Si unaona tabia za Kihaya, ndio tabia hizi nasemea, afadhali umedhibitisha nilichokisema.. Report inasema Mkoa wa Kagera ni maskini mno, yaani maskini haswa, kabila moja wapo ya mkoa wa Kagera ni wahaya, na ndio wengi, sasa sbb ww ni mhaya tayari ushaanza tabia zenu, hizi ndio tabia zinawaletea umaskini, ujuaji kupindukia, of which hamjui vitu vingi vizuri..
Yaani unabishana hadi na research, wakati ww huna research yoyote, hii ndio tabia ya wahaya, wabishi sugu.
Mnabishana kila siku, mnasomesha wanasheria tu, sbb mnapenda kubishana sana, kutwa kucha, siku, miezi, miaka, kubishana tu, ujuaji kupindukia.