ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #121
Iringa Ina Wagogo wa kutosha ,labda ungesema Ina makabila hayo 2 tuu ila dominant ni wahehe.By the way Iringa ni Mkoa pekee maalumu wenye ambao Mkoa wote una kabila mmoja tu-Wahehe tofauti na Mikoa mingine ambapo unakuta kuna mchanganyiko wa makabila mengi.
Sababu we mtoto wa Mwalimu wa UPE hata siwezi jibishana naweBoya wewe hakuna kitu unajua
Hakuna kitu unajua wewe nyumbu,tuilize tulio kwenye sekta ya usafiriSababu we mtoto wa Mwalimu wa UPE hata siwezi jibishana nawe
Kwenda21 ! Umeona upimbi wako leo unavyoshushuliwa! Nilikuambia sasa unaumbuka nyau kabisa!Na ulevi 😂😂
Nadhani wanaelewana lugha zao ila sio wanaongea lugha moja. Mfano mimi sio miongoni mwa hayo makabila, lakini kabila langu na wao tunaelewana.Wahehe na Wakinga au Wabena wanaongea lugha Moja ipi?
Kwenda21 ! Umeona upimbi wako leo unavyoshushuliwa! Nilikuambia sasa unaumbuka nyau kabisa!
Nilikuambia usiwe unakurupuka! Mbona Wadigo wa Tanga wana Vinasaba na Bahema wa DR Congo 🇨🇩, kwahiyo unataka Tanga iwe province ya Congo! mang'aa wewe na mbulula!Uliniambia nini? Ndugu za Wahehe ni Wagogo na Kila kitu kuanzia jiografia wanafanana
Tunazungumzia Mikoa sio Nchi kenge wewe,Nchi tayari zilishagawanywa ila Mikoa inaweza fanyiwa re categorisationNilikuambia usiwe unakurupuka! Mbona Wadigo wa Tanga wana Vinasaba na Bahema wa DR Congo 🇨🇩, kwahiyo unataka Tanga iwe province ya Congo! mang'aa wewe na mbulula!
Wewe si ndio mjinga au? Kuna ubaya nimeandika? Hoja hujibiwa Kwa hoja bwana mnyalu.
Sina maslahi yoyote sana sana inaweza kuja kusaidia kufanya Ugatuzi wa madaraka pindi tukija kufikia hukoTofauti na sababu ulizoeleza binafsi wewe una maslahi gani?
Samahani mimi sio kenge naitwa "Involved"Tunazungumzia Mikoa sio Nchi kenge wewe,Nchi tayari zilishagawanywa ila Mikoa inaweza fanyiwa re categorisation
Sio miwili, Tabora ni kanda ya kati piaTena it makes sense,Kwa sababu haiwezekani Central Zone iwe na Mikoa 2 tuu
Nani alikudanganya? Tabora ipo Kanda ya Magharibi na Kigoma na Katavi.Sio miwili, Tabora ni kanda ya kati pia
Acha ubishi we jamaa. Usidhani wote hatujui mambo humu. Ubishi haukusaidii chochote, penda kujifunza kuliko kubishana ilhali hauna details za kutoshaNani alikudanganya? Tabora ipo Kanda ya Magharibi na Kigoma na Katavi.
Nani alikudanganya? Tabora ipo Kanda ya Magharibi na Kigoma na Katavi.
Itasaidia nini sasa? Kama ukibadili ukaiita mkoa wa mashariki ya kati? What is the difference? Tunachoshana bureeMikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.
Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo
1.Sababu za Kijiografia.
Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).
Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.
2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)
Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..
3.Sababu za Kimazingira.
Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..
4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.
Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..
Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.
Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
ItasaidiaItasaidia nini sasa? Kama ukibadili ukaiita mkoa wa mashariki ya kati? What is the difference? Tunachoshana buree
Kwanza kajifunze ku post harafu uje tujadiliAcha ubishi we jamaa. Usidhani wote hatujui mambo humu. Ubishi haukusaidii chochote, penda kujifunza kuliko kubishana ilhali hauna details za kutosha
Hakuna cha kujadili, kama unataka kusikilizwa wewe tu tutajadili nini unadhani. Hutaki kusikia wengine wanasema nini, umeshikilia kile unachoamini wewe.Kwanza kajifunze ku post harafu uje tujadili