Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Mimi kuna mikoa sipendi kuishi, siwezi kusema sitakaa niishi humo maana siijui kesho yangu. Ila kama ningepewa uwezo wa kuchagua Dar mimi siishi labda nikatembee siku kadhaa na kuondoka.
Wewe uko kama mimi kiufupi kuishi mikoa yenye msongamano wa watu karaha tabu na kila ahubiri hapana.

Pili mikoa ya baridi kali hususani Njombe hasa Makete kwa kweli sijui nitafanyaje eti kuishi Makete kushoto Karatu Mufindi sipendi japo ni kwetu
 
Ni kweli, huyu mtoa mada ni mjinga
 
Mkuu umeeleweka vyema kabisa
 
Anavyoandika utafikiri alishawahi kuishi mikoa yote Tanzania akaona mapungufu yake faida na hasara.
 
Duuuh mawazp finyu kabisa umeandika leo
Kwanza sijui unatokea mkoa gan unapata mda wa kuwaza ujinga namna hii,atakayekupa hiyo nyumba ba gari bure ni nani may be we ni chai maharage
Jaribu kuficha ujinga ulionao unawaza kuhongwa au unamiliki K mnato
 
Dom ipi yenye vumbi,kuna Mji wenye mtandao mkubwa wa lami kama Dom kwa sasa? Na bado ring road bado utalinganisha Dom na hivyo vi slum town vyenu kweli? U can't be serious..Dom is Abuja to come
Dom hamna maisha mnajidanganya na starehe ya ulevi mida Kama hii unakuka wamejazana Bambalaga au Capital hamna cha maana kinachofanyika
 
Safi sana. Vijana wa kizazi kipya taabu sana. Akishapata ka IST basi anajiona kafiiika! TAKUKURU hebu kazeni Uzi, kesi za uhujumu uchimi zimepoa sana siku hizi! Watu wameishaanza kukwepa kodi. Tumesikia juzi kutoka EWURA!
TAKUKURU wakaze uzi kisa watu wana nunua magari kwa wingi?? shame on you hacha roho mbaya .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…