Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Inategemea kila mtu ana mipango yake ...Kama wale mishe zao zipo town fresh anabaki .Mkuu kwa mfano wewe upo mkoa tofauti na mkoa wenu kwani lazima ukizeeka urudi mkoani kwenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea kila mtu ana mipango yake ...Kama wale mishe zao zipo town fresh anabaki .Mkuu kwa mfano wewe upo mkoa tofauti na mkoa wenu kwani lazima ukizeeka urudi mkoani kwenu?
Hongereni, ila mpaka leo bado hamna jiji mna manispaa [emoji1787][emoji1787][emoji1 Jiji linakupa pesa na makazi bora?
Kwahyo umejiona ulivyo mweupe kichwani? Kumbe jibu unaloInategemea kila mtu ana mipango yake ...Kama wale mishe zao zipo town fresh anabaki .
Ina mambo mengi lakini kwa Kilimanjaro BadoKaka usiwe mbishi Mwanza ina mambo mengi kitambo sana! Wewe unadhania Mwanza iko hapo imeenza juzi! Kusoma Ulaya kwa sehemu kubwa ulikuwa ni ufadhili wa Wazungu. Ndo maana nakwambia Mwanza akina na Makongoro,Madaha na watu wengine wenyeji wa Mwanza kutoka familia za Kitemi walisoma Ulaya kama huyo Mareale unayemsema!
Fatila wakati wa kupata uhuru Mwalimu Nyerere alipata support wapi kama sio Ukanda wa Pwani,Kaskazini kwenu na Usukumani kwa mzee Madaha!
Kwa hiyo unapojisifu usidhanie watu wengine walikuwa hawajui mambo ya elimu lakini pia ujue mkoa kama Mwanza umekuwa na wasomi wengi sana mfano wasomi kutoka wilaya ya Ukerewe!
Umekimbia Mada Yako? Hebu soma ulicho reply na nilichoandika😄😄Soma uelewe kwamba population ya wazee ni kubwa kwa asilimia kadhaa sio uwingi wa wazee. 😀 😀 ile asilimia 7 ni kwa idadi ya watu wa kilimanjaro , je asilimia 3 ya wa Dar unajua ni ngapi ? Sehemu yenye watu milion 5 .
KweliPia mabinti zao wanaongoza sana kuolewa huko Daslamu, ukitembelea kumbi mbalimbali Jumamosi utagundua 80% wanaoolewa ni watu wa Kilimanjaro.
HII Habari kina Accumen Mo wakiisikia wanakunja usoPia mabinti zao wanaongoza sana kuolewa huko Daslamu, ukitembelea kumbi mbalimbali Jumamosi utagundua 80% wanaoolewa ni watu wa Kilimanjaro.
Huna shule kichwani eti kinara wa watu , wakati ni asilimia hizo ...Jaribu kusoma sio kukurupuka kwa elimu ya wizi wa vyetiHII Habari kina Accumen Mo wakiisikia wanakunja uso
Makampuni yapi ? Mbona hamna ugunduzi kama wachina ....Matajiri hapa bongo top ten hamna mchaga ....Nyie ni vibaraka wa watakatishaji fedha , hamna maajabu .Umekimbia Mada Yako? Hebu soma ulicho reply na nilichoandika😄😄
Umesema Wachaga wamekalia kuajiriwa Ktk Makampuni na kwamba hawana ubunifu nimekupa facts hapo za Makampuni ya Wachaga,na kuongoza kwa biashara vipi unasemaje
Hahahahah....hata mdogo wangu nilimwona mzee. Kimorali...rombo unaweza kusema wote ni wazee ukipishana nao
Wapare wala hatuwahesabu kwenye masuala ya Kilimanjaro.Takwimu hizi za Mkoa wa Kilimanjaro zinabebwa na Wapare. Wanaisho muda mrefu kwa kuishi simple life huko milimani
Wew jamaa rudi shule, statistics inakusumbua,Bado huelew na wewe
Mfano tuseme sahivi Kilimanjaro ina wazee 10 na vijana 100 je wakiongezeka tena vijana 500 idadi ya wale wazee 10 itapungua wala kuongezeka? Si ita remain costant?
Mm ninazungumzia idadi ya wazee wenye miaka 65+ na sio Vijana
2:Kwani mikoa mingine yenye wazee baada ya Kilimanjaro yenyewe haina vijana mikoani?
3:kwani mikoani vilevile hakuna wazee 65+ ambao ni wana Kilimanjaro?
Recharge your brain!Wapare wala hatuwahesabu kwenye masuala ya Kilimanjaro.
Epitome of ignorance.Recharge your brain!
Sasa hoja Yako ni ipi ?Huna shule kichwani eti kinara wa watu , wakati ni asilimia hizo ...Jaribu kusoma sio kukurupuka kwa elimu ya wizi wa vyeti