Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Naunga mkono hoja yako. Imeandikwa wapi Muleba lazima iwe Kagera?Achana na hadithi za kupumbavu na za kitaahira. Mikoa yote imeanzishwa kwa kimegwa mikoa mingine.
Hakuna mkoa wa kabila flani nchi hii.
Kama mkoa wa Chato utaanzishwa utaanzishwa tu na wilaya za mikoa mingine, mtu atake asitake.
Magufuli alikuwa mbinafsi na chuki kubwa dhidi ya wahaya kwa sababu ya historia yake yenye utata. Nashangaa watu wanaojiita viongozi kuendeleza upuuzi wa marehemu wakiamini anawaona na anafurahia akiwa kaburiniUpendeleo Siku zote ufarakanisha WATU, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitaadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo. Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.
Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana adharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani , anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.
Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
Kwa upande mwingine chato kuwa Mkoa mpya sioni tatizo ... kiutawala kwa maana Tanziania yetu itabakuwa moja. Kwa legacy ya magufuli ingependeza tuu. Kwa maana chato kutoa Rais... tuipe kipaumbele ya kuwa mkoa kwa kumuenzi hayati Magufuli..Upendeleo Siku zote ufarakanisha WATU, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitaadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo. Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.
Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana adharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani , anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.
Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
Nini cha ajabu chema alichofanya Magufuli? Butiama haijawa mkoa, kule kwa RIP Mkapa hakujawa mkoa. Msoga kwa Kikwete hakujawa mkoa. Halafu kijijini kwa kiongozi katili uwe mkoa kwaajili ya kumuenzi.Kwa upande mwingine chato kuwa Mkoa mpya sioni tatizo ... kiutawala kwa maana Tanziania yetu itabakuwa moja. Kwa legacy ya magufuli ingependeza tuu. Kwa maana chato kutoa Rais... tuipe kipaumbele ya kuwa mkoa kwa kumuenzi hayati Magufuli..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usipotoshe kutoka Geita Mjini(makao makuu ya mkoa wa Geita )Upendeleo Siku zote ufarakanisha WATU, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitaadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo. Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.
Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana adharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani , anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.
Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
Kuna viumbe wajinga sijawahiona, yaan tibaijuka kwa vile yy mhaya hataki kupelekwa chato, avhilia 36km mkoa km morogoro ukitokea kilosa kule ni zaidi ya 50km na bado ni mkoa mmoja, simiyu makao makuu kutoka hapo hadi itilima kule mwisho kanadi ni km karibu 100ila bado mkoa mmoja simiyu ilimegwa toka shy, kutoka bariadi to shy ni 160km. So tibaijuka ukiona umeonewa hama muleba, professor kama darasa la sabaAchana na hadithi za kupumbavu na za kitaahira. Mikoa yote imeanzishwa kwa kimegwa mikoa mingine.
Hakuna mkoa wa kabila flani nchi hii.
Kama mkoa wa Chato utaanzishwa utaanzishwa tu na wilaya za mikoa mingine, mtu atake asitake.
Pole sana, Geita iitwe Chato ?..ni suala ambalo halina mantiki.
..lakini sidhani kama Maza ana uwezo wa kulikataa.
..ndio maana nikapendekeza compromise ya kuunda mkoa wa Chato bila kumega Kagera.
..solution nyingine ni kubadili jina la mkoa wa Geita uitwe Chato.
..Ben Saanane, Azory Gwanda, na mamia waliotumbukizwa ktk viroba na kutupwa baharini.
Kwani kagera ni uganda..nadhani MARIDHIANO ni mkoa wa Chato uundwe kwa kumega mikoa jirani isipokuwa mkoa wa Kagera.
..katika hali hiyo wanaolilia kuundwa kwa mkoa wa Chato watakuwa wamepata.
..Na wasiotaka mkoa wa Kagera umegwe nao watakuwa wamepata.
Magufuli yupo mioyoni mwetu, ni jasiri, ni mzalendo, ni mkombozi wa africa, safaka yake ni takatifu kwa Mungu na kwa wanadamuKaka hachana na wahuni wa chadema. Hawa ni wahuni kabisa. Wana macho lakini hawa oni wao kutwa kucha ni Magufuli wakati Magufuli hayupo.
Mwenyekiti wao yupo gerezani lakini wameshupalia Magufuli utadhani Magufuli ndio kamweka gerezani.
Magufuli atakumbukwa na watanzania wengi kwa mema aliyotutendea ila wahuni wachache ndio watamvunjia heshima Yake.
Nchi yetu sasa hivi IPO ipotu ni kama tumeachwa Yatima wahuni wamerudi kwa kasi nandio chadema inaendesha maisha kwa kutegemea dili zao hawana uzalendo wowote hawa mzalendo wa ukweli alikua Magufuli nchi hii.
Unaweza kuutaja Mkoa wa Chato bila kuigusa Kagera??? Basi anzisheni huo Mkoa mpya bila kuigusa Kagera.wewe mtu uko kagera na unaishi kagera,Sasa ya chato yanakuwashia Nini !!??,si umalaya huu ambao mwal.nyerere alisema ,wanasiasa wenye tabia za umalaya..umalaya !!
mema gani aliyoyatenda?Kaka hachana na wahuni wa chadema. Hawa ni wahuni kabisa. Wana macho lakini hawa oni wao kutwa kucha ni Magufuli wakati Magufuli hayupo.
Mwenyekiti wao yupo gerezani lakini wameshupalia Magufuli utadhani Magufuli ndio kamweka gerezani.
Magufuli atakumbukwa na watanzania wengi kwa mema aliyotutendea ila wahuni wachache ndio watamvunjia heshima Yake.
Nchi yetu sasa hivi IPO ipotu ni kama tumeachwa Yatima wahuni wamerudi kwa kasi nandio chadema inaendesha maisha kwa kutegemea dili zao hawana uzalendo wowote hawa mzalendo wa ukweli alikua Magufuli nchi hii.
Kakonko iko mkoa wa Kigoma, inahusishwa vipi na huo mgogoro wenu wa ukabila? Anzisheni Mkoa wa Chato bila kuimega Kakonko kwa sababu hakuna vikao vilivyoridhia mkoa wa Kigoma kumegwa.🤔..Mwenyekiti Halmashauri ya Chato.