Mkoa wa Kagera ni Mkoa masikini zaidi nchini Tanzania; tutaugeuza kituo cha biashara EAC

Mkoa wa Kagera ni Mkoa masikini zaidi nchini Tanzania; tutaugeuza kituo cha biashara EAC

- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Mkoa huu una mito mingi mikubwa ya asili na uoto mzuri sana na ardhi yenye rutuba nzuri hususani wilaya ya Kyerwa na Karagwe
Wizara ya kilimo ikitumia vizuri fursa hii hakika kagera inaweza kuongeza pato la taifa kupitia kilimo
 
Wengi wao wanajiuza Tandika,Buguruni, Mwananyamala na katika hayo maeneo kuna vi-grocery utawakuta kima-group wakinywa utadhani wana vikao vya kifamilia.
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
ACT ndiyo nini?
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Endeleeni kushangilia Kila kitu kupelekwa Dar..

Bila sera ya Ugatuzi, umaskini itaendelea kutamalaki mwaka Hadi mwaka.
 
Nimesikitika Kwa mlio mtukana Kwa kuwa Leo Sina mengi Kwa niaba yake naomba niwaite nyie wote mlimtusi ta mwami Zitto Kabwe wote nyie ni mambwa.

Pili naunga mkono hoja ya Ya mwami Zitto Kabwe.
 
Kuorodhesha matatizo ni rahisi; ungeelezea hizo hatua za ACT impact yake na jinsi itavyoongeza hayo mapato na matumizi kufikia national average.

Vinginevyo ni general complaints ambazo hazina majibu.
Si kama wewe tuu unavyoelezeaga na Chadomo Yako with no suluhisho? Nyani wanachekana Mikia 😆😆
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
GDP ya Kagera ni kubwa kuliko Kigoma,hapo ni nyani wanachekana Mikia 😆😆
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Mheshimiwa Zitto,maada yako ina mshiko sanaa ila kwa kuwa jamii forum inawanachama wengi vilaza (hawajitambui) ,tegemea motosi ya kutosha toka kwa hawa vilaza waliojazana humu
 
Maendeleo yanaletwa na wananchi wenyewe! Kwa muktadha huo Wahaya ndiyo wanapaswa kuuletea maendeleo mkoa wao! Lakini cha ajabu wamekimbia mkoa wao(nadhani kwa sababu ya Ukimwi) wakaenda kujenga mikoa mingine.

Hata ukija kwenye Diaspora nadhani kuna wahaya wengi wako nje lakini hawakumbuki kwao,na vile wanavyopenda kiingereza sasa!

Wangejifunza kwa wachaga ambao hata wakienda kutafuta mali kwingineko hawasahau kwao! Anyway Wahaya wakiamua wanaweza!
 
Wahaya wakajifunze kwenye Mikoa yenye maendeleo. Huwa wanakuwa na ushamba sana huku kwao ni Maskini wa kutupwa. Kuna haja ya kuwasaidia.
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Acha utapeli igeuze kwanza Kigoma iwe Dubai ndio uje Kagera
 
Mimi sielewi anaposema elimu ni duni katika huu mkoa halafu hapo hapo mkoa unaongoza kwa kutoa wasomi....sasa hao wasomi wanasomea mitini au vip....


Mkoa wa kagera unaonekana maskini kwa sababu population ni kubwa kuliko pato la mkoa....sio kwamba eti hakuna huduma za msingi kama hospital, shule, makazi bora, barabara nk...
Mkoa uwe na bandari tatu kubwa, mipaka functional minne, airport nzr tu, wilaya zote ziwe na lami, umeme upo karibu kila kijiji na bado shule bora kabisa nchini zipo katika mkoa huu
Wilaya tu ya muleb ina watu karibu laki saba....
 
Hiyo sababu ya kali ya hewa (upungufu wa mvua) Kagera ni mkoa ambao unapata mvua nyingi kwa mwaka, kwa maneno mengine Kagera haina changamoto ya mvua.

Sababu kubwa ya Kagera ni wakazi wake ni conservative wameng'ang'ania kilimo cha migomba pekee wakati ardhi yao inafaa kwa kilimo cha mazao mengine. Wanamabonde mengi yafaayo kwa kilimo cha mpunga, hasa wilaya za Bukoba, Misenye, Muleba. Pia, zao la palachichi linakubali sana mkoa huu. Wanatakiwa awe serious wafanye kilimo biashara cha parachichi kwa kutumia miche bora iliyoboreshwa na kuzingatia kanuni za kilimo bora cha parachichi (badala ya kutumia miti yao inayojioteaotea tu, hawapigi dawa, hawaweki mbolea, kimsingi hawako serious na zao hili).

Pia, zao jingine ni vanilla inakubali sana Kagera, pia hawako serious.

Wakulima/wakazi wengi wabishi hawataki kutumia mbolea za viwandani eti zinaharibu ardhi (wakati maeneo mengi yanayopokea mvua nyingi yana tabia ya kusomba rutuba ya udongo/soil nutrients reaching). Hivyo, rutuba ni changamoto kwa maeneo mingi yanayopokea mvua nyingi.

Ushauri wangu ni kuwa:

1. Kagera ni mkoa potential ukitumia vizuri, hasa kwa kilimo, utaendelea. Hivyo, wakulima waache uvivu, waongeze juhudi na maarifa katika hili.

2. Katika sekta ya uvuvi, bado mkoa hauja-excel vya kutosha.

3. Wapunguze umimi, waruhusu interaction ya jamii mbalimbali za Kitanzania.
 
Back
Top Bottom