Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

Baada ya wasukuma kukutafuna na kukuacha bila malipo basi hasira zako zote unadhani kila anaeponda Arusha ni msukuma.

Arusha ni mji wa kulinganisha na vimji vidogo vidogo kama Runzewe, Manyoni, Igunga ama hata Tinde.

Njombe ishaipiga chini Arusha muda mrefu.
wasukuma bana eti Kahama imeipiga chini Arusha nyeyenye View attachment 2093722
 
Arusha huwezi fananisha na hiyo mikoa yenu takataka....hizo wilaya umezitaja zote za Longido, Monduli, Loliondo, Ngorongoro ni wilaya za wafugaji ( wamasai), ambao maisha yao ni ya kuhamahama...ajabu nini sasa? Acha kuaminisha watu uongo
 
Ni kweli mdau anacho sema mimi nimezaliwa arusha naishi arusha napajua arusha kwa kila kitongoji mji wa arusha kwanza haujapimwa barabara za mitaa ukiwa na gari huwezi kupishana na boda sembuse makazi horera na nyumba za kale kama pele ngarenaro ni klm 1 toka katikati ya jiji hapo hujaenda matejo hukaenda esso unga ltd yani ni paajbu sana tatizo la wakazi wa arusha hawatembei sana akitembea sana kaenda dar kwahiyo hayo unayo sema lazima abishane kwakuwa hajatembea miji mingine

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
 
Arusha ni takataka kabisa yani ukifika tu Ngarenaro unakutana na magofu nyumba mbavu za mbwa, vijana wengi wa Arusha hawajatembea hapa Tz wao ni kuishi Arusha kunywa dadii,kula Ugoro basi ila Arusha ni pa ovyo tu
 
Ni kweli mdau anacho sema mimi nimezaliwa arusha naishi arusha napajua arusha kwa kila kitongoji mji wa arusha kwanza haujapimwa barabara za mitaa ukiwa na gari huwezi kupishana na boda sembuse makazi horera na nyumba za kale kama pele ngarenaro ni klm 1 toka katikati ya jiji hapo hujaenda matejo hukaenda esso unga ltd yani ni paajbu sana tatizo la wakazi wa arusha hawatembei sana akitembea sana kaenda dar kwahiyo hayo unayo sema lazima abishane kwakuwa hajatembea miji mingine

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
Bado watakupinga
 
Katika mkoa/jiji linaloongoza kufunguliwa thread kila uchwao ni Arusha.

Kuna mtu ka notice jambo hapo?
Ni kweli, najaribu kujiuliza ni kwanini?Au ni masalia ya mwendazake?maana jamaa alikuwa hakubaliki huko ndio akaamua kuteua majambazi yafanye kazi
 
Ni kweli mdau anacho sema mimi nimezaliwa arusha naishi arusha napajua arusha kwa kila kitongoji mji wa arusha kwanza haujapimwa barabara za mitaa ukiwa na gari huwezi kupishana na boda sembuse makazi horera na nyumba za kale kama pele ngarenaro ni klm 1 toka katikati ya jiji hapo hujaenda matejo hukaenda esso unga ltd yani ni paajbu sana tatizo la wakazi wa arusha hawatembei sana akitembea sana kaenda dar kwahiyo hayo unayo sema lazima abishane kwakuwa hajatembea miji mingine

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
Nimeishi Arusha na kutembea wilaya zote. Mleta mada anasema uongo kwa sehemu na ukweli kwa sehemu. Ngorongoro ni wilaya yenye wamasai wengi, wasonjo ni sehemu ndogo sana ya watu wa ngorongoro. Arusha hata kabla ya kugawanywa ilikuwa ni mkoa wa wafugaji kwa asilimia kubwa. Wafugaji wanamind ufugaji, maisha yao ni mifugo kwa sana sio majumba na magari, huo ndio uirithi na ufahari wao.

Ni kweli Arusha haikui kwa kasi, lakini kahama bado sana kuilinganisha na Arusha. Kahama kibiashara kuna mzunguko mkubwa ila bado kwa ujumla wake.

Sifia jiji la Mwanza, Dodoma na kwingineko....labda Kahama inaweza kuja in the next 50 years kwa sababu wana rasimali muhimu zaidi ya arusha inayotegemea utalii na Tanzanite kama vyanzo vikubwa vya mapato. Kahawa imepotea...mahindi, maharagwe na ngano kwa sasa viko Manyara

Labda horticulture inaweza kuibeba Arusha ingawa vihamba style ya uchagani na udogo wa eneo lenye maji na ukijani nalo ni changamoto
 
Matunda ya kutawaliwa na chama dola,na middle class humu inaonekana kwenye comments zao wanawalaumu wakazi wa Arusha kwa maendeleo duni,nchi hii tunahitaji mikoa 20tu na watanzania wanahitaji service delivery sio utitiri huu,huku kwetu Lingusenguse hatujawahi kutembelea hata na wale top 3 ya watawala wetu....60yrs now,maendeleo ni msamiati mpya.
Nimewahifika ni katibu na msumbiji
 
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.

Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.

Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.

Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Mifugo yenyewe inakufa,hapo umesahau Ngorongoro.
 
Kuna mitaa ya Sombetini, Ungalimited, Matejoo, Daraja mbili Kwao mkuu wa wilaya kisarawe, Ngarenaro, Uswahilini, Ngusero, na Moromboo ukifika huko unasikia harufu ya umasikini uliopitiliza watoto wa huko hawasomi wazazi ni walevi wa dadii na gongo mimba za utototoni nje nje.

Miundo mbinu mibovu nyumba za udongo wenyewe wanaziita mbavu za mbwa ukitembea hatua mbili unakutana na wavuta bangi wachafu alafu wamejazana ujinga ujinga tu kichwani kiufupi ukiishi huko nikama uko jehanamu
Unaongelea miaka ya 90
 
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni maskini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.

Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.

Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.

Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Hata Mwanza ina sifa kama Arusha, tofauti na mjini Mwanza ,Wilaya zake zote ni hovyo na maskini wa kutupwa.
 
Ni kweli kabisa, ni kasehemu kadogo tu kamjini ndiko kana unafuu. Unapewa tu hype ila uko sawa tu na mikoa mingine mingi ya Tz.
 
Mkuu inamaana miaka 5 inatosha Karatu au Kahama kuipiku Arusha kama zikipewa attention?
Hivi mkuu umeshakwenda pale Halmashauri ya jiji wakakuonyesha mipango ya mji kama Bondeni City nk
Anavuta bangi aliyetoa hiyo comment
 
Arusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.

Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.

Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.

Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
Hii inaonyesha mipango miji ya arusga na nchi hii hawana akili kabisa matope vichwani

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Matunda ya kutawaliwa na chama dola,na middle class humu inaonekana kwenye comments zao wanawalaumu wakazi wa Arusha kwa maendeleo duni,nchi hii tunahitaji mikoa 20tu na watanzania wanahitaji service delivery sio utitiri huu,huku kwetu Lingusenguse hatujawahi kutembelea hata na wale top 3 ya watawala wetu....60yrs now,maendeleo ni msamiati mpya.
Uchochezi huu
 
Acheni upuuzi uwez kufananisha arusha na mikoa ya kipuuzi puuzi pale arusha kupata kiwanja mfno moshono 20*20 huna milion ishirini hujakah hapo achilia mbali gomba estate na burka ndugu Kama huna 40 milion hupati kiwanja

Sas ruvuma huko sijui songea milion mbili tu unapata kiwanja Tena mjini kbsa hzo ishu uwez kuta Arusha babu

Ukienda namtumbo kiwanja laki tano unapata kbsa na hati juu
Mkuu utakuwa hujaelewa mleta Mada anasema Arusha mjini wapo vizuri ukilinganisha na wilaya zake zina Hali mbaya kiuchumi kama monduli longido na ngorongoro tofaut na Ruvuma pale songea na wilaya zake hamna tofaut kubwa Sana ya uchumi na wilaya zake kama namtumbo mbinga tunduru na kipato cha wananchi wake hakina gape kubwa Kama Arusha mjini na longido
 
Back
Top Bottom