Kampuni za ujenzi nchi nzima 30% zinamilikiwa na Wachaga,unajua mtaji unaotakiwa Uwe não Ili usajiliwe kampuni yako pale CRB?
KAMPUNI za mabasi nchi nzima 40% ni za wachaga je unajua walau bei ya basi Moja tu?
Précision air ni ya bwana shirima,je unajua bei ya ndege Moja?