Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Na mto ngono bila kusahau katereroVita
Ukimwi
Tetemeko
Marburg virus
Mnyauko
Mafuriko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mto ngono bila kusahau katereroVita
Ukimwi
Tetemeko
Marburg virus
Mnyauko
Mafuriko
Pesa ya soko na stand imetengwa tangu enzi za Kikwete mpaka leo ubishani wenu wa kibaguzi lijengwe wapi na kwanani mpaka leo Kagasheki na Meya Kalumna ukiongea uwe na uhakika hata madiwani wa Bukoba ni wabaguzi hawataki mtumishi ambae sio muhaya ukiitwa ujieleze kwa kihaya Wahaya mnatafunwa na ubaguzi wenu wataalam wanashindwa kifanya kazi kwenu mambo ya Soko kujengwa na WB uzushi tuuEti soko la Bukoba ni baya Mara stand Mbaya... Nyie mikoa yenu stand na masoko mlijijengea wenyewe? Huku Kijichi tumejenhewa soko na world Bank lkn tunalikimbia. Stand pia tumejengewa Kijichi lkn hatuhitaji. Bukoba mnawatukana na kuwabeza mnataka wajijengee stand. Wajijengee soko? Nadhani hata hiyo barabara ya lami imejengwa kwasababu ya Uganda
TUMIA AKILI TANZANIA KAMA NCHI INA KILA KITU LAKINI WATU WAKE NI MASIKINI ITAKUWA KAGERA?Mkoa wa Kagera ni mfano halisi wa ujinga wa mtu mweusi. Mkoa unaardhi nzuri na mvua ya kutosha. Ndiyo maana wanaweza kulima mazao kama kahawa na ndizi, na miwa, mazao ya nahohitaji hali nzuri ya hewa. Mkoa umepakana na nchi mbili, Rwanda na Uganda, labda na Burundi pia.
So kibiashara umekaa eneo zuri sana. Ungeweza kuwa hata gateway ya kwenda mashariki ya DRC. Mkoa una ziwa kubwa. Watu wake wanabidii ya kutafuta elimu.
Sasa mkoa kama huu unakuwaje masikini wa kutupwa?
Naomba kujua mambo yanayosababisha mkoa wa Kagera kuwa masikini?
Bugabo wanakulaga watu hahahaa,Hivi bado soko kuu Bukoba siku ya jumapili linafungwa mchana?😁
Bukoba ikifika saa mbili kamji kanakuwa kimyaaa
Mpaka wa Mutukula ni waganda ndio wanaunogesha
Kagera Kuna ardhi nzuri sana, kwa mfano misenji ni 🔥tatizo uvivu
Kuna biashara ukianzisha na usipokuwa wa kwao utapata tabu
Stendi ya Bukoba ni aibuu mvua ikinyesha
Mzunguko wa pesa ni mdogo sana Kagera, tuliwahi kuishi Karagwe kwa miezi minne, umaskini tuliokutana NAO ni mkubwa sana.
Q bar sijui bado ipo?
Halmashauri Haina root za hiace....
Wenyeji kuuza ardhi ni wagumu sana
Niliwahi kwenda Bugabo nusura niliwe
Wanatakiwa wawe na utangamano na wananchi wenzao wanaotoka mikoa mingine wasiwabague then maendeleo yatakuja haraka sana !! Nimesikia lakini sina uhakika kama ni kweli kwamba wenyeji wa huko wana kaubaguzi baguzi kwa wahamiaji kutoka mikoa mingine !!Mkoa wa Kagera ni mfano halisi wa ujinga wa mtu mweusi. Mkoa unaardhi nzuri na mvua ya kutosha. Ndiyo maana wanaweza kulima mazao kama kahawa na ndizi, na miwa, mazao ya nahohitaji hali nzuri ya hewa. Mkoa umepakana na nchi mbili, Rwanda na Uganda, labda na Burundi pia.
So kibiashara umekaa eneo zuri sana. Ungeweza kuwa hata gateway ya kwenda mashariki ya DRC. Mkoa una ziwa kubwa. Watu wake wanabidii ya kutafuta elimu.
Sasa mkoa kama huu unakuwaje masikini wa kutupwa?
Naomba kujua mambo yanayosababisha mkoa wa Kagera kuwa masikini?
Mito imejaa Nchini, maziwa yapo kibao tena ni maziwa makuu na mvua zipo za kutosha lakini maji ya mvua yanaishia baharini au kule yasikohitajika !! Tumeshindwa kufanya kilimo cha umwagiliaji japo katika nusu ya Nchi tu !! Ukiuliza kwanini inakuwa hivyo utaambiwa Hakuna pesa !! Sasa swali ni kwamba Nchi itapata wapi pesa kama hakuna mipango imara na ya uhakika ya kupatia pesa ???!!! Miaka yote tangu nikiwa mtoto nilikuwa nasikia slogan ya Kilimo ni Uti wa mgongo wa Nchi yetu !! Je bandugu kulikoni ?! Kama Ukraine 🇺🇦 wameweza sisi tushindwe kwanini ??!! Kupanga ni kuchagua tukidhamiria na kujinyima haya mambo ya kula Bata TUTAWEZA TU !!Inauma Tanzania kuzidiwa na Ukraine kulima
Hamna shukrani nyie watu.Ndio tunajua haya yote yanatokea baada ya watu kuwa na tumaini kwamba kuna siku wahaya watakomboa hili taifa kutoka kwenye umaskini na hii imepelekea muwe na hasira juu yetu kwa maana mnaona taifa lenu maskini na sisi bado tunaishi.Pls usilinganishe mimba na Kitambi muhaya Kilimanjaro umefika au hata kupita?? Kagera hata stand ya mabasi hakuna chuo Kikuu hata kimoja hakuna unabishana kwa kututajia makabila so what?? Yamesaidiaje mkoa kutoka kwenye umaskini uliotopea ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kuwa na kila kitu kipi? Kuna nchi zina badili jangwa kuwa eneo la kilimo,Mkoa wa Kagera ni mfano halisi wa ujinga wa mtu mweusi. Mkoa unaardhi nzuri na mvua ya kutosha. Ndiyo maana wanaweza kulima mazao kama kahawa na ndizi, na miwa, mazao ya nahohitaji hali nzuri ya hewa. Mkoa umepakana na nchi mbili, Rwanda na Uganda, labda na Burundi pia.
So kibiashara umekaa eneo zuri sana. Ungeweza kuwa hata gateway ya kwenda mashariki ya DRC. Mkoa una ziwa kubwa. Watu wake wanabidii ya kutafuta elimu.
Sasa mkoa kama huu unakuwaje masikini wa kutupwa?
Naomba kujua mambo yanayosababisha mkoa wa Kagera kuwa masikini?
Mwanza sio kipaumbele , ingekuwa kipaumbele ingekuwa jiji bora kabisa duniani kielimu, miundombinu na afya, na hakuna mtu angeenda Dar kutafuta elimu, Dodoma, Dar na Arusha ndio vipaumbele licha ya Mwanza kukua kwa kasi zaidi baada ya Dar es salaam.Dar es salam Arusha na Mwanza ndo kipau mbele cha serikali mkoa migine inafanana tu. Tofauti yao ni ndogo.
Umemaliza!!!Umasikini ni Nini ? Labda tuanzia hapo.....
Miaka kadhaa hapo nyuma Household ilikuwa na Makazi yenye natural Air Condition (Clay Building) ina natural carpet kwa afya yao (Nyasi) na ina efficient Laundry (mtoni kila once a week ambapo kuna recycling of water) Vyoo vilikuwa natural havipotezi maji kuliko sasa ambapo watu tuna-shit where we are eating...., Mtu huyu alikuwa na uhakika wa milo mitatu na kila mtu kwenye store yake ana access ya kinywaji mwaka mzima kila anapotaka.... (na siongelei maji ambayo nayo alipata naongelea kinywaji - cha kupata bata) mtu huyu alikuwa anapata leisure ya kumwaga, ngoma za hapa na pale - in short huyu mtu yeye na tabasamu ilikuwa ni kama chanda na pete.....
In comparison chukua mkoa wowote ambao unasema ni so called Tajiri wa kuongoza hapa Tanzania au nichukue mfano wa Dar...., kuna watu wanakaa kwenye slums (sio wachache a good number) majority hawana uhakika wa milo mitatu let alone akiamka asubuhi kujua kama atapata pesa ya kumlisha jioni (stress of the mind), Wote mobility ni hatari yaani katika maisha yao wanatumia takribani miaka mitatu mpaka minne wakiwa kwenye traffic / usafiri kutoka point A mpaka B;..... badala ya kuzalisha au kula bata na ndugu zao..., wanaishi kwenye dumpster na hata maji wanayokunywa ukifuatilia leave a lot to be desired......... In short for an onlooker they are in a rat race.....
Kwahio narudia tena naomba definition ya Umasikini na utagundua kwamba Tanzania nzima Umasikini kwa wengi umeongezeka na watu kujiliwaza na toys za hapa na pale - mbaya zaidi ni umasikini wa fikra na kuwa na distorted view ya utajiri ambayo imekuwa promoted na consumerism marketing na excess wants with less access for important needs for the majority
Mtausema sana huu mkoa. Watanzania mna roho ya kwanini.
Mkoa unatoa wasomi sana lkn mliweuwekea passmark za juu sana. Wahaya walikimbilia mikoa mingine kutafuta elimu. Kuna wahaya Wana majina mpaka ya Kimasai. Wakati wagogo wakirudisha namba za mitihani wao wameshinda hata Kama hawakuandika chochote. Kagera ilikuwa na shule nyingi miaka ya sabini kuliko mikoa mingi lkn walijaa makabila mengine tena wenye passmark kdg. Kisa NYERERE HAKUWAPENDA NA ALISEMA HAKUNA MHAYA KUWA RAIS. Mambo mengi yaliyofanywa tangu nyuma ndiyo yanaonekana leo. Na mpaka sasa bado mnawachukia hawa wahaya. Kama mnakubali kuwa wameelimika na elimu.ni ufunguo wa maisha, kwanini hawa wahaya wasifunguliwe maisha?
Burundi hawana purchasing power kubwa pamoja na kwamba ni mamilioni ya watu. Kagera almost haina cha kuuza Burundi.
Rwanda haina cha kununua kinachozalishwa Kagera zaidi ya kutumika kama transit ya bidhaa.
Mwanza inachukua vitu vingi zaidi ya hizi nchi mbili.
Uganda na Kagera wanafanana kila kitu, Kagera inafanana Uganda kuliko mkoa wowote Tanzania. Ni sawa uitake Songea inunue mahindi ya Rukwa.
Serikali inapiga marufuku kuuzwa mazao nje ya nchi, kahawa inauzwa bei ndogo sana haimshawishi mkulima kuweka juhudi. Vanilla ndio hiyo bei inapanda na kushuka zaidi ya 50% kwa msimu. Bei ya vanilla Uganda huwa ni almost twice ya Kagera, bei ya kahawa Uganda miaka yote inakuwa juu ila jichanganye ukamatwe unaitorosha uone. Border tunayo-share na Uganda ni ndogo na sehemu nyingine hazina makazi hivyo ni rahisi kuilinda tofauti na border mfano na Kenya utailinda uimalize ile? Kwahiyo kufanya smuggling kule ni rahisi.
Kagera iko more than 1000km kutoka bandarini, ni gharama kubwa kusafirisha bidhaa na mazao mengi kutoka kule hayafiki sokoni au yakifika inabidi yafidie higher transport cost na hivyo hayapo competetive kwenye soko. Ukifunga ndizi kuzileta Dar zinaweza iva kabla hujafika.
Na mwisho ni priorities za central government. Sipendelei Federation kwa Afrika maana zinasumbua umoja ila Tanzania hii central government yetu kuna mikoa haina vipaumbele. Bora Kagera tutasingizia iko mbali, Lindi je? Mtwara wanavuna korosho hata serikali kuweka kiwanda kikubwa cha kubangua hawawezi mpaka korosho iende unprocessed kwenye magunia.
Hakuna mhaya maskini acha habari zenu za hovyo.Wahaya ni sehemu ndogo ya mkoa wa kagera kama hiyo habari ulikuwa hujui.
Mkoa wa kagera una makabila yafuatayo:Wanyambo(wenyeji wa Karagwe),wasubi(wenyeji wa Biharamulo) wahangaza(wenyeji wa Ngara).
Nitajie sehemu yoyote ukiondoa hii miji na mkoa wa Kilimanjaro ambao watu wake kijijini wa na makazi bora kama sio kwa wahaya tu.
Nimekaa karibu sehemu zote hapa Tanzania ila ukitoka tu mjini huko kijijini ni hatari tupu
Kimsingi huo umasikini mnaousemea mkoa wa Kagera ni wa kufikirika. Mkifika kule mkaona mijengo ilivyo na hali ya watu ilivyo ndo mtakasirika zaidi
Hao ndio wahaya kutwa jf kushindana na wachaga hahaMkoa wa Kagera ni mfano halisi wa ujinga wa mtu mweusi. Mkoa unaardhi nzuri na mvua ya kutosha. Ndiyo maana wanaweza kulima mazao kama kahawa na ndizi, na miwa, mazao ya nahohitaji hali nzuri ya hewa. Mkoa umepakana na nchi mbili, Rwanda na Uganda, labda na Burundi pia.
So kibiashara umekaa eneo zuri sana. Ungeweza kuwa hata gateway ya kwenda mashariki ya DRC. Mkoa una ziwa kubwa. Watu wake wanabidii ya kutafuta elimu.
Sasa mkoa kama huu unakuwaje masikini wa kutupwa?
Naomba kujua mambo yanayosababisha mkoa wa Kagera kuwa masikini?
Wanagawiwa;Hauna mamlaka au political power, unagawiwa kiduchu kutoka dar es salaam.