Mkoa wa Kagera ni Mkoa masikini zaidi nchini Tanzania; tutaugeuza kituo cha biashara EAC

Mkoa wa Kagera ni Mkoa masikini zaidi nchini Tanzania; tutaugeuza kituo cha biashara EAC

- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Nikisoma hicho kichwa cha habari nikionacho ni kwamba umeamua kuushambulia mkoa wa Kagera. Au umeamua kutupa taarifa kuwa ni mkoa masikini.
Nilitaraji ungejiuliza na kuja na mapendekezo ambayo ni tangible ya namna nzuri ya kutoka pale walipo, kinyume chake umekuja na cheap observations na propaganda za siasa za 'nipeni mimi muone'.
Kuna jamaa humu anaitwa Zitto nikisoma unayoandika na misimamo yako nabaki najiuliza, je ni coincidence tu kujiita vile au alijiita ili kufuata nyayo zako, maana nikiangalia namuona jamaa yaani zitto junior yupo mbali sana kiuchambuzi na maono kukuliko
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Unataka kuwatapeli watu wa Kagera kama kawaida yako
 
Kwan Tanzania si ni nchi maskini wa kutupwa....kwa hiyo wasomi wa Tanzania wote ni maskini...
So wasomi wa Tanzania ni maskini.....
Umaskini una ngazi zake
Ngazi mtu mmoja mmoja Mpk Kitaifa
Tanzania Msomi ndo mtu wa ovyo na hatari sana
Kwa jamii ni Bora tu afe maskini na Elimu yake.
 
Hiyo sababu ya kali ya hewa (upungufu wa mvua) Kagera ni mkoa ambao unapata mvua nyingi kwa mwaka, kwa maneno mengine Kagera haina changamoto ya mvua.

Sababu kubwa ya Kagera ni wakazi wake ni conservative wameng'ang'ania kilimo cha migomba pekee wakati ardhi yao inafaa kwa kilimo cha mazao mengine. Wanamabonde mingi yafaayo kwa kilimo cha mpunga, hasa wilaya za Bukoba, Misenye, Muleba. Pia, zao la palachichi linakubali sana mkoa huu. Wanatakiwa awe serious wafanye kilimo biashara cha parachichi kwa kutumia miche bora iliyoboreshwa na kuzingatia kanuni za kilimo bora cha parachichi (badala ya kutumia miti yao inayojioteaotea tu, hawapigi dawa, hawaweki mbolea, kimsingi hawako serious na zao hili).

Pia, zao jingine ni vanilla inakubali sana Kagera, pia hawako serious.

Wakulima/wakazi wengi wabishi hawataki kutumia mbolea za viwandani eti zinaharibu ardhi (wakati maeneo mengi yanayopokea mvua nyingi yana tabia ya kusomba rutuba ya udongo/soil nutrients reaching). Hivyo, rutuba ni changamoto kwa maeneo mingi yanayopokea mvua nyingi.

Ushauri wangu ni kuwa:

1. Kagera ni mkoa potential ukitumia vizuri, hasa kwa kilimo, utaendelea. Hivyo, wakulima waache uvivu, waongeze juhudi na maarifa katika hili.

2. Katika sekta ya uvuvi, bado mkoa hauja-excel vya kutosha.

3. Wapunguze umimi, waruhusu interaction ya jamii mbalimbali za Kitanzania.
Hapo kwenye no 3 hapo waache ubaguzi wa kijinga na ujuaji....
Misifa mingi afu Maskini
 
Kama huna akili ya kufikiria usiwe unanijibu, Uwekezaji wa Serikali ndio umefanya Dar iwe inaongoza hizo pesa.
Fanyeni kazi na mtumie akili kujikwamua.....sera ya kutetea wanyonge ya baba yenu haikuwahi kuwa na manufaa ulimwenguni kote toka Soviet,Ujamaa mpaka Mwendazake. Zaidi inalea madikteta.


Zalisheni na muwe wabunifu. Serikali ya mkoloni iliifuata Dar na sio Dar kufuata serikali.
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Zitto, tatizo la Kagera ni wana Kagera wenyewe; wavivu wakubwa, watu wa majungu, watu wa maneno matupu, watu wa majivuno na ujuaji.

Wakajifunze kwa watu wa Moshi jinsi wasivyosubiri serikali katika mambo ya maendeleo. Serikali zetu zipo nyuma ya wananchi siku zote na sio sawa kusubiri serikali kuleta maendeleo, endeleeni serikali itawakuta njiani.
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Nimesoma kwa makini sana andiko la Mh.Zitto kuhusu mkoa wa Kagera. Nashukuru kwa kuweza kutukumbusha na kutujurisha kua mkoa wa Kagera ndiyo mkoa maskini kuliko yote Tanzania. Ingawa kama mwanasiasa na mtaalam wa uchumi ilibidi utusaidie tujue kua mkoa huo ni maskini kwa dhana na hoja zipi?
Je,mkoa wa Kagera ni maskini wa kipato cha mkoa au mtu na mtu?
Je, mkoa wa Kagera ni mkoa maskini kwa kukosa huduma muhimu kama makazi,shule na elimu,usafiri ,nishati na mlo/chakula?
Je,mkoa wa Kagera ni maskini kwakua unachangia pato kidogo kwenye pato la Taifa?
Je,mkoa wa Kagera ni maskini kwakua wakazi wake wanaishi maisha duni?
Je,tumeringanisha mkoa wa Kagera na mikoa mingine kwa kuangalia ata idadi ya watu?
Ungeweza kutuweka sawa katika ili nadhani tungepata sehemu ya kuanzia kujibu pamoja na kutafuta suluhu.
 
Zitto, tatizo la Kagera ni wana Kagera wenyewe; wavivu wakubwa, watu wa majungu, watu wa maneno matupu, watu wa majivuno na ujuaji.

Wakajifunze kwa watu wa Moshi jinsi wasivyosubiri serikali katika mambo ya maendeleo. Serikali zetu zipo nyuma ya wananchi siku zote na sio sawa kusubiri serikali kuleta maendeleo, endeleeni serikali itawakuta njiani.
Hakuna mwanadamu asie jivuna,asiejua na asiekua na majungu. Labda awe amekufa.....
 
Inasikitisha sana kina Bojo wanashika mkia kwa umasikini wakati huku dar wanaendesha ma-range na wanakaa prime areas!
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Kagera kuwa mkoa maskini kuliko mikoa mingine ni kwasababu Kagera ndio lango la shirki Tanzania nguvu za giza zote zinaanziaga mkoa huo na kwenda kuchakatwa kigoma kisha biashara inakwenda kufanyika Dar es salaam na kwasasa Dodoma.
 
Nimesoma kwa makini sana andiko la Mh.Zitto kuhusu mkoa wa Kagera. Nashukuru kwa kuweza kutukumbusha na kutujurisha kua mkoa wa Kagera ndiyo mkoa maskini kuliko yote Tanzania. Ingawa kama mwanasiasa na mtaalam wa uchumi ilibidi utusaidie tujue kua mkoa huo ni maskini kwa dhana na hoja zipi?
Je,mkoa wa Kagera ni maskini wa kipato cha mkoa au mtu na mtu?
Je, mkoa wa Kagera ni mkoa maskini kwa kukosa huduma muhimu kama makazi,shule na elimu,usafiri ,nishati na mlo/chakula?
Je,mkoa wa Kagera ni maskini kwakua unachangia pato kidogo kwenye pato la Taifa?
Je,mkoa wa Kagera ni maskini kwakua wakazi wake wanaishi maisha duni?
Je,tumeringanisha mkoa wa Kagera na mikoa mingine kwa kuangalia ata idadi ya watu?
Ungeweza kutuweka sawa katika ili nadhani tungepata sehemu ya kuanzia kujibu pamoja na kutafuta suluhu.
Ni maskini kwa kuwa unachangia pato dogo la taifa kulinganisha na population yake....

Hayo mengine sijui huduma za kijamii nk kagera iko vzr tu...
Huoni anajichanganya kusema mkoa una huduma duni za elimu na wakati huo huo unatoa wasomi wengi...sasa hao wasomi walisomea migombani au vip.....kama sio ukichaa ni nini kuelewa hiv
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Tuanze na Kijiji ulichotoka kina hali gani kwanza kabla ya hzo maneno zingine.
 
Hiyo sababu ya kali ya hewa (upungufu wa mvua) Kagera ni mkoa ambao unapata mvua nyingi kwa mwaka, kwa maneno mengine Kagera haina changamoto ya mvua.

Sababu kubwa ya Kagera ni wakazi wake ni conservative wameng'ang'ania kilimo cha migomba pekee wakati ardhi yao inafaa kwa kilimo cha mazao mengine. Wanamabonde mingi yafaayo kwa kilimo cha mpunga, hasa wilaya za Bukoba, Misenye, Muleba. Pia, zao la palachichi linakubali sana mkoa huu. Wanatakiwa awe serious wafanye kilimo biashara cha parachichi kwa kutumia miche bora iliyoboreshwa na kuzingatia kanuni za kilimo bora cha parachichi (badala ya kutumia miti yao inayojioteaotea tu, hawapigi dawa, hawaweki mbolea, kimsingi hawako serious na zao hili).

Pia, zao jingine ni vanilla inakubali sana Kagera, pia hawako serious.

Wakulima/wakazi wengi wabishi hawataki kutumia mbolea za viwandani eti zinaharibu ardhi (wakati maeneo mengi yanayopokea mvua nyingi yana tabia ya kusomba rutuba ya udongo/soil nutrients reaching). Hivyo, rutuba ni changamoto kwa maeneo mingi yanayopokea mvua nyingi.

Ushauri wangu ni kuwa:

1. Kagera ni mkoa potential ukitumia vizuri, hasa kwa kilimo, utaendelea. Hivyo, wakulima waache uvivu, waongeze juhudi na maarifa katika hili.

2. Katika sekta ya uvuvi, bado mkoa hauja-excel vya kutosha.

3. Wapunguze umimi, waruhusu interaction ya jamii mbalimbali za Kitanzania.
Safi sanaaa mkuuu noted
 
Vigezo vya umasikini sijui huwa vinaangalia vitu gani. Mimi naona watu wa Kagera wana unafuu wa maisha kuliko Morogoro
 
- 51% ya wakazi wake wanatumia chini ya TZS 1,644 kwa siku ( mstari wa umasikini Tanzania ni TZS 49,320 kwa Mwezi ).

- Pato la Wastani la Mtu wa Kagera ni TZS 1.2M kwa Mwaka. Mtu wa Ruvuma na Iringa ana Pato la Wastani mara 3 zaidi ya mtu wa Kagera.

- Mwaka 1994 Kagera ilishika nafasi ya 12 kati ya Mikoa 21 nchini kwa hali ya Uchumi, Mwaka 2022 inashika nafasi ya 26 kati ya Mikoa 26, yaani Ndio Mkoa masikini zaidi nchini.

Iweje Mkoa wa Kagera uwe masikini zaidi? Ni Mkoa wenye ardhi iliyopandwa kahawa kuliko Mkoa wowote nchini, ni Mkoa wenye utajiri mkubwa wa ardhi na hali ya hewa, ni Mkoa uliokaa kimkakati kijiografia ( unapakana na Nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki kuliko Mkoa mwengine wowote), una rasilimali madini kama Nickel na una wasomi wengi zaidi kuliko mikoa mingi ya Tanzania! Kwanini uwe Mkoa masikini zaidi?

Kuna sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Uchumi wa mkoa huo unategemea sana kilimo ambacho kinategemea mvua. Hivyo, ukame au mvua zinazopungua zinaweza kusababisha upungufu wa chakula na mapato kwa wakazi wa mkoa huo. Hii pia inasababishwa na sera zilizopitwa na wakati kuhusu masoko ya mazao ya Kilimo na haswa kahawa kiasi cha wakazi wa Kagera kupeleka kahawa Uganda.

2. Miundombinu ya barabara na reli katika mkoa huo ni duni, hivyo kufanya usafirishaji wa mazao na bidhaa kuwa mgumu na gharama kuwa kubwa. Licha ya kuwa Mkoa huu uliathiriwa sana na vita vya Kagera hapakuwa na mpango Maalumu wa kuhuisha Uchumi wa Kagera baada ya vita na Ndio maana kumekuwa na mdororo wa Uchumi wa Mkoa huu.

3. Elimu na afya ni changamoto kubwa katika mkoa huo. Huduma za afya na elimu zinapatikana kwa kiwango kidogo, hivyo kusababisha wakazi wa mkoa huo kuwa na ugumu wa kupata huduma hizo.

4. Kagera ilipata athari kubwa ya tetemeko la ardhi mwaka 2016 ambapo nyumba nyingi na miundombinu iliharibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi na uchumi wa mkoa huo.

5. Sera mbovu za Serikali ya CCM ambazo hazizingatii muktadha wa kimaeneo katika shughuli za Uchumi. Kwa Mfano Mfumo wetu wa utawala wa Viongozi ‘kuletwa’ kutoka Juu unaondoa ubunifu na uwajibikaji hivyo mikoa kutotumia fursa zao kwa ukamilifu na kukosekana ushindani wa mikoa kimaendeleo.

Chama cha ACT Wazalendo kinadhamiria kurejesha heshima ya Mkoa wa Kagera kwa kuugeuza kuwa Kituo cha Biashara na Viwanda kwa Nchi za EAC. Vile vile kushawishi Mradi wa Kabanga Nickel kufungamanishwa na shughuli za Uchumi za Watu wa Kagera.
Mkoa ambao unaongoza kwa kuwa na wasomi wengi inakuwaje elimu iwe changamoto kwake ??
 
Back
Top Bottom