule unyumbani mwingi na ubaguzi,na wafanyibiashara wa Lindi wana changamoto sana-Ukifika saa 12 jion ukijisahau ukaomba wakuuzie chumvi hakuna hata mmoja atakayekuuzia labda utamke dawa ya jiko kwa imani zao,Ukifika dukani unapaswa kumsubiria mwenye duka aamue jinsi ya kukuhudumia anavyotaka yeye na hawataki maswali mengi-Unaweza fika dukani ukamsubiria mwenye duka hata dk 20 amalize kuongea na mtu wake ndo akuhudumie-kiufupi ni kujifunza jinsi ya kwenda na wenyeji nk.
 
Lindi bado kuna umwinyi mwingi,Maisha ni very expensive sababu watu bado hawajitumi-na wana msemo wao mmoja "Lindi kitu cha bei rahisi ni chumvi na mwananke",na ni mkoa ambao bado haujafunguka kama Mtwara ingawa kijumla unaanza kufunguka taratibu.Unafuu kwa mgeni inategemea na wilaya-sehemu wanazolima sana korosho biashara kiukweli zipo na wageni huwa wanafaidika.Ingawa kuna baadhi ya wilaya mgeni ukifungua biashara kupata wateja ni changamoto mno kwa sababu wana ule unyumbani mwingi na ubaguzi,na wafanyibiashara wa Lindi wana changamoto sana-Ukifika saa 12 jion ukijisahau ukaomba wakuuzie chumvi hakuna hata mmoja atakayekuuzia labda utamke dawa ya jiko kwa imani zao,Ukifika dukani unapaswa kumsubiria mwenye duka aamue jinsi ya kukuhudumia anavyotaka yeye na hawataki maswali mengi-Unaweza fika dukani ukamsubiria mwenye duka hata dk 20 amalize kuongea na mtu wake ndo akuhudumie-kiufupi ni kujifunza jinsi ya kwenda na wenyeji nk.
Hiyo niliwahi kutananayo bukoba dah! nilichoka mwenyewe mtu anaongea na ndugu zake mpaka amalize ndipo akuhudumie.
 
Me nikishika hela ya kutosha najitenga na wanadamu.
 
Lindi bado kuna umwinyi mwingi,Maisha ni very expensive sababu watu bado hawajitumi-na wana msemo wao mmoja "Lindi kitu cha bei rahisi ni chumvi na mwananke",na ni mkoa ambao bado haujafunguka kama Mtwara ingawa kijumla unaanza kufunguka taratibu.Unafuu kwa mgeni inategemea na wilaya-sehemu wanazolima sana korosho biashara kiukweli zipo na wageni huwa wanafaidika.Ingawa kuna baadhi ya wilaya mgeni ukifungua biashara kupata wateja ni changamoto mno kwa sababu wana ule unyumbani mwingi na ubaguzi,na wafanyibiashara wa Lindi wana changamoto sana-Ukifika saa 12 jion ukijisahau ukaomba wakuuzie chumvi hakuna hata mmoja atakayekuuzia labda utamke dawa ya jiko kwa imani zao,Ukifika dukani unapaswa kumsubiria mwenye duka aamue jinsi ya kukuhudumia anavyotaka yeye na hawataki maswali mengi-Unaweza fika dukani ukamsubiria mwenye duka hata dk 20 amalize kuongea na mtu wake ndo akuhudumie-kiufupi ni kujifunza jinsi ya kwenda na wenyeji nk.
Na vp kuhusu maendeleo kiujumla,mkoa wa Lindi unaweza kufanana na mkoa gn?

Niliwahi pita pale stendi naelekea masasi ni PA kawaida km syo mkoani,mtu mmoja akasema kule juu ndy kizuri tofauti na huku chini stendi
 
Back
Top Bottom