luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
- Thread starter
- #21
[emoji3][emoji3]Hatuna dhambi kubwa kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Hatuna dhambi kubwa kubwa
Mamndenyi hapo mamsera kati hawajambo?Hatuna dhambi kubwa kubwa
Hali ya hewa pia, huku kwenye joto mbu wanazaliana sana.Naam maana Kilimanjaro wana vyakula vingi natural mfano viazi vikuu,ndizi,magimbi nk
Pia wanapenda mbogamboga mno mchaga hata aishi newyork lazma awe na bustani ya mboga na matunda
Hii ina ukweli kwa kiasi kikubwa.rombo unaweza kusema wote ni wazee ukipishana nao
unakuta nyuso zinang'aa kama jaba jipya huku nywele zikiwa za singasinga na mashavu yamejaa kama wanapuliza moto kila saaHii ina ukweli kwa kiasi kikubwa.
Vijana wa Rombo walioko kijijini wanapiga banana kuanzia asubuhi na mapema mpaka giza linaingia..😅
Pombe imewaharibu sura kabisa.
Takwimu hizi za Mkoa wa Kilimanjaro zinabebwa na Wapare. Wanaisho muda mrefu kwa kuishi simple life huko milimaniKama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Hahahaha mamndenyi hizo dhambi kubwa ni zipi tena hizoHatuna dhambi kubwa kubwa
..ni sawa ni kwa sababu wamekakamaa mno sana sababu ya kupanda milima! kila siku ni kupanda shuka huoni hata dada zao hawana shepu?Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Article inazungumzia percentage ya wazee.Bado huelew na wewe
Mfano tuseme sahivi Kilimanjaro ina wazee 10 na vijana 100 je wakiongezeka tena vijana 500 idadi ya wale wazee 10 itapungua wala kuongezeka? Si ita remain costant?
Mm ninazungumzia idadi ya wazee wenye miaka 65+ na sio Vijana
2:Kwani mikoa mingine yenye wazee baada ya Kilimanjaro yenyewe haina vijana mikoani?
3:kwani mikoani vilevile hakuna wazee 65+ ambao ni wana Kilimanjaro?
Hiv mnasomaga mnachoandika kweli? Kwa huo utafiti ulitaka kujua idadi ya watu au ni jamii gan watu wake wanaishi umri mrefu kwa idadiwewe ndio hujaelewa, vijana wangekuwa wengi asilimia ingeshuka toka 7.3 kuja figure ndogo zaidi, unamsema mwenzako la nne wakati na wewe hesabu inakupiga chenga
Hataki kwenu mkoa huo hata makaburi ni mengi .Mimi sijaiba mitihani ndio maana nyie hamna ugunduzi nje ya kuajiriwa na kutumiwa na wazungu kweny kampuni zao ...1:Wewe umeishia darasa la nne hujui kitu
Kwahyo vijana wangekuwepo ingeondoa idadi ya wazee hao?(madhara ya kutokwenda shule haya)
2:Vijana au watu wengi wa Kilimanjaro either ni wasomi au wafanya biashara hivyo mtawanyiko haukwepeki,kila eneo nchi hii na hata nchi za nje nyingi tu hukosi mtu wa Kilimanjaro tena wakiwa vizuri economically (sijui kama unaelewa lugha ya malkia maana ulikimbia umande)
3😛ole kwa wivu nikikwambia Kilimanjaro ni mwalimu wa kila idara, life style,makazi bora,elimu,uchumi imara nk ndivyo vinaipaisha Kilimanjaro
Hao vijana wa rombo wengini age 35-40 wanaonekana kama wazeee , tafuta picha zao utaona 90% ni wazee wengine wamaisha kwa pombe hata iwe jua kali wamevaa makoti .Hii ina ukweli kwa kiasi kikubwa.
Vijana wa Rombo walioko kijijini wanapiga banana kuanzia asubuhi na mapema mpaka giza linaingia..😅
Pombe imewaharibu sura kabisa.
Sio kweli wewe ni ngumbaru huelewi parameters huwa zinakuje.Article inazungumzia percentage ya wazee.
Kama kuna vijana 90 na wazee 10 basi wazee ni asilimia 10.wakiongezeka vijana 900 na wazee wa kabaki wale wale 10 basi asilimia ya wazee ina drop hadi 1%
Hawaangalii muonekano kinacho angaliwa na umri. Wewe elimu yako ni ya chini ya mti sioHao vijana wa rombo wengini age 35-40 wanaonekana kama wazeee , tafuta picha zao utaona 90% ni wazee wengine wamaisha kwa pombe hata iwe jua kali wamevaa makoti .
Samahani ndugu mleta takwimu, huu utafiti waliufanya hadi 'Palestina'?Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Mimi elimu yangu sio ya wizi wa mitihani kama wazazi wako 😀 😀 😀Kuwa na wazee ni jambo la kujisfu kama Italy?Hawaangalii muonekano kinacho angaliwa na umri. Wewe elimu yako ni ya chini ya mti sio
Walevi na wezi wa mitihanSio kweli wewe ni ngumbaru huelewi parameters huwa zinakuje.