Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

Afisa Tabibu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
511
Reaction score
848
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni masikini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.

Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.

Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.

Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
 
Arusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.

Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.

Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.

Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
 
Arusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.

Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.

Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.

Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
Mkuu inamaana miaka 5 inatosha Karatu au Kahama kuipiku Arusha kama zikipewa attention?
Hivi mkuu umeshakwenda pale Halmashauri ya jiji wakakuonyesha mipango ya mji kama Bondeni City nk
 
Matunda ya kutawaliwa na chama dola,na middle class humu inaonekana kwenye comments zao wanawalaumu wakazi wa Arusha kwa maendeleo duni,nchi hii tunahitaji mikoa 20tu na watanzania wanahitaji service delivery sio utitiri huu,huku kwetu Lingusenguse hatujawahi kutembelea hata na wale top 3 ya watawala wetu....60yrs now,maendeleo ni msamiati mpya.
 
Nenda kwa morombo/ungalelo/ngulelo/sanwarii vijana wanakunywa double kick mda wotee ... hawajitumii
na ivi biashara ya utalii umepungua ndo tutasikia mengi kuhusu arusha
 
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.

Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.

Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.

Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Arusha umekaa umepita au laa, tuanzie hapo
 
Arusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.

Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.

Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.

Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
wasukuma bana eti Kahama imeipiga chini Arusha nyeyenye
Screenshot_20220124-105739.jpg
 
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.

Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.

Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.

Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Kuna mitaa ya Sombetini, Ungalimited, Matejoo, Daraja mbili Kwao mkuu wa wilaya kisarawe, Ngarenaro, Uswahilini, Ngusero, na Moromboo ukifika huko unasikia harufu ya umasikini uliopitiliza watoto wa huko hawasomi wazazi ni walevi wa dadii na gongo mimba za utototoni nje nje.

Miundo mbinu mibovu nyumba za udongo wenyewe wanaziita mbavu za mbwa ukitembea hatua mbili unakutana na wavuta bangi wachafu alafu wamejazana ujinga ujinga tu kichwani kiufupi ukiishi huko nikama uko jehanamu
 
Arusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.

Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.

Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.

Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
chuki binafsi hizi sio bure
 
Kuna mitaa ya Sombetini, Ungalimited, Matejoo, Daraja mbili Kwao mkuu wa wilaya kisarawe, Ngarenaro, Uswahilini, Ngusero, na Moromboo ukifika huko unasikia harufu ya umasikini uliopitiliza watoto wa huko hawasomi wazazi ni walevi wa dadii na gongo mimba za utototoni nje nje miundo mbinu mibovu nyumba za udongo wenyewe wanaziita mbavu za mbwa ukitembea hatua mbili unakutana na wavuta bangi wachafu alafu wamejazana ujinga ujinga tu kichwani kiufupi ukiishi huko nikama uko jehanamu
mkuu unaongea ukiwa na uhakika hivyo vitu umeviona machoni pako au unaleta stori za vijiweni
 
Acheni upuuzi uwez kufananisha arusha na mikoa ya kipuuzi puuzi pale arusha kupata kiwanja mfno moshono 20*20 huna milion ishirini hujakah hapo achilia mbali gomba estate na burka ndugu Kama huna 40 milion hupati kiwanja

Sas ruvuma huko sijui songea milion mbili tu unapata kiwanja Tena mjini kbsa hzo ishu uwez kuta Arusha babu

Ukienda namtumbo kiwanja laki tano unapata kbsa na hati juu
 
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.

Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.

Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.

Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.

3F4F1FC4-1DDA-4BE9-B8AB-D91D49DF428E.jpeg


E47D6A2F-065C-47E9-948C-A01377CB1918.jpeg
 
Kuna mitaa ya Sombetini, Ungalimited, Matejoo, Daraja mbili Kwao mkuu wa wilaya kisarawe, Ngarenaro, Uswahilini, Ngusero, na Moromboo ukifika huko unasikia harufu ya umasikini uliopitiliza watoto wa huko hawasomi wazazi ni walevi wa dadii na gongo mimba za utototoni nje nje miundo mbinu mibovu nyumba za udongo wenyewe wanaziita mbavu za mbwa ukitembea hatua mbili unakutana na wavuta bangi wachafu alafu wamejazana ujinga ujinga tu kichwani kiufupi ukiishi huko nikama uko jehanamu
Hivi mkuu inaijua Manzese.. Tandale.. ulishawahi kuishi vingunguti ndanindani ambapo maji ya choo yanapitia jikoni kabla ya kutiririka barabarani?
Najua hapa topic ni kuiponda Arusha tuu utafikiri sehemu nyingine wapo vizuri
 
Back
Top Bottom