Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Huyo kijanaKwenye hiyo picha Miyovela ni yupi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kijanaKwenye hiyo picha Miyovela ni yupi?
kwa vile huko kwenu mnalogana basi mnadhani kila mahali watu wanalishwa Sumu !Kijana kama huyu anakubalije kuwa msukule wa mzee Mbowe?
Kuna mtu alisema chadema itakufa akafa yeye bwana kipara takoWacha wafu wazikane miaka 22 bado chadema haijulikani ni lini kitatembea!
Mbona Mbowe ni kibaraka wa Ccm au nalo ufahamu?Erythrocyte angalia wasipenyeze vibaraka wa CCM kama Katambi. Hili ni la Muhimu sana tena sana!
Shetani hajawahi kumshinda MunguKuna mtu alisema chadema itakufa akafa yeye bwana kipara tako
Hujui kitu , kapuku weee !!!Mbona Mbowe ni kibaraka wa Ccm au nalo ufahamu?
Heche , Mbowe, Makene ,Salim Mwalimu
Uzuri Chadema unaongoza mbumbumbu
Katambi , Dkt Slaa, Mashinji, mbona tuliwaonya kitambo mkajitoa akili
Nakuambia sasa bwana mdogo na hao wa payroll kabisa pale win ....Hujui kitu , kapuku weee !!!
Kuwatumikia Watanzania wazalendo na wapenda maendeleo.Waendelee kumtumikia mzee Mbowe
Hizo porojo zako usiziletw kwa mtu kama mimi , nitakuanika hadharani ukimbie jfNakuambia sasa bwana mdogo na hao wa payroll kabisa pale win ....
Shida yako wewe bwana mdogo unadhani unachati na muuuza maharage kama boss wako🤣
Anika bwege wewe🤣🤣Hizo porojo zako usiziletw kwa mtu kama mimi , nitakuanika hadharani ukimbie jf
Kuikataa ccm basi unaonekana kuwa wewe ni mbu mbu mbu na mkimbizi.Ujinga uliopindukia.Mbona Mbowe ni kibaraka wa Ccm au nalo ufahamu?
Heche , Mbowe, Makene ,Salim Mwalimu
Uzuri Chadema unaongoza mbumbumbu
Katambi , Dkt Slaa, Mashinji, mbona tuliwaonya kitambo mkajitoa akili
Endelea kunifuata fuataAnika bwege wewe🤣🤣
Labda mje na zile porojo zenu
Ni chama gani cha siasa hapa Tz ambacho hakijapenyezewa mamluki??Erythrocyte angalia wasipenyeze vibaraka wa CCM kama Katambi. Hili ni la Muhimu sana tena sana!
hapo sasa,Myovela ndiye ameanza kuchukua fomu, Japo kuna tetesi kwamba wagombea kadhaa wenye ushawishi washatia nia
Hebu ngoja Tusubiri hadi mwisho
View attachment 2941226
unamzungumzije kubwa la vibaraka chamani 🐒Erythrocyte angalia wasipenyeze vibaraka wa CCM kama Katambi. Hili ni la Muhimu sana tena sana!
Mke marehemu shikamooHata wewe pia utasepa utaiacha!
Marahaba mke mkubwa umelijifungua ule uja uzito!Mke marehemu shikamoo
Mbowe anachekelea sana hapo kuwa tayari pesa ya kununua fomu imeingia mfukoni ChademaMyovela ndiye ameanza kuchukua fomu, Japo kuna tetesi kwamba wagombea kadhaa wenye ushawishi washatia nia
Hebu ngoja Tusubiri hadi mwisho
View attachment 2941226
Mbowe hajawahi kuwa mhasibu wa ChademaMbowe anachekelea sana hapo kuwa tayari pesa ya kununua fomu imeingia mfukoni Chadema
Udiwani umepita uchaguzi juzi tu hapa Chadema ilikosa wagombea sehemu zote hawakujitokezaUchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao kutakuwa na upinzani mkubwa baina ya vyama vyote.