Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

By the way Iringa ni Mkoa pekee maalumu wenye ambao Mkoa wote una kabila mmoja tu-Wahehe tofauti na Mikoa mingine ambapo unakuta kuna mchanganyiko wa makabila mengi.
Iringa Ina Wagogo wa kutosha ,labda ungesema Ina makabila hayo 2 tuu ila dominant ni wahehe.
 
Uliniambia nini? Ndugu za Wahehe ni Wagogo na Kila kitu kuanzia jiografia wanafanana
Nilikuambia usiwe unakurupuka! Mbona Wadigo wa Tanga wana Vinasaba na Bahema wa DR Congo 🇨🇩, kwahiyo unataka Tanga iwe province ya Congo! mang'aa wewe na mbulula!
 
Nilikuambia usiwe unakurupuka! Mbona Wadigo wa Tanga wana Vinasaba na Bahema wa DR Congo 🇨🇩, kwahiyo unataka Tanga iwe province ya Congo! mang'aa wewe na mbulula!
Tunazungumzia Mikoa sio Nchi kenge wewe,Nchi tayari zilishagawanywa ila Mikoa inaweza fanyiwa re categorisation
 

Attachments

  • Screenshot_20230615-121350.jpg
    Screenshot_20230615-121350.jpg
    103.2 KB · Views: 12
Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.

Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo

1.Sababu za Kijiografia.

Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).

Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.

2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)

Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..

3.Sababu za Kimazingira.

Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..

4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.

Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..

Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.

Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Itasaidia nini sasa? Kama ukibadili ukaiita mkoa wa mashariki ya kati? What is the difference? Tunachoshana buree
 
Acha ubishi we jamaa. Usidhani wote hatujui mambo humu. Ubishi haukusaidii chochote, penda kujifunza kuliko kubishana ilhali hauna details za kutosha
Kwanza kajifunze ku post harafu uje tujadili
 
Back
Top Bottom