Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Mleta uzi, kwanza fafanua takwimu zako vizuri yaani huko kuna vibibi vingapi? na vibabu vingapi?, ndo tujue tunachangia vipi hizo takwimu unazozisifia.
 
Mleta uzi, kwanza fafanua takwimu zako vizuri yaani huko kuna vibibi vingapi? na vibabu vingapi?, ndo tujue tunachangia vipi hizo takwimu unazozisifia.
Refer takwimu za Sensa 2022 hakuna utofauti ratio wa wanaume kwa wanawake

hazipishani kwa sana kwa kila mkoa. Ila ipo wazi wanawake wanaishi zaidi kuliko wanaume
kwa idadi.
 
Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Hapa kwa ni asilimia kwa jumla ya wakazi wote wa Kilimanjaro basi sio takwimu za kujisifu kwa maana vijana wa huko na watu wa makamo wako mikoani kutafuta maisha!
 
Hapa kwa ni asilimia kwa jumla ya wakazi wote wa Kilimanjaro basi sio takwimu za kujisifu kwa maana vijana wa huko na watu wa makamo wako mikoani kutafuta maisha!
Kila indicator au objective huwa ina jitegemea na matokeo yake ndio hayo.

Hawajatoa takwimu ya uwiano kati ya vijana na wazee uwe muelewa.
 
Nijuavyo mzee wa kichaga mwenye watoto 6 kuna uwezekano mmoja yupo tanroads, mwingine ni Dokta mloganzila na mwingine ni businessman na waliobaki ni walevi wa kutupwa, mzee kajengewa hekalu lina mbuzi, kuku, mashamba ya migomba n.k.
Mzee ana bima kubwa, ana bank account akikohoa tu KCMC maana hata nyumbani kuna Ndinga ya maana full tank na kiyoyozi, hivyo hakuna sababu ya kufa mapema.

Sasa njoo huku kwetu umanyemani, uziguani, ugogoni, undengelekoni mzee ana wake 3 na watoto kumi na tisa katika hao watatu ni wapiga lamri, wawili wagema mnazi, 6 ni walevi wa kufa mtu wanaotembelea ugali wa dochivele yaani ugali wa nyumbani, watatu wauza madafu, wawili fundi baiskeli, wawili ni bodaboda, wailobaki ni vibaka na wazee hawa wanaamini anayetoa riziki ni Mungu na wote waliishia la pili mwezi wa tatu lakini huko uchagani ukatae shule utakula mabuti ya UTOSI lakini huku kwetu hata usipoenda shule hakuna anaekuuliza.
Mzee hana bima kukicha anapiga uji au togwa, mchana ugali Ngogwe mchanganyiko na bahundred yaani bamia, kula nyama hadi tajiri jirani afe halafu mnataka aishi miaka 90? Unisamehe tu maana ndo uhalisia
 
Hiv mnasomaga mnachoandika kweli? Kwa huo utafiti ulitaka kujua idadi ya watu au ni jamii gan watu wake wanaishi umri mrefu kwa idadi
Sio kweli wewe ni ngumbaru huelewi parameters huwa zinakuje.
Sensa ya watu na makazi 2022, Mkoa wa Kilimanjaro ulikua na wakazi 1.8M, taarifa ya Azam inasema asilimia 7.3 ya watu wa Kilimanjaro ni wazee na inaongoza Tanzania kwa Asilimia (sio idadi ya wazee) Asilimia 7.3 ya 1.8M ndo hio wazee 130K.

So kilimanjaro haiongozi kwa idadi ya wazee bali ratio ya wazee na vijana ni kubwa kule kutokana na vijana wengi kutoka kutafuta maisha kwengine.

Baada ya Kilimanjaro ni Mtwara, same Story na sitashangaa in future Kigoma pia ikafuatia kutokana Na waha watoto wanavyokimbilia mijini.

Screenshot_20240902-094845_Pixel Launcher.png


Ukiangalia data zetu hapo
-Dodoma ina asilimia 4.8 ya wazee percentage wise ni ndogo kuliko Kilimanjaro na mtwara ila idadi ni kubwa sababu asilimia 4.8 ya watu zaidi ya milioni 3 inakuja zaidi ya wazee 140,000 ambayo inaizidi kilimanjaro
-pia Tanga ukiangalia ni hivyo hivyo Asilimia 5.1 ya watu 2.6 ni humo humo roughly 130K sawa na Kilimanjaro na zaidi ya Mtwara ila haijatajwa sababu Percentage wise ni ndogo

So bottom line wakuu hizo ni data za Asilimia yaani Ratio ya wazee ukicompare na makundi mengine ya Umri na Sio data zinazoonesha idadi kubwa ya wazee.

Nimeambatanisha na Sensa ya watu Na makazi ikitoa huo mchanganuo.
 
Maelezo sahihi yanatakiwa kuwa, Kilimanjaro ndio mkoa unaongoza kuwa na rundo kubwa la wazee waliorudi na kutelekezwa, huku wakiishi na vijana rejects ambao walikimbia mikoa mingine Hali ikawa ngumu wakarudi.
Good news about kilimanjaro hawatelekezi wazee, na wastaafu wengi wa jamii hiyo kwa hiyari huchagua kurudi nyumbani
Good news about nyumbani kumejengeka, pesa inatumwa isitoshe na wahusika kila mwaka wanakuja. Mzee anapataje stress hapo
 
Takwimu hizi za Mkoa wa Kilimanjaro zinabebwa na Wapare. Wanaisho muda mrefu kwa kuishi simple life huko milimani
You do realise wapare ni asilimia ndogo ya mkoa huo? Asilimia kubwa ni wachaga wa maeneo mbali mbali, sasa wanabebaje mkoa mzima kwenye hilo?
 
Chakula cha asili kinachangia sana wao kuishi maisha marefu bila kusahau mbege maana hapo hapo ni chakula na pia ni pombe..
 
Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
nyama na pombe
 
Sensa ya watu na makazi 2022, Mkoa wa Kilimanjaro ulikua na wakazi 1.8M, taarifa ya Azam inasema asilimia 7.3 ya watu wa Kilimanjaro ni wazee na inaongoza Tanzania kwa Asilimia (sio idadi ya wazee) Asilimia 7.3 ya 1.8M ndo hio wazee 130K.

So kilimanjaro haiongozi kwa idadi ya wazee bali ratio ya wazee na vijana ni kubwa kule kutokana na vijana wengi kutoka kutafuta maisha kwengine.

Baada ya Kilimanjaro ni Mtwara, same Story na sitashangaa in future Kigoma pia ikafuatia kutokana Na waha watoto wanavyokimbilia mijini.

View attachment 3084820

Ukiangalia data zetu hapo
-Dodoma ina asilimia 4.8 ya wazee percentage wise ni ndogo kuliko Kilimanjaro na mtwara ila idadi ni kubwa sababu asilimia 4.8 ya watu zaidi ya milioni 3 inakuja zaidi ya wazee 140,000 ambayo inaizidi kilimanjaro
-pia Tanga ukiangalia ni hivyo hivyo Asilimia 5.1 ya watu 2.6 ni humo humo roughly 130K sawa na Kilimanjaro na zaidi ya Mtwara ila haijatajwa sababu Percentage wise ni ndogo

So bottom line wakuu hizo ni data za Asilimia yaani Ratio ya wazee ukicompare na makundi mengine ya Umri na Sio data zinazoonesha idadi kubwa ya wazee.

Nimeambatanisha na Sensa ya watu Na makazi ikitoa huo mchanganuo.
Sawa sawa
 
Nahisi kitu kinachofanya life span ya watu mkoa wa Kilimanjaro kuwa juu ni life style hasa katika ulaji sababu ya ubahili mfano mpare chakula yake ni makande na mchaga ni ndizi wanakula kitu original na wakienda kusaga mahindi hawakoboi ,alafu kwenye mambo ya mboga wengi sababu ya ubahili wanaunga Kwa mafuta kidogo na kadhalika hata sukari wanatumia kidogo kwenye chai Ili isiishe. Alafu kule Kilimanjaro maeneo ya milimani Ile panda shuka tu ni zoezi tosha .Alafu katika maswala ya Imani wengi hawana Imani potofu .
👍
 
Back
Top Bottom