Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Kweli Dodoma ni pa hovyo.ukihitaji maji ya kunywa ni tatizo ukishi huko maisha yako yote itakubidi ununue maji ya kunywa.
 
Sasa mkuu hapo kosa lake mbona alipo. kama mtu analo gari asiseme? kama mtu kajenga asiseme??? tatizo ni wivu tu na roho mbaya zimewajaa .acheni watu wafanikiwe kila kiumbe kina njia zake.
Hajasema ana gari na amejenga, kasema hata akipewa gari na nyumba.......
Sasa hajapewa Ila Kama akipewa.... Umeelewa huyu Ni me au ke?
 
Wazungu wenzetu pamoja na maendeleo, waliyonayo, huko kwao, lakini Walipaacha kwao kuja kuishi Afrika, tena enzi za mababu, afrika kabla jaijafikia haya maendeleo ya sasa.

Lakini Sisi, ambao afrika ni yetu, tena Tanzania ambayo kila utakapo ishi ukiongea kiswahili, utajiwa kwa kiswahili hichohicho, maendeleo ya mkoa hadi mkoa hayatofautiani sana, alafu mtu anakuja kauli hii, waafrka kweli tumefungwa vitambaa vya giza kwenye ubongo.

Wenzetu wameweka mbele fulsa, hawa angalii pa giza, au mwanga, unaweza kwenda vijiji vya ndani unawakuta jamaa wanachapa kazi, na wanalala kwenye full suti za mabati.
 
Ukiwa na hayo huwezi andika ushuzi kama wako!!! Sasa kuna majukumu gan zaidi ya hayo!?? Hebu niambie wewe unayo yapi zaidi !?? Labda kumridhisha mumeo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] We boya dada zako wamekakamaa kama mang'ati afu wavivu sa ivi utakuta wamejibanza Royal au Capital kuvizia watu wa kuwashughulikia wapate pesa ya dona mle.
 
Kuna sehem niliwai kwenda, lushoto ndanindani kabisa uko. Panaitwa kileti.. lol yan ni milima tupu. Wiki mbili nilihisi nimekaha miaka 10.

Ukitaka kujenga nyumba unachimba mlima adi pawe flat size ya nyumba yako kisha unajenga. Kule hapana ata nipewe ndege. hakuna network sijui wagosi wanaishije kule
 
Hakuna mkoa mbaya hata mmoja ,nilichogundua ni mazoea tu ,ukienda ukikaa kwa muda ukazoe hautatamani tena kuliko kwa mwanzo!!
 
Back
Top Bottom