Mkoa wa Arusha machinga wawapiga wenye maduka

Mkoa wa Arusha machinga wawapiga wenye maduka

Kubaki mjini sio shida
Ila wakae sehemu rasmi
Na sehemu rasmi ni kwenye fremu husika
Iwe ya serikali ama private
Uwe mmoja ama kikundi
Wengine wanaenda kuchukua fungu za Nyanya Sokoni kwa mkopo wanakuja kuuzia mbele ya fremu za watu, sasa hao hawalipi hata ushuru wa soko, ukisema uwapangie sehemu maalumu wanasema huko wateja hawaji.
 
Wengine wanaenda kuchukua fungu za Nyanya Sokoni kwa mkopo wanakuja kuuzia mbele ya fremu za watu sasa hao hawalipi hata ushuru wa soko ukisema uwapangie sehemu maalumu wanasema huko wateja hawaji.
Masokoni kuna vizimba viko wazi
Waelekee kutafuta vizimba masokoni

Kama hataki vizimba
Auze kwa kutembeza na sio kuweka kambi
 
Hapo vip!!

Katika pitapita zangu nilishuhudia machinga wakitaka kumchomea moto mfanyabiashara mmoja pale Ngulelo stand.

Na ugovi ulianza baada ya mfanya biashara yule kuwambia waondoe mabanda mbele ya duka lake kwasababu anashindwa kufanya biashara.

Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio police walikuwa wanataka kuchoma duka la yulebmfanyabiashara.

Hili swala la kudhagaa kwa machinga tulisichukulie mdhaha kabisa kwasababu wafanyabiashara wanaolipa kodi ya serikali wanapata wakati mgumu sana...kiasi kwamba wengine wanaamua kufunga biashara kwa mazingira hayo.

Nina imani tokea machinga waanze kuzagaa zagaa kunawafanyabiashara wengi wafunga biashara zao kwasababu ya tatizo hili na serikali ikapoteza mapato au kodi ambayo ingetumiwa na serikali kughara elimu,afya za hao watoto wamachinga.

Ki ukweli ule ugomvi wakuta kumshambulia yule mfanyabiashara wa ngulelo ulinigusa sana..haikuwa haki hata kidogo.

Nimeona niandike hili kwasababu serikali ipo kama inaogopa kuchukua hatua katika hili swala..pasipo kupepesa macho machinga ni tatizo.
Hadithi hii inatufundisha nini!!
 
Naona machinga wanacheza na nguvu za dola...


Machinga wapangishe fremu maisha yaendelee
Machinga wako wengi ... hapa kuwatuliza sio kwa kutumia nguvu kutatokea madhara sana ukichukulia-fact kwamba Rais aliyeenda zake aliwa-favour ... serikali ikitumia tu nguvu ijiandae na chaos inaweza i-spread nchi nzima
 
Machinga wako wengi ... hapa kuwatuliza sio kwa kutumia nguvu kutatokea madhara sana ukichukulia-fact kwamba Rais aliyeenda zake aliwa-favour ... serikali ikitumia tu nguvu ijiandae na chaos inaweza i-spread nchi nzima
Wala hamna nguvu ni piece by piece
Hamna siku wataondolewa kwa pamoja ili wajipange kuleta chaos
 
Machinga wako wengi ... hapa kuwatuliza sio kwa kutumia nguvu kutatokea madhara sana ukichukulia-fact kwamba Rais aliyeenda zake aliwa-favour ... serikali ikitumia tu nguvu ijiandae na chaos inaweza i-spread nchi nzima
Yaani watu sijui wanawazaje inaweza ikawa ndiyo njia ya chaos ambayo haujawahi kutokea

Maana hao machinga ni wengi sana yaani ni wengi
 
Hapo vip!!

Katika pitapita zangu nilishuhudia machinga wakitaka kumchomea moto mfanyabiashara mmoja pale Ngulelo stand.

Na ugovi ulianza baada ya mfanya biashara yule kuwambia waondoe mabanda mbele ya duka lake kwasababu anashindwa kufanya biashara.

Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio police walikuwa wanataka kuchoma duka la yulebmfanyabiashara.

Hili swala la kudhagaa kwa machinga tulisichukulie mdhaha kabisa kwasababu wafanyabiashara wanaolipa kodi ya serikali wanapata wakati mgumu sana...kiasi kwamba wengine wanaamua kufunga biashara kwa mazingira hayo.

Nina imani tokea machinga waanze kuzagaa zagaa kunawafanyabiashara wengi wafunga biashara zao kwasababu ya tatizo hili na serikali ikapoteza mapato au kodi ambayo ingetumiwa na serikali kughara elimu,afya za hao watoto wamachinga.

Ki ukweli ule ugomvi wakuta kumshambulia yule mfanyabiashara wa ngulelo ulinigusa sana..haikuwa haki hata kidogo.

Nimeona niandike hili kwasababu serikali ipo kama inaogopa kuchukua hatua katika hili swala..pasipo kupepesa macho machinga ni tatizo.
Naona Lile gang la wafanyabiashara na mafisaci limejipanga kweli kipropaganda kwa kueneza uzushi wa kinachodaiwa ubaya wa machinga kwamba wasifanye biashara mitaani...haya endeleeni na propaganda hizo kwani kikinuka propaganda hizo mtazifanya mkiwa uvunguni mwa vitanda...
 
Wanasiasa kama Ummy Mwalimu ndo wanakwamisha utoaji wa machinga kwenye maeneo mbalimbali. Njia pekee ya kuondoa wamachinga ni kutumia nguvu tu!
Nguvu kwa Wamachinga, kwa CHADEMA ukiukwaji wa haki za binadamu!!!! Hili tatizo la Wamachniga halikuianzia kwa Magufuli. Hili lianza siku za nyuma na likawa linakuwa mpaka pale walipohalalishwa na Magufli. Wamachinga walianza wakati sijui wa Mkapa au Mwinyi na huenda tangu wakati wa Nyerere. Walianza kwa kutembeza mitumba. Pale soko kuu la Kariakoo walikuwepo wapangaji wa nyanya pembeni mwa soko tangia miaka ya 70. Wale waliendelea hadi wakafunga barabara moja inaypotoka sokoni na kuunga ile itokayo Mnazi Mmoja (sijui ndiyo mtaa wa Congo..sina hakika maana nina miaka mingi sitembei Dar).

Tatizo la Wamachinga limelelewa na watu wengi. Kwanza ilikuwa iliyokuwa Dar Es Salaam City Council (DCC). DCC ilishindwa kabisa kuwaondoa wamachinga katikati ya mmji, DCC ilishindwa kwa sababu badala ya kuwaondoa iliwafanya mradi hasa ule wa askari wa DCC. Wengine walijenga nyumba kupitia hup mradi. Wafanya biashara nao walihusika na hili tatizo kwa kuwageuza wamachinga waajiriwa wa kujilipa tpokana na mauzo ya biashara zao. Wamachinga wengi walitapaklaa mjini Dar wakitembeza bidhaa za wafanyabiashara. Wao walijilipa kutokana na tofauti pesa ya tajiri na bei waliyouza. Alipofika Magufuli na kuwakatishia vitam,bulisho ndiyo jeuri ilizidi. Sisi wanunuzi pia tumechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya wamachinga waongezeke.

Watu pekee wenye uwezo mkubwa wa kuwapondoa wamachinga ni wanunuzi. Wanunuzi tukiacha kununua biashara zapo zinauzwa sehemu ambazo si rasmi, hawatachukuwa muda kuhama. Kinachowang'ang'aniza huko waliko ni soko na soko likikosa wataondoka tu. Soko hilo ni sisi wanunuaji, tukiacha kununua wataondoka tu. Kwa kifupi tatizo la wamachinga linahitaji kushirikiana wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wanahusika na kuwepo kwa tatizo hili, na siyo serkali tu.
 
Hapo vip!!

Katika pitapita zangu nilishuhudia machinga wakitaka kumchomea moto mfanyabiashara mmoja pale Ngulelo stand.

Na ugovi ulianza baada ya mfanya biashara yule kuwambia waondoe mabanda mbele ya duka lake kwasababu anashindwa kufanya biashara.

Hao machinga walimvamia jamaa kama pilipili na kuuza kurusha matusi makubwa kwa yule mfanyabiashara..na ingekuwa sio police walikuwa wanataka kuchoma duka la yulebmfanyabiashara.

Hili swala la kudhagaa kwa machinga tulisichukulie mdhaha kabisa kwasababu wafanyabiashara wanaolipa kodi ya serikali wanapata wakati mgumu sana...kiasi kwamba wengine wanaamua kufunga biashara kwa mazingira hayo.

Nina imani tokea machinga waanze kuzagaa zagaa kunawafanyabiashara wengi wafunga biashara zao kwasababu ya tatizo hili na serikali ikapoteza mapato au kodi ambayo ingetumiwa na serikali kughara elimu,afya za hao watoto wamachinga.

Ki ukweli ule ugomvi wakuta kumshambulia yule mfanyabiashara wa ngulelo ulinigusa sana..haikuwa haki hata kidogo.

Nimeona niandike hili kwasababu serikali ipo kama inaogopa kuchukua hatua katika hili swala..pasipo kupepesa macho machinga ni tatizo.
Ujinga
 
Mimi nafikiri machinga ni wale wanaotembeza bidhaa zao mkononi kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Wengine ni wakwepa kodi tu. Na mkwepa kodi lazima sheria ifuate mkondo wake
 
Back
Top Bottom