Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
Malengo ya ukusanyaji wa mapato yanawekwa wakati wa kuandaHayo malengo huwekwa na serikali au kila Halmashauri hujiwekea wenyewe?
Almost kila Halmashauri inadai imevuka malengo nchi hii.[emoji16].
Tumelilia nini?Kama mnajiweza kwanini kila siku kulia lia kama watoto mara mmetengwa mara ooh mmesaulika, acheni utoto pigeni kazi.
Mbeya sio kama hako kamkoa kenu kaduchu.Hizo barabara zilizopo mbeya hazina huwezo wa kupitisha magari kutoka huko mashambani?
Nini iniingie?π€£π€£π€£ tulia ikuingie.
Halmashauri zinajiwekea na kupitishwa na Madiwani husika..Hayo malengo huwekwa na serikali au kila Halmashauri hujiwekea wenyewe?
Almost kila Halmashauri inadai imevuka malengo nchi hii.π.
Ni kweli mkoa wetu ni mdogo sana zaidi ya 60% ni maji, licha ya udogo wetu lakini huwa tunazidiwa na Dar tu kiuchumi GDP ya Mwanza imewaacha mbali sana.Mbeya sio kama hako kamkoa kenu kaduchu.
RC ametoa yanayohusu Mkoa wake hajaingilia mamlaka ya Waziri.Simiyu pia wametoa.Waziri anayehusika na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa bado hajatoa taarifa za mapato na matumizi kwa Robo ya Nne, RC atulie kwanza, Waziri mwenye dhamana taarifa yake huwa inakuwa kwa Halmashauri.
Asante
# Mungu uwe pamoja na Rais wetu SSH
Nilikwambia weka Takwimu za GDP ukaingia mitini saizi unakuja na wimbo mwingine..Ni kweli mkoa wetu ni mdogo sana zaidi ya 60% ni maji, licha ya udogo wetu lakini huwa tunazidiwa na Dar tu kiuchumi GDP ya Mwanza imewaacha mbali sana.
Unataka takwimu gani nikupe!Nilikwambia weka Takwimu za GDP ukaingia mitini saizi unakuja na wimbo mwingine..
Mbeya ina watu wachache kuliko Mwanza ila tunachozalisha ni kikubwa per Capita kuliko nyie mko zaidi ya milioni ila wote ni wavivu kama watoto wa nguruwe ππ
Wangekuwa wavivu si wangekuwa na gdp kama zenu za nyanda za juu kusiniππNilikwambia weka Takwimu za GDP ukaingia mitini saizi unakuja na wimbo mwingine..
Mbeya ina watu wachache kuliko Mwanza ila tunachozalisha ni kikubwa per Capita kuliko nyie mko zaidi ya milioni ila wote ni wavivu kama watoto wa nguruwe ππ
Kutoa na Simiyu haimanishi ndio wako sahihi, Yupo Waziri mwenye dhamana hiyo, what if Takwimu za Waziri na RC zikatofautiana? Wanawahi wapi? Haraka ya nini?RC ametoa yanayohusu Mkoa wake hajaingilia mamlaka ya Waziri.Simiyu pia wametoa.
Hilo GDP bali unakula kile mnachogawana ,ndo hapo Sasa mnalala njaa na kulala kwenye mabanda ya nguruwe mnayoita nyumba ππWangekuwa wavivu si wangekuwa na gdp kama zenu za nyanda za juu kusiniππ
Weka hapa Takwimu za GDP za Kila mkoa na Per Capita IncomeUnataka takwimu gani nikupe!
Za Waziri zinatoka wapi kama sio hizo hizi anazopewa na Halmashauri husika?Kutoa na Simiyu haimanishi ndio wako sahihi, Yupo Waziri mwenye dhamana hiyo, what if Takwimu za Waziri na RC zikatofautiana? Wanawahi wapi? Haraka ya nini?
Current population ya mwanza unaijua? Shukuru sana kupewa ata hiyo kazi ya kuwa chawa nyapara.Weka hapa Takwimu za GDP za Kila mkoa na Per Capita Income
Ndio Takwimu umeleta? ππCurrent population ya mwanza unaijua? Shukuru sana kupewa ata hiyo kazi ya kuwa chawa nyapara.
Ingia NBS, unapenda sana kujitia ukichaa na kujisahulishaWeka hapa Takwimu za GDP za Kila mkoa na Per Capita Income
Huna Takwimu wewe fala ndio maana Nimekwambia Mkoa wenu na nyie watu wake ni maskini wa kutupwa..Ingia NBS, unapenda sana kujitia ukichaa na kujisahulisha
Ndio Takwimu umeleta? ππ
Umetepeta tayari..Niko humu toka 2017 na hii thread na ile ya Njombe nilianzisha mimi..
Kipindi hicho nilikuwa chawa WA nani?
Ingia NBS, unapenda sana kujitia ukichaa na kujisahulisha