Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Labda kama huna akili kabisaUdiwani umepita uchaguzi juzi tu hapa Chadema ilikosa wagombea sehemu zote hawakujitokeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama huna akili kabisaUdiwani umepita uchaguzi juzi tu hapa Chadema ilikosa wagombea sehemu zote hawakujitokeza
Uhas8bu nini kitu gani ? Kuwa na sauti na kutia sahihi na kuidhinisha pesa itoke ndipo penyewe ambapo Mbowe kashikaMbowe hajawahi kuwa mhasibu wa Chadema
Inaonekana Maguu alikuwa anakufikisha maana siyo Kwa mahaba yale ...!!Mjane wa MaguuMarahaba mke mkubwa umelijifungua ule uja uzito!
Ama kweli kipara kipya, akili za zamani, Zinduka Mpwa!Wacha wafu wazikane miaka 22 bado chadema haijulikani ni lini kitatembea!
Mbowe si mjumbe wa baraza la wadhamini , hao ndio wenye mamlaka ya kuidhinisha matumizi ya pesa za Chadema .Uhas8bu nini kitu gani ? Kuwa na sauti na kutia sahihi na kuidhinisha pesa itoke ndipo penyewe ambapo Mbowe kashika
Mhasibu hana uwezo wa kuidhinisha pesa itoke .Mbowe ndio mwenye pande hiyo.Kuingia zinaingia kwa mhasibu kutoka zinatokea kwa Mbowe
Mwenye Rushwa kubwa kubwa ndio atapenyaMyovela ndiye ameanza kuchukua fomu, Japo kuna tetesi kwamba wagombea kadhaa wenye ushawishi washatia nia
Hebu ngoja Tusubiri hadi mwisho
View attachment 2941226
NI kweli mke mwenzangu naona mtoto ananyonya kwa fujo na tako limekua mashaallah!Inaonekana Maguu alikuwa anakufikisha maana siyo Kwa mahaba yale ...!!Mjane wa Maguu
Kujenga hekala kule Machame ,huku vijana akiwaminisha kuwa ni makamanda🙆♂️🙆♂️Kuwatumikia Watanzania wazalendo na wapenda maendeleo.
Ulitaka ajenge nyumba za matope kama zile za Shinyanga,Singida na Dodoma ndiyo uone kuwa Mbowe ni mzalendo?Kujenga hekala kule Machame ,huku vijana akiwaminisha kuwa ni makamanda🙆♂️🙆♂️