1:Wewe umeishia darasa la nne hujui kitu
Kwahyo vijana wangekuwepo ingeondoa idadi ya wazee hao?(madhara ya kutokwenda shule haya)
2:Vijana au watu wengi wa Kilimanjaro either ni wasomi au wafanya biashara hivyo mtawanyiko haukwepeki,kila eneo nchi hii na hata nchi za nje nyingi tu hukosi mtu wa Kilimanjaro tena wakiwa vizuri economically (sijui kama unaelewa lugha ya malkia maana ulikimbia umande)
3😛ole kwa wivu nikikwambia Kilimanjaro ni mwalimu wa kila idara, life style,makazi bora,elimu,uchumi imara nk ndivyo vinaipaisha Kilimanjaro