Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

Sometimes kuna mada unaziangalia unawaza kama alieleta na wanaomuunga mkono wanatumia kushabu au la.


Kama kusema wakazi wakuu wa Ngorongoro ni Wasonjo inathibitisha haujui unalolisema.

Japo kuna vitu haviko sawa lakini sio kwa Arusha tu ni tatizo la nchi nzima hata Dar mjini kati nenda hapo Magomeni tu ni kubaya kinyama.

Sasa sijui kwanini wengi mnapenda kui single out Arusha. Nadhani ni wivu tu umewajaa.
 
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.

Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.

Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.

Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
loliondo ni sehemu ambayo umeme haukatiki, unajua hilo?
 
wasukuma bana eti Kahama imeipiga chini Arusha nyeyenye View attachment 2093722
Mtafute mtu ambaye hajawahi kutembelea Arusha, mfunike macho halafu akifika Tengeru mfungue kitambaa aende weeee mpaka barabara ya Dodoma, mptitishe kwenye mashamba ya kahawa, ukifika uwanja wa ndege wa kisongo mrudishe mjini weee mpaka chekeleni.

Halafu mfunike macho mpitishe barabara moja tu aingie Geita akitokea Katoro kuelekea Mwanza. Haki ya nani kijani atakayoikuta Geita na majengo yanayoshushwa atakwambia Geita ndo Arusha.
 
Sometimes kuna mada unaziangalia unawaza kama alieleta na wanaomuunga mkono wanatumia kushabu au la.


Kama kusema wakazi wakuu wa Ngorongoro ni Wasonjo inathibitisha haujui unalolisema.

Japo kuna vitu haviko sawa lakini sio kwa Arusha tu ni tatizo la nchi nzima hata Dar mjini kati nenda hapo Magomeni tu ni kubaya kinyama.

Sasa sijui kwanini wengi mnapenda kui single out Arusha. Nadhani ni witu umewajaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acheni upuuzi uwez kufananisha arusha na mikoa ya kipuuzi puuzi pale arusha kupata kiwanja mfno moshono 20*20 huna milion ishirini hujakah hapo achilia mbali gomba estate na burka ndugu Kama huna 40 milion hupati kiwanja

Sas ruvuma huko sijui songea milion mbili tu unapata kiwanja Tena mjini kbsa hzo ishu uwez kuta Arusha babu

Ukienda namtumbo kiwanja laki tano unapata kbsa na hati juu
Arusha hakuna Aridhi ndiyo maana inakuwa na Bei kubwa
 
sasa sehemu kama uswahilini na kwa mrombo nyumba za tupo umezionea wapi wakati ukijenga nyumba bila msingi imara inaweka ufa
Ww hujui Arusha njoo na barabara inayokwenda Uswahilini ukivuka kiwanda Cha A to Z unaanza kuona nyumba za udongo
 
Mtafute mtu ambaye hajawahi kutembelea Arusha, mfunike macho halafu akifika Tengeru mfungue kitambaa aende weeee mpaka barabara ya Dodoma, mptitishe kwenye mashamba ya kahawa, ukifika uwanja wa ndege wa kisongo mrudishe mjini weee mpaka chekeleni. Halafu mfunike macho mpitishe barabara moja tu aingie Geita akitokea Katoro kuelekea Mwanza. Haki ya nani kijani atakayoikuta Geita na majengo yanayoshushwa atakwambia Geita ndo Arusha.
Comment ya hovyo kuwahi kutokea hapa JF. Geita ni kijiji kilichochangamka.

Yani hata tu haiwezi kuwa na hadhi sawa na Usa River huko wilayani Arumeru.

Sasa kama kamji kako hapo barabarani tu ukitoka Nyankumbu ukaingia mjini hapo ukifika Mwatulole mji umeisha.

Na hapo mjini ukitembea meter 300 kutoka main road unakutana na mapori hapo kuna mji wa kulinganisha hata Simanjiro?
 
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.

Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.

Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.

Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Afisa tabibu;

Ngoja nikufungue macho kiranga;
1. Wasonjo ni kabila dogo mno linaloishi vijiji vichache mno huko Loliondo.
Kwa uchache wao huwezi kuifanya Ngorongoro yote kuwa maskini.

Wasonjo ni kweli wako nyuma mno, si ajabu kumkuta binti mbichi wa 15-20 miaka akitembea kifua wazi yaani matiti nje na amefunika tako na uke pekee...hiyo ni mila zao na wanafurahia kuwa hivyo.

2. Pili kabila lingine kubwa Ngorongoro ni wamaasai...hawa sifa zake zinajulikana duniani kote.
Masai sio maskini isipokuwa life style yao ndivyo ilivyo...mwenye ng'ombe zaidi ya 1,000 huwezi kumlinganisha na mkwere mlima mihogo Pwani.

3. Karatu watu sio duni, hao ni wakulima wakubwa sana tu...japo fukara nao wapo.

4. Monduli..hii pia ni Wilaya ya wafugaji walewale sawa na Ngorongoro.

5. Meru.

Wakazi wake ni wa Meru, asili yao inalandana na Wachaga hasa Wamachame, hili kabila ni wapambani sana.Ni miongoni mwa makabila yanayojali sana makazi bora mno.Kijana wa kimeru hawezi kuoa bila kujenga nyumba yake ya kisasa.Meru ndilo eneo la ukanda wa kijani...mazingira bora kabisa kuishi.

Pitia...Tengeru, Usa river hadi Kikatiti wakazi wake sio haba kabisa..isipokuwa ukanda wa chini ya usariver na chini ya kikatiti ukitokea mlimani, huko kuna ukame na ndiko makabila duni toka mikoa ya Dodoma, Singida na kwingineko huishi.

Nb: nimetembea nchi nzima...wilaya kwa wilaya...Arusha ni bora sana Kilimanjaro kuliko mikoa mingi hali ni tete.
Tunayaangalia mambo kwa wastani na sio kwa kijiji kimoja au kata.
 
Hapa leo ngoja niweke kambi,maana kuna wapuuzi hupenda sana kudharau miji ya wenzao
 
Afisa tabibu;
Ngoja nikufungue macho kiranga;
1. Wasonjo ni kabila dogo mno linaloishi vijiji vichache mno huko Loliondo.
Kwa uchache wao huwezi kuifanya Ngorongoro yote kuwa maskini.

Wasonjo ni kweli wako nyuma mno, si ajabu kumkuta binti mbichi wa 15-20 miaka akitembea kifua wazi yaani matiti nje na amefunika tako na uke pekee...hiyo ni mila zao na wanafurahia kuwa hivyo.

2. Pili kabila lingine kubwa Ngorongoro ni wamaasai...hawa sifa zake zinajulikana duniani kote.
Masai sio maskini isipokuwa life style yao ndivyo ilivyo...mwenye ng'ombe zaidi ya 1,000 huwezi kumlinganisha na mkwere mlima mihogo Pwani.

3. Karatu watu sio duni, hao ni wakulima wakubwa sana tu...japo fukara nao wapo.

4. Monduli..hii pia ni Wilaya ya wafugaji walewale sawa na Ngorongoro.

5. Meru.
Wakazi wake ni wa Meru, asili yao inalandana na Wachaga hasa Wamachame, hili kabila ni wapambani sana.
Ni miongoni mwa makabila yanayojali sana makazi bora mno.
Kijana wa kimeru hawezi kuoa bila kujenga nyumba yake ya kisasa.
Meru ndilo eneo la ukanda wa kijani...mazingira bora kabisa kuishi...
Pitia...Tengeru, Usa river hadi Kikatiti wakazi wake sio haba kabisa..isipokuwa ukanda wa chini ya usariver na chini ya kikatiti ukitokea mlimani, huko kuna ukame na ndiko makabila duni toka mikoa ya Dodoma, Singida na kwingineko huishi.

Nb: nimetembea nchi nzima...wilaya kwa wilaya...Arusha ni bora sana Kilimanjaro kuliko mikoa mingi hali ni tete.
Tunayaangalia mambo kwa wastani na sio kwa kijiji kimoja au kata.
Kilimanjaro imeipita Arusha kwa wananchi wake kuwa na vipato vikubwa, na mkoa ambao vijiji vyake vingi vimepigwa lami na Kuna makazi Bora huwezi fananisha uko ambako Kuna shida ya laana, maji shida kila kitu ni shida
 
Mtafute mtu ambaye hajawahi kutembelea Arusha, mfunike macho halafu akifika Tengeru mfungue kitambaa aende weeee mpaka barabara ya Dodoma, mptitishe kwenye mashamba ya kahawa, ukifika uwanja wa ndege wa kisongo mrudishe mjini weee mpaka chekeleni.

Halafu mfunike macho mpitishe barabara moja tu aingie Geita akitokea Katoro kuelekea Mwanza. Haki ya nani kijani atakayoikuta Geita na majengo yanayoshushwa atakwambia Geita ndo Arusha.
Mhhhh!
 
Arusha hakuna Aridhi ndiyo maana inakuwa na Bei kubwa
Hata kama ni bei kubwa wauze hayo mashamba ya kahawa na migomba watu wajenge makaz na mji uonekane.
Sio sasa nyumba nyingi ziko mwambao wa barabarani, 20m huko nyuma utacheka!
Kuna maeneo ya mji mpya kama mateves,burk estat,muriet yaan maeneo yote nje ya mji ndio yanaibadilisha arusha na si barabara kuu mianzin,sakina ,ngaramtoni juu na chini,sanawari,ngulelo,shangarai pia barabara ya kat mbauda, kijenge mpaka chekeleni,nelson mandela
 
Mkuu inamaana miaka 5 inatosha Karatu au Kahama kuipiku Arusha kama zikipewa attention?
Hivi mkuu umeshakwenda pale Halmashauri ya jiji wakakuonyesha mipango ya mji kama Bondeni City nk
Tatizo la Arusha jiji ni kwamba wako kama hawako kabisa...jiji linajengwa kiholela sana na hakuna anayejali.
 
Back
Top Bottom