luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
- Thread starter
- #161
Kampuni za ujenzi nchi nzima 30% zinamilikiwa na Wachaga,unajua mtaji unaotakiwa Uwe não Ili usajiliwe kampuni yako pale CRB?Makampuni yapi ? Mbona hamna ugunduzi kama wachina ....Matajiri hapa bongo top ten hamna mchaga ....Nyie ni vibaraka wa watakatishaji fedha , hamna maajabu .
Kmapuni zipi hizo ? Sio unaleta bars hapa unasema kampuni ?
KAMPUNI za mabasi nchi nzima 40% ni za wachaga je unajua walau bei ya basi Moja tu?
Précision air ni ya bwana shirima,je unajua bei ya ndege Moja?