Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

Article inazungumzia percentage ya wazee.

Kama kuna vijana 90 na wazee 10 basi wazee ni asilimia 10.wakiongezeka vijana 900 na wazee wa kabaki wale wale 10 basi asilimia ya wazee ina drop hadi 1%
Mm nazungumzia idadi by numbers not percentage
Tanzania nzima hakuna Mkoa wenye idadi ya wazee kuzidi Kilimanjaro that is my point
 
Hiv mnasomaga mnachoandika kweli? Kwa huo utafiti ulitaka kujua idadi ya watu au ni jamii gan watu wake wanaishi umri mrefu kwa idadi
Nisaidie kumwelewesha MAANA haelewi,mm nazungumzia idadi ya wazee yéyé anasema vijana😄😄
 
Hataki kwenu mkoa huo hata makaburi ni mengi .Mimi sijaiba mitihani ndio maana nyie hamna ugunduzi nje ya kuajiriwa na kutumiwa na wazungu kweny kampuni zao ...
Hahahaha matajiri wazawa ukiondoa WA Hindi ni kinaa nani? Sio Wachaga? Nikutajie makampuni ya Wachaga? Sio ubunifu huo?
1: Makampuni ya mabasi nchi nzima karibia 40% yanamikikiwa na Wachaga
2:Makampuni ya ujenzi karibu 20% ni ya Wachaga pekee
3:Wafanyabiashara WAkubwa Wachaga ndio wenyewe
4: Maghorofa MWANZA
5: maghorofa Arusha
6:Kampumi ya ndege precision air unamjua mwenye nayo? Yani wewe uliefeli darasa la nne una ubunifu wowote?
 
Hujui utafiti,tunazungumzia idadi ya wazee vijana hawahusiani hâta wangekuwepo vijana milion 10 nazungumzia idadi ya wazee by numbers
Kinachozungumzwa ni parcentage ya wazee siyo idadi. Kwa mantiki hiyo idadi ya vijana hadi watoto imetiliwa maanani. Mkoa wa Dar una wazee wengi kuliko Kilimanjaro. Lakini ukija kuangalia hao wazee ni asilimia ngapi utakuta Kilimanjaro wana asilimia kubwa ya wazee kuliko Dar. Maana yake nini? Inaweza kumaanisha kuwa Kilimanjaro vijana wanakimbia.
 
Hataki kwenu mkoa huo hata makaburi ni mengi .Mimi sijaiba mitihani ndio maana nyie hamna ugunduzi nje ya kuajiriwa na kutumiwa na wazungu kweny kampuni zao ...
Tungekuwa hatutaki kwetu tungejenga maghorofa migombani? Nyie mliojenga nÿumba za nyasi ndo mnapenda makwenu?
 
Hahahaha matajiri wazawa ukiondoa WA Hindi ni kinaa nani? Sio Wachaga? Nikutajie makampuni ya Wachaga? Sio ubunifu huo?
1: Makampuni ya mabasi nchi nzima karibia 40% yanamikikiwa na Wachaga
2:Makampuni ya ujenzi karibu 20% ni ya Wachaga pekee
3:Wafanyabiashara WAkubwa Wachaga ndio wenyewe
4: Maghorofa MWANZA
5: maghorofa Arusha
6:Kampumi ya ndege precision air unamjua mwenye nayo? Yani wewe uliefeli darasa la nne una ubunifu wowote?
Mmiliki mwenza wa JF Maiko Mushi ni wa huko huko duuuh ebwanawee
 
Maelezo sahihi yanatakiwa kuwa, Kilimanjaro ndio mkoa unaongoza kuwa na rundo kubwa la wazee waliorudi na kutelekezwa, huku wakiishi na vijana rejects ambao walikimbia mikoa mingine Hali ikawa ngumu wakarudi.
SIO KWELI..
SIO KWELI..
SIO KWELI KABISA..
 
Back
Top Bottom