Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

luambo makiadi

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2017
Posts
10,602
Reaction score
8,798
Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
 

Attachments

  • Screenshot_20240831-165239.jpg
    Screenshot_20240831-165239.jpg
    408.7 KB · Views: 7
Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Maelezo sahihi yanatakiwa kuwa, Kilimanjaro ndio mkoa unaongoza kuwa na rundo kubwa la wazee waliorudi na kutelekezwa, huku wakiishi na vijana rejects ambao walikimbia mikoa mingine Hali ikawa ngumu wakarudi.
 
Mkoa una wazee kibao vijana wanaondoka kwenda mjini , wakazi wake ni wengi tu hakuna lina watu wengi kama wachaga kwa kanda nzima .
1:Wewe umeishia darasa la nne hujui kitu
Kwahyo vijana wangekuwepo ingeondoa idadi ya wazee hao?(madhara ya kutokwenda shule haya)
2:Vijana au watu wengi wa Kilimanjaro either ni wasomi au wafanya biashara hivyo mtawanyiko haukwepeki,kila eneo nchi hii na hata nchi za nje nyingi tu hukosi mtu wa Kilimanjaro tena wakiwa vizuri economically (sijui kama unaelewa lugha ya malkia maana ulikimbia umande)
3😛ole kwa wivu nikikwambia Kilimanjaro ni mwalimu wa kila idara, life style,makazi bora,elimu,uchumi imara nk ndivyo vinaipaisha Kilimanjaro
 
Maelezo sahihi yanatakiwa kuwa, Kilimanjaro ndio mkoa unaongoza kuwa na rundo kubwa la wazee waliorudi na kutelekezwa, huku wakiishi na vijana rejects ambao walikimbia mikoa mingine Hali ikawa ngumu wakarudi.
1:Huna unachojua,mtu akitelekezwa ataishi umri mrefu? Hivi umeishia la ngapi? Nisije kuwa nina argue na mtu wa memkwa
2: Kilimanjaro kila kaya ina wasomi na wafanyabiashara kwahyo mtu anakuwa kapiga hekalu lake safi Wanaishi wazazi wake yeye yupo ktk shughuli zake za kiserikali au za kibiashara mikoani, ulitaka wawe maskin kama wewe ambaye hujatoka kijijin kwako hadi unazeeka? Ni akili au ujinga,wazungu wanazurura dunia nzima kuongeza uchumi wao sembuse wewe mvuta kokoro wa NANSIO?
3: Kilimanjaro hakuna shida ya hospital,shule, Barabara wala umeme sasa kwann watu wasiishi umri mrefu?
 
1:Wewe umeishia darasa la nne hapo majita road hujui kitu labda kutega kokoro
Kwahyo vijana wangekuwepo ingeondoa idadi ya wazee hao?(madhara ya kutokwenda shule haya)
2:Vijana au watu wengi wa Kilimanjaro either ni wasomi au wafanya biashara hivyo mtawanyiko haukwepeki,kila eneo nchi hii na hata nchi za nje nyingi tu hukosi mtu wa Kilimanjaro tena wakiwa vizuri economically (sijui kama unaelewa lugha ya malkia maana ulikimbia umande)
3😛ole kwa wivu nikikwambia Kilimanjaro ni mwalimu wa kila idara, life style,makazi bora,elimu,uchumi imara nk ndivyo vinaipaisha Kilimanjaro
 
1:Wewe umeishia darasa la nne hujui kitu
Kwahyo vijana wangekuwepo ingeondoa idadi ya wazee hao?(madhara ya kutokwenda shule haya)
2:Vijana au watu wengi wa Kilimanjaro either ni wasomi au wafanya biashara hivyo mtawanyiko haukwepeki,kila eneo nchi hii na hata nchi za nje nyingi tu hukosi mtu wa Kilimanjaro tena wakiwa vizuri economically (sijui kama unaelewa lugha ya malkia maana ulikimbia umande)
3😛ole kwa wivu nikikwambia Kilimanjaro ni mwalimu wa kila idara, life style,makazi bora,elimu,uchumi imara nk ndivyo vinaipaisha Kilimanjaro
wewe ndio hujaelewa, vijana wangekuwa wengi asilimia ingeshuka toka 7.3 kuja figure ndogo zaidi, unamsema mwenzako la nne wakati na wewe hesabu inakupiga chenga
 
wewe ndio hujaelewa, vijana wangekuwa wengi asilimia ingeshuka toka 7.3 kuja figure ndogo zaidi, unamsema mwenzako la nne wakati na wewe hesabu inakupiga chenga
Bado huelew na wewe
Mfano tuseme sahivi Kilimanjaro ina wazee 10 na vijana 100 je wakiongezeka tena vijana 500 idadi ya wale wazee 10 itapungua wala kuongezeka? Si ita remain costant?
Mm ninazungumzia idadi ya wazee wenye miaka 65+ na sio Vijana
2:Kwani mikoa mingine yenye wazee baada ya Kilimanjaro yenyewe haina vijana mikoani?
3:kwani mikoani vilevile hakuna wazee 65+ ambao ni wana Kilimanjaro?
 
wewe ndio hujaelewa, vijana wangekuwa wengi asilimia ingeshuka toka 7.3 kuja figure ndogo zaidi, unamsema mwenzako la nne wakati na wewe hesabu inakupiga chenga
Bado huelew na wewe
Mfano tuseme sahivi Kilimanjaro ina wazee 10 na vijana 100 je wakiongezeka tena vijana 500 idadi ya wale wazee 10 itapungua wala kuongezeka? Si ita remain costant?
Mm ninazungumzia idadi ya wazee wenye miaka 65+ na sio Vijana
2:Kwani mikoa mingine yenye wazee baada ya Kilimanjaro yenyewe haina vijana mikoani?
3:kwani mikoani vilevile hakuna wazee 65+ ambao ni wana Kilimanjaro?
 
Back
Top Bottom