Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

Nahisi kitu kinachofanya life span ya watu mkoa wa Kilimanjaro kuwa juu ni life style hasa katika ulaji sababu ya ubahili mfano mpare chakula yake ni makande na mchaga ni ndizi wanakula kitu original na wakienda kusaga mahindi hawakoboi ,alafu kwenye mambo ya mboga wengi sababu ya ubahili wanaunga Kwa mafuta kidogo na kadhalika hata sukari wanatumia kidogo kwenye chai Ili isiishe. Alafu kule Kilimanjaro maeneo ya milimani Ile panda shuka tu ni zoezi tosha .Alafu katika maswala ya Imani wengi hawana Imani potofu .
 
Hii ina ukweli kwa kiasi kikubwa.
Vijana wa Rombo walioko kijijini wanapiga banana kuanzia asubuhi na mapema mpaka giza linaingia..😅
Pombe imewaharibu sura kabisa.
unakuta nyuso zinang'aa kama jaba jipya huku nywele zikiwa za singasinga na mashavu yamejaa kama wanapuliza moto kila saa
 
Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Takwimu hizi za Mkoa wa Kilimanjaro zinabebwa na Wapare. Wanaisho muda mrefu kwa kuishi simple life huko milimani
 
Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
..ni sawa ni kwa sababu wamekakamaa mno sana sababu ya kupanda milima! kila siku ni kupanda shuka huoni hata dada zao hawana shepu?
 
Bado huelew na wewe
Mfano tuseme sahivi Kilimanjaro ina wazee 10 na vijana 100 je wakiongezeka tena vijana 500 idadi ya wale wazee 10 itapungua wala kuongezeka? Si ita remain costant?
Mm ninazungumzia idadi ya wazee wenye miaka 65+ na sio Vijana
2:Kwani mikoa mingine yenye wazee baada ya Kilimanjaro yenyewe haina vijana mikoani?
3:kwani mikoani vilevile hakuna wazee 65+ ambao ni wana Kilimanjaro?
Article inazungumzia percentage ya wazee.

Kama kuna vijana 90 na wazee 10 basi wazee ni asilimia 10.wakiongezeka vijana 900 na wazee wa kabaki wale wale 10 basi asilimia ya wazee ina drop hadi 1%
 
wewe ndio hujaelewa, vijana wangekuwa wengi asilimia ingeshuka toka 7.3 kuja figure ndogo zaidi, unamsema mwenzako la nne wakati na wewe hesabu inakupiga chenga
Hiv mnasomaga mnachoandika kweli? Kwa huo utafiti ulitaka kujua idadi ya watu au ni jamii gan watu wake wanaishi umri mrefu kwa idadi
 
1:Wewe umeishia darasa la nne hujui kitu
Kwahyo vijana wangekuwepo ingeondoa idadi ya wazee hao?(madhara ya kutokwenda shule haya)
2:Vijana au watu wengi wa Kilimanjaro either ni wasomi au wafanya biashara hivyo mtawanyiko haukwepeki,kila eneo nchi hii na hata nchi za nje nyingi tu hukosi mtu wa Kilimanjaro tena wakiwa vizuri economically (sijui kama unaelewa lugha ya malkia maana ulikimbia umande)
3😛ole kwa wivu nikikwambia Kilimanjaro ni mwalimu wa kila idara, life style,makazi bora,elimu,uchumi imara nk ndivyo vinaipaisha Kilimanjaro
Hataki kwenu mkoa huo hata makaburi ni mengi .Mimi sijaiba mitihani ndio maana nyie hamna ugunduzi nje ya kuajiriwa na kutumiwa na wazungu kweny kampuni zao ...
 
Hii ina ukweli kwa kiasi kikubwa.
Vijana wa Rombo walioko kijijini wanapiga banana kuanzia asubuhi na mapema mpaka giza linaingia..😅
Pombe imewaharibu sura kabisa.
Hao vijana wa rombo wengini age 35-40 wanaonekana kama wazeee , tafuta picha zao utaona 90% ni wazee wengine wamaisha kwa pombe hata iwe jua kali wamevaa makoti .
 
Article inazungumzia percentage ya wazee.

Kama kuna vijana 90 na wazee 10 basi wazee ni asilimia 10.wakiongezeka vijana 900 na wazee wa kabaki wale wale 10 basi asilimia ya wazee ina drop hadi 1%
Sio kweli wewe ni ngumbaru huelewi parameters huwa zinakuje.
 
Hao vijana wa rombo wengini age 35-40 wanaonekana kama wazeee , tafuta picha zao utaona 90% ni wazee wengine wamaisha kwa pombe hata iwe jua kali wamevaa makoti .
Hawaangalii muonekano kinacho angaliwa na umri. Wewe elimu yako ni ya chini ya mti sio
 
Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Samahani ndugu mleta takwimu, huu utafiti waliufanya hadi 'Palestina'?
 
Back
Top Bottom